Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Urusi piga Gaykraine hao
Nalog off z
Nalog off z
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urusi anarudishwa enzi za ujima kwa mashambulizi mapya ya Ukraine.Urusi piga Gaykraine hao
Nalog off z
Haya ngoja tuone itakuwajeUrusi anarudishwa enzi za ujima kwa mashambulizi mapya ya Ukraine.
Binadamu wote wangekuwa na tope kichwani kawe wewe,dunia isingekuwepoMabomu kutokea Ukraine mpaka Moscow ni dakika 7 tu. Hayo machuma yataamka wakati mabomu yameshatua.
Kinachomfanya Putin apambane kukamata mashariki ya Ukraine ni katika jitihada za kufanya angalau umbali uongezeke pawe na minimum dakika 10 kabla Kremlin haijawa majivu ili interceptor zao ziweze kuamka mapema kabla mabomu hayajazivuka..
Hongera sana kwa kuonesha uwezo wa akili yako.Binadamu wote wangekuwa na tope kichwani kawe wewe,dunia isingekuwepo
👏👏👏 Big up mkuuNitasoma.
Unajua maana ya kuuisha lakini?Hawa waukrein sijui ni wazungu wa wapi hawana akili. Yaani akili zao ni kama za africa we unaharibu nyuklia kwa kuahidiwa kulindwa na nchi nyingine.
Na ndo maana Russia yahakikisha yaangamiza hizo silaha kitaalam (demitarilization) ili kuondoa zahama kama hizo.Taarifa ambazo zimepatikana ni kwamba Ukraine anakaribia kumaliza kuhuisha silaha za nyuklia zilizokuwa decommissioned.
Ikumbukwe kwamba mwaka 1994 Ukraine aliondoa silaha za nyuklia zilizokuwa zinamilikiwa na USSR. Kulikuwa na zaidi ya nukes 1700.
Sasa wamehuisha baadhi kwa msaada wa mataifa rafiki (tangu mwaka 2014) na wanakaribia kuanza kufanya majaribio.
Hizi ndio salamu za Zelensky kwa wavamizi.
Wakaishi kwengine RUSSIA hainashida nahao MAMLUKIWatu milioni tano wamekimbia urusi kwasababu ya vikwazo. Madhara ya matumizi ya nguvu yataendelea kuwepo kwa miaka mingi ijayo.
Wewe unaandika kimahaba zaidi wakati urusi inazidi kuangamia.Wakaishi kwengine RUSSIA hainashida nahao MAMLUKI
TAIFA TEULE la RUSSIA halina time na mamluki
Urusi amechelewa kwasababu sasa hivi Ukraine watakuwa na active nukes.Na ndo maana Russia yahakikisha yaangamiza hizo silaha kitaalam (demitarilization) ili kuondoa zahama kama hizo.
Mie nakupa FACTWewe unaandika kimahaba zaidi wakati urusi inazidi kuangamia.
Maisha urusi ni magumu sana sasa hivi. Ile nchi ni ya kidikteta ndio maana taarifa haziwekwi sana mitandaoni. Pia makampuni mengi ambayo yangeihabarisha dunia yameshaondoka kule.Mie nakupa FACT
Baada ya wao kuondoka vitu vimepanda bei wapi MKUU !!!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hizi taarifa hadi wewe kiazi unazo jua kabisa Russia knows better ana ataziangamizia ghalaniTaarifa ambazo zimepatikana ni kwamba Ukraine anakaribia kumaliza kuhuisha silaha za nyuklia zilizokuwa decommissioned.
Ikumbukwe kwamba mwaka 1994 Ukraine aliondoa silaha za nyuklia zilizokuwa zinamilikiwa na USSR. Kulikuwa na zaidi ya nukes 1700.
Sasa wamehuisha baadhi kwa msaada wa mataifa rafiki (tangu mwaka 2014) na wanakaribia kuanza kufanya majaribio.
Hizi ndio salamu za Zelensky kwa wavamizi.
We upo Urusi?Maisha urusi ni magumu sana sasa hivi. Ile nchi ni ya kidikteta ndio maana taarifa haziwekwi sana mitandaoni. Pia makampuni mengi ambayo yangeihabarisha dunia yameshaondoka kule.
Jifunze kwanza kuandika lugha ya staha.Kama hizi taarifa hadi wewe kiazi unazo jua kabisa Russia knows better ana ataziangamizia ghalani
Nikosoe hapo kwenye uandishi halafu tuendeleeJifunze kwanza kuandika lugha ya staha.
Nyie wanywa vodka muda wote lazima mtukane?Nikosoe hapo kwenye uandishi halafu tuendelee
Mimi sijawekewa vikwazo hivyo huwa nasafiri.We upo Urusi?