Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hiyo Usithubutu.Ukikamatwa unavunjwa viwiko ofisi ya Kijiji bila kuhojiwa sana.lLabda kazi uendelee ya ufisadi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo Usithubutu.Ukikamatwa unavunjwa viwiko ofisi ya Kijiji bila kuhojiwa sana.lLabda kazi uendelee ya ufisadi.
Huyu ndugu yenu Alie ingia kipi Cha maana alicho fanya tangu mwendazake aondoke?Huyo ni fisadi kama mafisadi wengine! Nyinyi ndio wale mlikuwa mkiitwa "wanyonge" mnashangilia na kupiga vigelegele
PUMBAV!!!
Ndo kazi ilobaki saivi ya kuua na kuvunja watu sabab ya kukosoa etiHiyo Usithubutu.Ukikamatwa unavunjwa viwiko ofisi ya Kijiji bila kuhojiwa sana.l
Nazungumza jambo nililo na uhakika nalo.
.
Serekali yetu isiogope kukopa world bank chukueni fedha za kutosha kumaliza mradi mzima na mabehewa na vichwa vyatreni msikope roborobo.Hizi nitaarifa mbaya sana Kwa watanzania wenzetu, kaya Zaid ya elfu 3 zinakosa ajira ya Moja kwa moja baada ya mradi wa Tabora-isaka, kusimama, na YAPS MERKEZ kuanza kulipa wafanyakaz wake stahiki zao, batch yakwanza imelipwa ijumatatu iliyopita, batch yapili majina yatatoka Jumatatu yakeshokutwa watu wameshaanza kurudi makwao.
Turkey and the UAE have engaged in a series of proxy political-military conflicts between the Horn of Africa and the eastern Mediterranean. Beyond this, their rivalry plays out in the halls of Washington and Brussels, the global media discourse, the energy industry, and, lately, ports and the high seas.
mweziHuna unalojua..
Mradi kapewa mchina.. Hivyo mchina ndio atatoa ajira upya. Atafanya recruitment kwa vigezo vyake.
Mradi una Endelea.. Ila mkandarasi ndio amebadilishwa.
Sasa mkuu lot no 4 ni ipi?. Lot no 4 ni TABORA Kwenda ISAKA.Unless unazungumzia kipande cha kuanzia Isaka , ila Tabora to Kigoma alishinda mchina mpaka Kigoma na wako kwenyee maandalizi ya Camp. Kama Yapi ameshindwa wapewe wachina tu ijengwe kwa mkopo.
Sasa tukiwaeleza watu wanakua wabishi kua tunachafua Serikali, Serikali unaichafua Kwa kusema ukweli?.Ni kweli kazi wameuza kampuni spain au philipine sina hakika lakini ukweli wanafungashaaa......nadhani lot 3 atapewa mchina pia
mwezi
Kwahio unakubali YAPI MERKEZ anafungasha virago?.
Nawalioajiriwa na YAPI MERKEZ wanaachishwa kazi?.
Nakama kapewa mchina ,hatujui lini mchina ataanza kazi?. Lakini Kwa Nini apewe CCEC nasio CHINA RAILWAY 15 Anaehusika na miradi ha Reli, hata mbeya, Pwani na Lindi kapewa china RAILWAY 15, hata mbeya mwezi wa nne mwakani wataanza marekebuso ya Reli hawahawa CHINA RAILWAY 15,maana ndio kampuni yakichina inayohusika naujenzi wa Reli. Nikusaidie mkuu Mimi kazi zangu nadeala namakampuni mengi ya haya ya nchi mbali mbali hasa ya construction so naelewa nalokuambia.
MTANIKUMBUKAHizi ni taarifa mbaya sana kwa Watanzania wenzetu, kaya zaid ya elfu 3 zinakosa ajira ya moja kwa moja baada ya mradi wa Tabora-Isaka, kusimama, na YAPI MERKEZ kuanza kulipa wafanyakazi wake stahiki zao.
Batch ya kwanza imelipwa Jumatatu iliyopita, batch ya pili majina yatatoka Jumatatu ya kesho kutwa, watu wameshaanza kurudi makwao.
Kwanin mkandarasi kabadilishwa?.Mradi wa SGR unaendelea.
Mkandarasi tu ndio amebadilishwa. Sasa hayo mengine ni ya kwako Sina ufahamu nayo.
Mkuu tymkumbuke nani, nchi sio familia kwamba akiwa hayupo mama au Baba haitoenda mbele.MTANIKUMBUKA
Kwanin mkandarasi kabadilishwa?.
Mkuu tymkumbuke nani, nchi sio familia kwamba akiwa hayupo mama au Baba haitoenda mbele.
Mbowe amekwenda Hanang na kavaa gwanda😎Hizi ni taarifa mbaya sana kwa Watanzania wenzetu, kaya zaid ya elfu 3 zinakosa ajira ya moja kwa moja baada ya mradi wa Tabora-Isaka, kusimama, na YAPI MERKEZ kuanza kulipa wafanyakazi wake stahiki zao.
Batch ya kwanza imelipwa Jumatatu iliyopita, batch ya pili majina yatatoka Jumatatu ya kesho kutwa, watu wameshaanza kurudi makwao.
Kama humjui Alie Saini usione aibu kuulizaMwendazake kwanini alikurupuka kusaini mikataba huku akijua hamna hela??
Au ndio alikuwa anatafuta kiki
Kwanini usiseme jamaa alkua na akili ya kutumia raslimali za nchi kwa kuijenga nchi? Vp kama wanagawana pesa na kupotezea miradiMwendazake kwanini alikurupuka kusaini mikataba huku akijua hamna hela??
Au ndio alikuwa anatafuta kiki
YAPI MERKEZ Hana fedha?. Au Serikali ya Tz ndio haina fedha ya kuwalipa Kwa wakati?.Huyo mkandarasi Hana hela, na pia ana matatizo yake ya ndani kwenye kampuni.
huu uongo huwa mnautoa wapiHizi ni taarifa mbaya sana kwa Watanzania wenzetu, kaya zaid ya elfu 3 zinakosa ajira ya moja kwa moja baada ya mradi wa Tabora-Isaka, kusimama, na YAPI MERKEZ kuanza kulipa wafanyakazi wake stahiki zao.
Batch ya kwanza imelipwa Jumatatu iliyopita, batch ya pili majina yatatoka Jumatatu ya kesho kutwa, watu wameshaanza kurudi makwao.