Mradi wa siri kuhuisha silaha za nuclear za Ukraine unakaribia kuanza majaribio

Mradi wa siri kuhuisha silaha za nuclear za Ukraine unakaribia kuanza majaribio

Lakini mkuu kuna muda ukifika tuache ushabiki kuhusu Vita vya nuclear Kwa Sababu dunia nzima itaathirika hata afrika.Kwa mfano Ukraine akishambulia urusi kama anauwezo huo na urusi hataacha kushambulia Ukraine Tu hata walioko nyuma ya Ukraine yaani NATO alafu inakuwa Vita vya dunia na urusi ndo anasilaha za nuclear advanced kuliko yoyote.vibomu vidogodogo vya nuclear havimtishi mrussia.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Vita vya nyuklia ni hatari sana kwa dunia yote na ndio maana hatuungi mkono uvamizi aliofanya urusi.

Kuhusu ukali wa silaha za aina yoyote hapa duniani hakuna anayemfikia mmarekani. Urusi hana uchumi wa kuweza kumaintain advanced nuclear weapons nyingi.
 
Hapo unazidi kutoa evidence kwamba Ukraine ingeweza kuwa tishio Kwa usalama wa urusi kama wangeachiwa kuwa NATO sijui nyie Team NATO lini mtapata Akili.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Kila nchi duniani iwe huru kuchagua washirika. Mbona ufaransa alijitoa NATO na hakuvamiwa? England kajitoa European union hajavamiwa.
 
Vita vya nyuklia ni hatari sana kwa dunia yote na ndio maana hatuungi mkono uvamizi aliofanya urusi.

Kuhusu ukali wa silaha za aina yoyote hapa duniani hakuna anayemfikia mmarekani. Urusi hana uchumi wa kuweza kumaintain advanced nuclear weapons nyingi.
Hapa umeandika uongo Sana na umeandika kiushabiki urusi wapo Sawa kuivamia Ukraine Kwa ajili ya usalama wapo walitaka kuingia NATO na nato kuweka silaha zao na wao kuanza pia kuzalisha silaha za nuclear.kwa hiyo kuingia hapo wameweza kustop hiyo na bado.nyie Team NATO mngeamua kidogo kufikiri mbali mngeomba kuwa America Aache uchochezi kuchochea hata nchi ndugu wangombane mkuu Ukraine na urusi ni ndugu warusi wanandugu zao Ukraine kwahiyo sio rahisi warusi kuamua kuvamia ndugu zao ila Kwa Sababu ya uchochezi wa wamarekani ndo hivyo.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Vita vya nyuklia ni hatari sana kwa dunia yote na ndio maana hatuungi mkono uvamizi aliofanya urusi.

Kuhusu ukali wa silaha za aina yoyote hapa duniani hakuna anayemfikia mmarekani. Urusi hana uchumi wa kuweza kumaintain advanced nuclear weapons nyingi.
Pia hakuna bomu hatari kama samart duniani ambayo NATO wanaiita satarn.russia ndo superpower ya nuclear.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Hapa umeandika uongo Sana na umeandika kiushabiki urusi wapo Sawa kuivamia Ukraine Kwa ajili ya usalama wapo walitaka kuingia NATO na nato kuweka silaha zao na wao kuanza pia kuzalisha silaha za nuclear.kwa hiyo kuingia hapo wameweza kustop hiyo na bado.nyie Team NATO mngeamua kidogo kufikiri mbali mngeomba kuwa America Aache uchochezi kuchochea hata nchi ndugu wangombane mkuu Ukraine na urusi ni ndugu warusi wanandugu zao Ukraine kwahiyo sio rahisi warusi kuamua kuvamia ndugu zao ila Kwa Sababu ya uchochezi wa wamarekani ndo hivyo.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Kwanini urusi asijilinde akiwa ndani ya mipaka yake? Kwanini achukue ardhi ya nchi nyingine kwa kusema anajilinda?
 
