Mradi wa siri kuhuisha silaha za nuclear za Ukraine unakaribia kuanza majaribio

Mradi wa siri kuhuisha silaha za nuclear za Ukraine unakaribia kuanza majaribio

Taarifa ambazo zimepatikana ni kwamba Ukraine anakaribia kumaliza kuhuisha silaha za nyuklia zilizokuwa decommissioned.

Ikumbukwe kwamba mwaka 1994 Ukraine aliondoa silaha za nyuklia zilizokuwa zinamilikiwa na USSR. Kulikuwa na zaidi ya nukes 1700.

Sasa wamehuisha baadhi kwa msaada wa mataifa rafiki (tangu mwaka 2014) na wanakaribia kuanza kufanya majaribio.

Hizi ndio salamu za Zelensky kwa wavamizi.
Vipi mradi unaendeleaje?

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom