Mradi wa siri kuhuisha silaha za nuclear za Ukraine unakaribia kuanza majaribio

Mradi wa siri kuhuisha silaha za nuclear za Ukraine unakaribia kuanza majaribio

Championship

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2019
Posts
5,500
Reaction score
10,616
Taarifa ambazo zimepatikana ni kwamba Ukraine anakaribia kumaliza kuhuisha silaha za nyuklia zilizokuwa decommissioned.

Ikumbukwe kwamba mwaka 1994 Ukraine aliondoa silaha za nyuklia zilizokuwa zinamilikiwa na USSR. Kulikuwa na zaidi ya nukes 1700.

Sasa wamehuisha baadhi kwa msaada wa mataifa rafiki (tangu mwaka 2014) na wanakaribia kuanza kufanya majaribio.

Hizi ndio salamu za Zelensky kwa wavamizi.
 
Mipango yote ya siri.iliyokuwa under the carpet, Russia alizidismantle na hivi karibuni atatoa USHAHIDI ktk Dunia kile ambacho kikifanyika kwa siri ktk maabara ya Ukraine kwa ufadhiri wa West.

Hizo atomic bombs hazitapenya sababu ktk hii Vita kila kitu kilijulikana na Wanaume wakajipanga.

Juzi wameingiza mfumo rasmi wa Ulinzi unahitwa s-550, s-500, pia zipo s400, na s350, na s300. Pia zipo siraha zinajamisha missiles, na zile za kuyeyusha missiles za mionzi.

Mataifa Kama Urusi, China, USA wanazo Kinga dhabiti za Ulinzi.

Mtoa mada nakuahauri uwe mtafiti, utapata faida.
 
🤣🤣🤣 Mwaka huu mtamaliza Kila aina ya mitindo ya kujifariji. Yeye azilete tu Kuna s500 na S 550 zinatungua km 400 zinasubiri kuzitungua na zitadondokea kwake ukrein hapo sasa.
Mabomu kutokea Ukraine mpaka Moscow ni dakika 7 tu. Hayo machuma yataamka wakati mabomu yameshatua.

Kinachomfanya Putin apambane kukamata mashariki ya Ukraine ni katika jitihada za kufanya angalau umbali uongezeke pawe na minimum dakika 10 kabla Kremlin haijawa majivu ili interceptor zao ziweze kuamka mapema kabla mabomu hayajazivuka..
 
Mabomu kutokea Ukraine mpaka Moscow ni dakika 7 tu. Hayo machuma yataamka wakati mabomu yameshatua.

Kinachomfanya Putin apambane kukamata mashariki ya Ukraine ni katika jitihada za kufanya angalau umbali uongezeke pawe na minimum dakika 10 kabla Kremlin haijawa majivu ili interceptor zao ziweze kuamka mapema kabla mabomu hayajazivuka..
Kwanza hao waukraine hawana hizo mabomu acha story za vijiweni weka evidence.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Hawa waukrein sijui ni wazungu wa wapi hawana akili. Yaani akili zao ni kama za africa we unaharibu nyuklia kwa kuahidiwa kulindwa na nchi nyingine.
Kwakweli jamaa walifanya maamuzi kama chifu mangungo au hawa watawala wa kijani. Hawakutakiwa kuondoa nyuklia zote.
 
Taarifa ambazo zimepatikana ni kwamba Ukraine anakaribia kumaliza kuhuisha silaha za nyuklia zilizokuwa decommissioned.

Ikumbukwe kwamba mwaka 1994 Ukraine aliondoa silaha za nyuklia zilizokuwa zinamilikiwa na USSR. Kulikuwa na zaidi ya nukes 1700.

Sasa wamehuisha baadhi kwa msaada wa mataifa rafiki (tangu mwaka 2014) na wanakaribia kuanza kufanya majaribio.

Hizi ndio salamu za Zelensky kwa wavamizi.
Hapo unazidi kutoa evidence kwamba Ukraine ingeweza kuwa tishio Kwa usalama wa urusi kama wangeachiwa kuwa NATO sijui nyie Team NATO lini mtapata Akili.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Muda huu wa vita unataka waseme location ili kinu kilipuliwe? Yatakapokuwa actively ready ndio utajionea advertisement.
Lakini mkuu kuna muda ukifika tuache ushabiki kuhusu Vita vya nuclear Kwa Sababu dunia nzima itaathirika hata afrika.Kwa mfano Ukraine akishambulia urusi kama anauwezo huo na urusi hataacha kushambulia Ukraine Tu hata walioko nyuma ya Ukraine yaani NATO alafu inakuwa Vita vya dunia na urusi ndo anasilaha za nuclear advanced kuliko yoyote.vibomu vidogodogo vya nuclear havimtishi mrussia.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Mipango yote ya siri.iliyokuwa under the carpet, Russia alizidismantle na hivi karibuni atatoa USHAHIDI ktk Dunia kile ambacho kikifanyika kwa siri ktk maabara ya Ukraine kwa ufadhiri wa West.

Hizo atomic bombs hazitapenya sababu ktk hii Vita kila kitu kilijulikana na Wanaume wakajipanga.

Juzi wameingiza mfumo rasmi wa Ulinzi unahitwa s-550, s-500, pia zipo s400, na s350, na s300. Pia zipo siraha zinajamisha missiles, na zile za kuyeyusha missiles za mionzi.

Mataifa Kama Urusi, China, USA wanazo Kinga dhabiti za Ulinzi.

Mtoa mada nakuahauri uwe mtafiti, utapata faida.
Wabongo kwa ujuaji,Dunia yote inasubiri.Mnajua siri zote za Serikali zote Duniani lakini hamna mlijualo kuhusu siri za Nchi yenu
 
Back
Top Bottom