Pesa nyingi inapelekwa kujenga ZanzibarNchi imefunguka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa nyingi inapelekwa kujenga ZanzibarNchi imefunguka
Hakuna mahala nimesema YAPI WANA OUT SOURCE, ingawa wanaout source, Bali nimemukuambia Kuna baadhi ya vifaa hawawez kuvitumia mpaka third party avikague, nakupa mfano wakifaa Chao kimoja ambacho hawawez tumia mpaka wapate uhakiki wa taarifa zake kama nisahihi ni OTDR, na hii wakiitumia Kila baada ya mwaka wanairudisha china, au South Africa au UK kwenye kampuni ya EXFO. Kwahio Mimi nikipewa authorization na EXFO kama services provider wao east Africa siwezii kuwarekebisha YAPI MERKEZI OTDR zao?.
Mkuu kaa Kwa kutulia Kuna kampuni kibao tu zinafanya kazi na YAPI MERKEZI, lkn Kwa vile wewe hujui huwezi kuelewa.
Mfano wakampuni ya kibongo ambayo YAPI MERKEZI Wameout source ni MAGARE COMPANY LTD. wanadeal na system zote za mabomba kwenye mradi.
Nshaona najenga hoja namtu amabe hajui kazi zinafanyikaje.
Alikua na uhakika wa kuzikwapua toka kt accounts za watuMwendazake kwanini alikurupuka kusaini mikataba huku akijua hamna hela??
Au ndio alikuwa anatafuta kiki
Nyafwili katika ubora wako,.😁😁Mbona serikali ilisema haidaiwi, imekuaje tena?? 😐😐😐
Nakuuliza tu suali Kwa Nini TBS, SGS, B.VITALIS, CALTES huwa wanaenda YAPI MERKEZ kukagua baadhi ya vifaa vyao hasa ambavyo inatakiwa vifanyiwe calibration, ili wavipatie certification ya kuonyesha vifaa hivyo viko katka ubora gani?, nazoezi hilo inatakiwa lifanyike Kila mwaka Unafikiri Kwa Nini hawavikagui wenyewe?.Maandishi mengi Ila hakuna kitu.
Unajua maana ya ku outsource kweli? Hao watengeneza Bomba sio outsourced. Wana simama kama sub-constructor.
Nachopinga na ambacho hakipo ni kampuni ya nje kwenda kuwafanyia service kwenye vifaa au mitambo yao. Hiyo hakuna.
Na vifaa vinanunuliwa under warranty na service charges plus transportation kwenda kwa supplier au manufacturer inakuwa covered kwenye warranty certificate.
Again acha uongo. Maelezo marefuuuu ili kutetea hoja yako Ila hamna kitu.
Kmmk macho kumchuzi mwisho ni desember HiiPesa nyingi inapelekwa kujenga Zanzibar
Ngoja tufanye uteuzi wa sabaya kuzima hili
Si ndo maana alikuwa anaminya mishahara ya watu,..anapekua akaunti za watu,..haajiri,..katesa watu mambo yamekuwa vilevile tu!Mwendazake kwanini alikurupuka kusaini mikataba huku akijua hamna hela??
Au ndio alikuwa anatafuta kiki
Umeliona lile tolori ya umeme 😀😀.Nyafwili katika ubora wako,.😁😁
Nchi ifunguke Kwani huu uchiNchi imefunguka
Katili yuleAlikua na uhakika wa kuzikwapua toka kt accounts za watu
Wazungu wanakwenda likizo kwao kwa hiyo kazi hazitaendelea. Wafanyakazi wanatakiwa kuondoka site wakale sikukuu makwao na kama wamelipwa mishahara miwili basi ni sahihi mwajiri lazima akulipe hata kama uko likizo. NSSF zinalipwa kila mishahara inapolipwa hivyi hilo sio tatizo. anaetakiwa kudai NSSE ni mwajiriwa sio mwajiri ili awalipe waajiriwa........Mchina hana dini wala sikukuu. wao wana sikukuu moja tu hivyo wanaendelea na kazi.