Pia hakuna bomu hatari kama samart duniani ambayo NATO wanaiita satarn.russia ndo superpower ya nuclear.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Usiamini sana kauli za namna hiyo kwenye ulimwengu wa silaha. US anazo silaha nyingi na kali sana lakini hatangazi sana.

Ukitaka kumshinda adui mpe kichwa kwamba kashashinda na yuko juu. Ndicho anafanya Marekani na NATO kwa ujumla.
 
Vita vya nyuklia ni hatari sana kwa dunia yote na ndio maana hatuungi mkono uvamizi aliofanya urusi.

Kuhusu ukali wa silaha za aina yoyote hapa duniani hakuna anayemfikia mmarekani. Urusi hana uchumi wa kuweza kumaintain advanced nuclear weapons nyingi.
Huungi nanani!!!??
Kheri ya vita ya Nuclear kuliko UGAIDI wa KINAZI
RUSSIA aendelee kuwasaga saga MAGAIDI WA KINAZI
Maana ni laana kwa ULIMWENGU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini urusi asijilinde akiwa ndani ya mipaka yake? Kwanini achukue ardhi ya nchi nyingine kwa kusema anajilinda?
Usalama unatakiwa ujilinde hata nje ya mipaka yako ikibidi
Ndio maana yu esi ei akavamia AFGHANISTAN na RUSSIA anainyoosha UKRAINE
RUSSIA anatakiwa asapotiwe kwa kutokomeza MAGAIDI WAKINAZI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usalama unatakiwa ujilinde hata nje ya mipaka yako ikibidi
Ndio maana yu esi ei akavamia AFGHANISTAN na RUSSIA anainyoosha UKRAINE
RUSSIA anatakiwa asapotiwe kwa kutokomeza MAGAIDI WAKINAZI

Sent using Jamii Forums mobile app
Uvamizi wa nchi yoyote hapa duniani ninaupinga. Urusi yupo Syria lakini hatuiti uvamizi. Alitakiwa kutumia njia za kidiplomasia au ujasusi kama alivyofanya Belarus lakini sio uvamizi.
 
Taarifa ambazo zimepatikana ni kwamba Ukraine anakaribia kumaliza kuhuisha silaha za nyuklia zilizokuwa decommissioned.

Ikumbukwe kwamba mwaka 1994 Ukraine aliondoa silaha za nyuklia zilizokuwa zinamilikiwa na USSR. Kulikuwa na zaidi ya nukes 1700.

Sasa wamehuisha baadhi kwa msaada wa mataifa rafiki (tangu mwaka 2014) na wanakaribia kuanza kufanya majaribio.

Hizi ndio salamu za Zelensky kwa wavamizi.
🤣🤣🤣 Eti mradi wa siri huku ww upo Buza kwa mpalange unajua,dunia hii inavituko🤣🤣🤣
Sawa mcha🐐 wa masuala ya kiusalama ya Ukraine 🤣🤣🤣
 
Taarifa ambazo zimepatikana ni kwamba Ukraine anakaribia kumaliza kuhuisha silaha za nyuklia zilizokuwa decommissioned.

Ikumbukwe kwamba mwaka 1994 Ukraine aliondoa silaha za nyuklia zilizokuwa zinamilikiwa na USSR. Kulikuwa na zaidi ya nukes 1700.

Sasa wamehuisha baadhi kwa msaada wa mataifa rafiki (tangu mwaka 2014) na wanakaribia kuanza kufanya majaribio.

Hizi ndio salamu za Zelensky kwa wavamizi.
Fake news,wanaona wanaelekea kushindwa vita ndio maana wanatujia na.habari za kuchonga tu zisizo kuwa na kichwa wala moguu!!
 
Usiamini sana kauli za namna hiyo kwenye ulimwengu wa silaha. US anazo silaha nyingi na kali sana lakini hatangazi sana.

Ukitaka kumshinda adui mpe kichwa kwamba kashashinda na yuko juu. Ndicho anafanya Marekani na NATO kwa ujumla.
Sasa kama US hawatangazi wewe ulijuwa kutoka kwenye source hipi kwamba Wamerikani ndio wanamiliki silaha kali Duniani?
 
Back
Top Bottom