Mradi wa siri kuhuisha silaha za nuclear za Ukraine unakaribia kuanza majaribio

Binadamu wote wangekuwa na tope kichwani kawe wewe,dunia isingekuwepo
 
Na ndo maana Russia yahakikisha yaangamiza hizo silaha kitaalam (demitarilization) ili kuondoa zahama kama hizo.
 
Hivi kweli Urus anaweza kutumia silaha za nyuklia wakati dunia ilishuhudia kilichotokea Hiroshima na Nagasaki?

Mtazamo wangu naona Urus hawezi kutumia silaha za nyuklia, kwa sababu anajus hata yeye atashambuliwa kwa silaha za nyuklia, na hivyo kuiharibu dunia (kuwa mwisho wa dunia)
 
Watu milioni tano wamekimbia urusi kwasababu ya vikwazo. Madhara ya matumizi ya nguvu yataendelea kuwepo kwa miaka mingi ijayo.
Wakaishi kwengine RUSSIA hainashida nahao MAMLUKI
TAIFA TEULE la RUSSIA halina time na mamluki
 
Na ndo maana Russia yahakikisha yaangamiza hizo silaha kitaalam (demitarilization) ili kuondoa zahama kama hizo.
Urusi amechelewa kwasababu sasa hivi Ukraine watakuwa na active nukes.
 
Kama hizi taarifa hadi wewe kiazi unazo jua kabisa Russia knows better ana ataziangamizia ghalani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…