Mradi wa siri kuhuisha silaha za nuclear za Ukraine unakaribia kuanza majaribio

Mradi wa siri kuhuisha silaha za nuclear za Ukraine unakaribia kuanza majaribio

Mabomu kutokea Ukraine mpaka Moscow ni dakika 7 tu. Hayo machuma yataamka wakati mabomu yameshatua.

Kinachomfanya Putin apambane kukamata mashariki ya Ukraine ni katika jitihada za kufanya angalau umbali uongezeke pawe na minimum dakika 10 kabla Kremlin haijawa majivu ili interceptor zao ziweze kuamka mapema kabla mabomu hayajazivuka..
Binadamu wote wangekuwa na tope kichwani kawe wewe,dunia isingekuwepo
 
Taarifa ambazo zimepatikana ni kwamba Ukraine anakaribia kumaliza kuhuisha silaha za nyuklia zilizokuwa decommissioned.

Ikumbukwe kwamba mwaka 1994 Ukraine aliondoa silaha za nyuklia zilizokuwa zinamilikiwa na USSR. Kulikuwa na zaidi ya nukes 1700.

Sasa wamehuisha baadhi kwa msaada wa mataifa rafiki (tangu mwaka 2014) na wanakaribia kuanza kufanya majaribio.

Hizi ndio salamu za Zelensky kwa wavamizi.
Na ndo maana Russia yahakikisha yaangamiza hizo silaha kitaalam (demitarilization) ili kuondoa zahama kama hizo.
 
Hivi kweli Urus anaweza kutumia silaha za nyuklia wakati dunia ilishuhudia kilichotokea Hiroshima na Nagasaki?

Mtazamo wangu naona Urus hawezi kutumia silaha za nyuklia, kwa sababu anajus hata yeye atashambuliwa kwa silaha za nyuklia, na hivyo kuiharibu dunia (kuwa mwisho wa dunia)
 
Watu milioni tano wamekimbia urusi kwasababu ya vikwazo. Madhara ya matumizi ya nguvu yataendelea kuwepo kwa miaka mingi ijayo.
Wakaishi kwengine RUSSIA hainashida nahao MAMLUKI
TAIFA TEULE la RUSSIA halina time na mamluki
 
Na ndo maana Russia yahakikisha yaangamiza hizo silaha kitaalam (demitarilization) ili kuondoa zahama kama hizo.
Urusi amechelewa kwasababu sasa hivi Ukraine watakuwa na active nukes.
 
Taarifa ambazo zimepatikana ni kwamba Ukraine anakaribia kumaliza kuhuisha silaha za nyuklia zilizokuwa decommissioned.

Ikumbukwe kwamba mwaka 1994 Ukraine aliondoa silaha za nyuklia zilizokuwa zinamilikiwa na USSR. Kulikuwa na zaidi ya nukes 1700.

Sasa wamehuisha baadhi kwa msaada wa mataifa rafiki (tangu mwaka 2014) na wanakaribia kuanza kufanya majaribio.

Hizi ndio salamu za Zelensky kwa wavamizi.
Kama hizi taarifa hadi wewe kiazi unazo jua kabisa Russia knows better ana ataziangamizia ghalani
 
Back
Top Bottom