Mradi wa siri kuhuisha silaha za nuclear za Ukraine unakaribia kuanza majaribio

Mradi wa siri kuhuisha silaha za nuclear za Ukraine unakaribia kuanza majaribio

Uvamizi wa nchi yoyote hapa duniani ninaupinga. Urusi yupo Syria lakini hatuiti uvamizi. Alitakiwa kutumia njia za kidiplomasia au ujasusi kama alivyofanya Belarus lakini sio uvamizi.
Uvamizi wakuondoa magaidi kama wa UKRO NAZI unasapotiwa DUNIA nzima
Nyie msio elewa athari za MANAZI na UGAIDI wao ndio mtapinga
Inatakiwa DUNIA yawaliostaarabika iungane na anachokiendeleza RUSSIA pale UKRAINE
Ili tupate kua na DUNIA ilio salama bila MANAZI wenye misimamo mikali
Bora upange nyumba moja na Alshabab Daesh Is kuliko hao UKRO NAZI hao hawafai hata dakika
taifa teule la RUSSIA liachwe liendelee kuwadhibiti hao MAFEDHULI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwaka huu mtamaliza Kila aina ya mitindo ya kujifariji. Yeye azilete tu Kuna s500 na S 550 zinatungua km 400 zinasubiri kuzitungua na zitadondokea kwake ukrein hapo sasa.
Zimeshindwa tungua drone ilizoteketeza refinery yenu
 
Hawa waukrein sijui ni wazungu wa wapi hawana akili. Yaani akili zao ni kama za africa we unaharibu nyuklia kwa kuahidiwa kulindwa na nchi nyingine.
Walihitaji kujitawala kwa kila kitu, hawakuwa na uchaguzi mzuri kuliko walichofanya
 
Uvamizi wakuondoa magaidi kama wa UKRO NAZI unasapotiwa DUNIA nzima
Nyie msio elewa athari za MANAZI na UGAIDI wao ndio mtapinga
Inatakiwa DUNIA yawaliostaarabika iungane na anachokiendeleza RUSSIA pale UKRAINE
Ili tupate kua na DUNIA ilio salama bila MANAZI wenye misimamo mikali
Bora upange nyumba moja na Alshabab Daesh Is kuliko hao UKRO NAZI hao hawafai hata dakika
taifa teule la RUSSIA liachwe liendelee kuwadhibiti hao MAFEDHULI

Sent using Jamii Forums mobile app
Utawala wa Nazi ulishaanguka kitambo. Putin na urusi ndio zitaishia shimoni.
 
🤣🤣🤣 Eti mradi wa siri huku ww upo Buza kwa mpalange unajua,dunia hii inavituko🤣🤣🤣
Sawa mcha🐐 wa masuala ya kiusalama ya Ukraine 🤣🤣🤣
Kaa kwa utulivu ulione picha linalokuja. Urusi inakaribia kuifahamu nuclear.
 
Kaa kwa utulivu ulione picha linalokuja. Urusi inakaribia kuifahamu nuclear.
Endelea kujiliwaza kwa mashairi mazuri ili ukweli huo hapo😔😔😔
 

Attachments

  • world-nuclear-forces-2022-768x437.png
    world-nuclear-forces-2022-768x437.png
    30.6 KB · Views: 7
Endelea kujiliwaza kwa mashairi mazuri ili ukweli huo hapo😔😔😔
Jisomee hapa, nadhani bado hauna updates.

 
Jisomee hapa, nadhani bado hauna updates.

This is embarassing,source yako uzi wa mtu dah,check hii.
Hyo ni BBC na source yao ni American scientist,yaani mtu awe na mabomu yaliyoexpire alafu aogopewe ama atishie wengine,we yakuingia kichwani?na yangekua yamehaeibika,kama ukraine anaweza kuunda ye anashindwaje vilee??? Soma uje hapa
 
This is embarassing,source yako uzi wa mtu dah,check hii.
Hyo ni BBC na source yao ni American scientist,yaani mtu awe na mabomu yaliyoexpire alafu aogopewe ama atishie wengine,we yakuingia kichwani?na yangekua yamehaeibika,kama ukraine anaweza kuunda ye anashindwaje vilee??? Soma uje hapa
Nitasoma.
 
Anahuisha zipi wakati zote aliambiwa azihamishie Russia baada ya USSR kuanguka? Na waliohusika ni pamoja na hao hao mabwana zake US na West waliokubaliana naye kuzihamishia Russia.
 
Anahuisha zipi wakati zote aliambiwa azihamishie Russia baada ya USSR kuanguka? Na waliohusika ni pamoja na hao hao mabwana zake US na West waliokubaliana naye kuzihamishia Russia.
Walihamisha plutonium sio facilities.
 
Mabomu kutokea Ukraine mpaka Moscow ni dakika 7 tu. Hayo machuma yataamka wakati mabomu yameshatua.

Kinachomfanya Putin apambane kukamata mashariki ya Ukraine ni katika jitihada za kufanya angalau umbali uongezeke pawe na minimum dakika 10 kabla Kremlin haijawa majivu ili interceptor zao ziweze kuamka mapema kabla mabomu hayajazivuka..
Urusi yupo kwenye hali mbaya sana kiusalama.
 
Back
Top Bottom