Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiki gani lile ni Jembe kwa hakika WaTz hatutomsahau kwa mema aliyo yafanya, Magufuri alifanya makubwa sana ambayo hayakufanywa na Viongozi wengine waliopita.Mwendazake kwanini alikurupuka kusaini mikataba huku akijua hamna hela??
Au ndio alikuwa anatafuta kiki
Nigeria na SA wamekopa zimeisha zote.Kwani hatukopesheki?
Unamanisha nini?Na hii ndio maana ya jamii forum hamna habari inayochujwa kila kitu kinawekwa wazi humu
Huyo ni fisadi kama mafisadi wengine! Nyinyi ndio wale mlikuwa mkiitwa "wanyonge" mnashangilia na kupiga vigelegeleKiki gani lile ni Jembe kwa hakika WaTz hatutomsahau kwa mema aliyo yafanya, Magufuri alifanya makubwa sana ambayo hayakufanywa na Viongozi wengine waliopita.
Alidhibiti mafisadi ama kwa hakika Leo angekuwopo Magu huo Mradi mpaka saivi ungekuwa umeshakamilika. Ila kwa vile Kuna mafisadi, Rushwa nyingi Hela zinatolewa watu wanakula naa hakuna anaye wafuatilia ndo maana miradi ya Magu alioianzisha haiendi, kwa sabab hamna anayeisimamia.
Mungu amkumbuke huko aliko Mzee Magu watanzania tunamkumbuka sana kwa mema yake
Ukikua utajuaUnamanisha nini?
Bado unaishi nyikani.Usije mjini utasumbua wananchi.Kiki gani lile ni Jembe kwa hakika WaTz hatutomsahau kwa mema aliyo yafanya, Magufuri alifanya makubwa sana ambayo hayakufanywa na Viongozi wengine waliopita.
Alidhibiti mafisadi ama kwa hakika Leo angekuwopo Magu huo Mradi mpaka saivi ungekuwa umeshakamilika. Ila kwa vile Kuna mafisadi, Rushwa nyingi Hela zinatolewa watu wanakula naa hakuna anaye wafuatilia ndo maana miradi ya Magu alioianzisha haiendi, kwa sabab hamna anayeisimamia.
Mungu amkumbuke huko aliko Mzee Magu watanzania tunamkumbuka sana kwa mema yake
Kwa hiyo batch ya pili majina yatatoka Ijumatatu pia?Hizi nitaarifa mbaya sana Kwa watanzania wenzetu, kaya Zaid ya elfu 3 zinakosa ajira ya Moja kwa moja baada ya mradi wa Tabora-isaka, kusimama, na YAPI MERKEZ kuanza kulipa wafanyakaz wake stahiki zao, batch yakwanza imelipwa ijumatatu iliyopita, batch yapili majina yatatoka Jumatatu yakeshokutwa watu wameshaanza kurudi makwao.
We kwani sio mnyonge? Ngoja siku wenye nguvu wakuonee ndo utapogundua ww ni mnyonge.Huyo ni fisadi kama mafisadi wengine! Nyinyi ndio wale mlikuwa mkiitwa "wanyonge" mnashangilia na kupiga vigelegele
10%Hizi nitaarifa mbaya sana Kwa watanzania wenzetu, kaya Zaid ya elfu 3 zinakosa ajira ya Moja kwa moja baada ya mradi wa Tabora-isaka, kusimama, na YAPI MERKEZ kuanza kulipa wafanyakaz wake stahiki zao, batch yakwanza imelipwa ijumatatu iliyopita, batch yapili majina yatatoka Jumatatu yakeshokutwa watu wameshaanza kurudi makwao.
Nazungumza jambo nililo na uhakika nalo.
.
Huku leo mabilioni yameteketezwa kwenye shamrashamra za uhuruHizi nitaarifa mbaya sana Kwa watanzania wenzetu, kaya Zaid ya elfu 3 zinakosa ajira ya Moja kwa moja baada ya mradi wa Tabora-isaka, kusimama, na YAPI MERKEZ kuanza kulipa wafanyakaz wake stahiki zao, batch yakwanza imelipwa ijumatatu iliyopita, batch yapili majina yatatoka Jumatatu yakeshokutwa watu wameshaanza kurudi makwao.
Pote nipo Mkuu.Bado unaishi nyikani.Usije mjini utasumbua wananchi.
watakuwa wamekimbia mvua tu inanyesha mno. ama la, mkataba unakuwa umevunjwa hapo, aidha wao au sisi kuna mmoja anakuja kulipa mabilioni hapo mbeleni. hii ndio Tanzania.Hizi nitaarifa mbaya sana Kwa watanzania wenzetu, kaya Zaid ya elfu 3 zinakosa ajira ya Moja kwa moja baada ya mradi wa Tabora-isaka, kusimama, na YAPI MERKEZ kuanza kulipa wafanyakaz wake stahiki zao, batch yakwanza imelipwa ijumatatu iliyopita, batch yapili majina yatatoka Jumatatu yakeshokutwa watu wameshaanza kurudi makwao.
Usiwe na hofu.Kazi iendeleePote nipo Mkuu.
Vipi Umeona nakusumbua au una shida gani tuongee...
Nikue Mara ngapi? Hapa Jamiiforum Jukwaa huru ambapo mtu anatoa maoni yake. Ukitaka habari wafuate hao Millard Ayo huko.Ukikua utajua
Shida watu hua hawajui , na Wala hua hawawezi kupiga hesabu za mbele Kwa kuangalia nyuma.Nchi imefunguka
Labda kazi uendelee ya ufisadi.Usiwe na hofu.Kazi iendelee