Nakuuliza tu suali Kwa Nini TBS, SGS, B.VITALIS, CALTES huwa wanaenda YAPI MERKEZ kukagua baadhi ya vifaa vyao hasa ambavyo inatakiwa vifanyiwe calibration, ili wavipatie certification ya kuonyesha vifaa hivyo viko katka ubora gani?, nazoezi hilo inatakiwa lifanyike Kila mwaka Unafikiri Kwa Nini hawavikagui wenyewe?.
Then baada yakujibu Hilo suali ujiite wewe nimjinga.
Nikuongezee tu elimu nyingine Kuna baadhi ya vifaa hata ikiwa nivipya na vinawarant ya miaka mitano haviruhusiwi kutumika mpaka viwe vimechekiwa na third party ambae yupo accredited kwenye service hiyo, na awe ametimiza masharti yote ya ISO 2017 hapa tunazungumzia ubora wavifaa, Sasa. Nahilo linaangaliwa na third party ambae hanufaiki na mradi na nitakwa lakisheria katika nchi yeyote Dunian ambayo nimwanachma wa ISO.
Africa is for africaHizi ni taarifa mbaya sana kwa Watanzania wenzetu, kaya zaid ya elfu 3 zinakosa ajira ya moja kwa moja baada ya mradi wa Tabora-Isaka, kusimama, na YAPI MERKEZ kuanza kulipa wafanyakazi wake stahiki zao.
Batch ya kwanza imelipwa Jumatatu iliyopita, batch ya pili majina yatatoka Jumatatu ya kesho kutwa, watu wameshaanza kurudi makwao.
Mkuu unaenda gugo hata kujielimisha kabla hujaandika vitu, kwanza Tbs ndio government entity pekee inayofanya calibration hapa nchini, nahizo nilizokutajia zote zinafanya calibration. Then ukishajielimisha juu yahizo kazi uje uendelee na mada, nenda gugo andika tu CALIBRATION COMPANY IN TANZANIA then ukimaliza urudi hapa.TBS anaenda kuchukua sample kupima ubora. Hafanyi calibration ya chochote. Kwanza sio majukumu yake. Hao wengine pia ni watu wa ubora. Na hawajawahi kukagua ubora hapa ndani ya nchi.. Wanatumika huko nje kukagua kabla vitu havijaja huku.
Pili, ni taasisi au idara za Serikali tu ndio zinaenda kufanya calibration, mfano wakalala wa vipimo.. Au watu wa mionzi hukagua mashine zile za kupima density ya udongo ambazo zinakuwaga na radioactive materials.
Hivyo acha uongo, hakuna private company inakwenda kufanya service ya mtambo au kifaa chochote cha mkandarasi.
Unaamini Kila unachoambiwa na hii serekali ya majizi ya kura?Mbona serikali ilisema haidaiwi, imekuaje tena?? 😐😐😐
Mkuu unaenda gugo hata kujielimisha kabla hujaandika vitu, kwanza Tbs ndio government entity pekee inayofanya calibration hapa nchini, nahizo nilizokutajia zote zinafanya calibration. Then ukishajielimisha juu yahizo kazi uje uendelee na mada, nenda gugo andika tu CALIBRATION COMPANY IN TANZANIA then ukimaliza urudi hapa.
Pili wakala wa vipimo hafanyi calibration Bali anafanya VERIFICATION, then ukijua utofaut wa CALIBRATION na VERIFICATION urudi tuendelee na mada.
Soma screenshot hapa chini ili ujue kama TBS kama wanafanya calibration au wanafanyi. Na pili lazima ujue sifa Gani zinazingatiwa ili kampuni ifanye hizo kazi, kwahio YAPI kwenye suala la calibration Wana outsource au hawafanyi?.
Oyaa we chawa unajua wakandarasi wa ndani wanadai kiasi gani? Toka September unajua kama hazina hakuna hata pesa ya kulipa mil 200 ya wakandarasi wadogo wa ndaniMchina alijitolea kugharamia mwanza Dsm, Tabora Kigoma fedha yote, JPM kwa kusaka ten percent akakataa, akaanza kuzunguka kwenye vibenki vya kariakoo kukopa