Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Mrejesho: Faida nilizopata baada ya kuwatoa watoto wangu shule ya English Medium na kuwarejesha kayumba

Tatizo ni umasikini
Huo ndio ukweli kwamba mtu kafika kiwango ambacho vipaumbele vinashindana (apeleke mtoto shule nzuri ya ada kubwa au apeleke ya kawaida na pesa inayobaki afanyie mengine) maana kipato cha familia kidogo. Kingine kilicho wazi ni maandaliz kwa mzazi ambaye alijiandaa toka hajapata watoto na akatafuta kipato kizuri toka mapema ina maana uchumi wake unaweza kuhimili kupeleka watoto hizo shule, kufanya uwekezaji, n.k kifupi kujikuna kunaendana na urefu wa mkono. Haya mengine ni ya kujipa moyo tu!
 
Miezi michache iliyopita nilianzisha Uzi hapa jf wenye title" Tunao watoa watoto wetu shule za English Medium na kuwarejesha kayumba njooni tufarijiane hapa"

Lengo la Uzi lilikuwa kupata watu watakao nipa " faida" nitakazo zipata kwa kuwarejesha watoto wangu Kayumba plus maneno ya kunifariji ambayo yatasaidia kujustify uamuzi wangu.

Sababu ya kuwarejesha kayumba wanangu ni kuyumba kiuchumi. Nilipata maoni mengi mazuri. Miongoni mwa maoni niliyopata hapa JF ni pamoja na:

1. Itanisaidia kuokoa pesa ambayo ninaweza ku invest katika maeneo mengine muhimu kama vile kuwanunulia viwanja na kuwajengea nyumba watoto wangu so that wanapo fika level ya chuo at least kila mtu awe na nyumba yake moja.

2. Sintokuwa na stress za ada plus mbaya kuliko zote( ile stress maalumu ambayo mzazi unaipata wakati mtoto wako amerudishwa nyumbani ada, wakati wenzake plus jirani zako wanao soma kayumba wanaenda shule.


Nje ya JF nilipata ushauri kutoka kwa

1. Binti yangu ( yeye yupo form three shule ya kayumba pia. Nilimsomesha English Medium kuanzia la kwanza. Anasema daddy kuna watoto wamesoma shule za kiswahili lakini wapo vizuri sana darasani kuliko walio soma shule za kiingereza.

3. Brother wangu wa mtaani ambae na yeye kawarudisha watoto wake kayumba.. (huyu kasomesha hadi chuo but still bado ana watoto wa primary. Alikuwaga kichaa wa shule za English medium.

Anasema mdogo wangu mtoto wako umsomeshe kayumba au English Medium mwisho wa siku wote watakufa watazikwa" anataja jina la makaburi ya mtaani kwetu"

Akaongeza: Tofauti ya kayumba na English Medium ni lugha tu lakini mwisho wa siku wote wanaandaliwa kuajiriwa..


Kingine siku hizi watoto wanaharibika sana so hakuna guarantee mtoto wako atakuja kuwa nani hapo baadae.

Akaongeza " shule nyingi za English Medium zinawafanya wanafunzi hasa watoto wa kiume kuwa watoto walaini laini ( ana experience na watoto wake mwenyewe na rafiki zake)

Halafu haziwafundishi watoto kuhusu uhalisia wa maisha zaidi ya kuwakaririsha masomo so bora umpeleke kayumba akapambane na kukomaa huko.


MIEZI MIWILI BAADA YA KUFANYA UAMUZI.
Nimenunua kiwanja nje ya mji ( ilala rural/ mvuti) kwa sh.laki tisa na mwezi ujao Insha'allah nitapiga msingi( fundi wangu yupo kinondoni ambae alinijengea nyumba yangu ya kwanza utaratibu wake wa kazi huwaga ni" wewe ukiwa na hela yoyote hata laki TANO niite kwa lako TANO hiyo hiyo nitafanya kitu . Next time ukipata laki tatu niite. Hadi nyumba yako itakamilika. Huyu ndo alinifanya nikajenga nyumba yangu ya kwanza. Tukiwa Kino garden au hananasif tunaangalia ndondo anapokea simu za watu anao wajengea nyumba anasema ' huyu anauza mchicha' huyu mama lishe, etc. Nikawa inspired.

Kuhusu somo la kiingereza: nimenunua vitabu na cds ambayo madogo watakuwa wanajifunza wakiwa home plus tuition ya nguvu ya kiingereza.

Mungu akinipa uhai nitafanya vitu vikubwa sana kwenye familia yangu.

Kama uwezo wako mdogo, unaishi nyumba ya kupanga uswahilini, uchumi wako umeyumba, sikushauri uhangaike na English medium.

Mpeleke mwanao kayumba wewe upambane kutafuta hela.
Hebu tuchangie kidogo, unamsomesha mtoto English Medium kuanzia chekechea mpaka form six, vyuo vikuu bora kwa sasa nchini mwetu ni vya serikali vikiongozwa na UDSM. Chuoni fani za kusoma kwa mfano ni MD(udaktari wa binadamu), Sheria, Uhasibu, Uhandisi, Uchumi, Sayansi ya kompyuta, ufamasia, udaktari wa mifugo, kilimo n.k Fani zote hizi kila moja ina lugha yake, vile vikiingereza vya kawaida havipo tena kule. Kimsingi kiingereza cha kawaida kinaishia shule ya msingi, baada ya hapo Physics ina lugha yake, Chemistry, Biology, Mathematics hali kadhalika. Mimi sioni mchango wa kiingereza kivile. Cha msingi hiyo shule ya serikali ifundishe vizuri. Shule km Mzumbe, Tabora boys and girls, Kibaha, Masalato, n.k ni shule nzuri sana. Cha maana serikali iboreshe shule zake, iwalipe walimu vizuri na kuwapatia motisha mbalimbali hakuna haja ya kulipa milioni nzima eti ada ya chekechea. Elimu ni mtu mwenyewe km ana nia. Unaenda kusoma computer science/engineering hivyo vikiingereza vyako unavipeleka wapi, kule ni code na logic. Hata vichaa kule kwao uingereza wanaongea kiingereza
 
Huo ndo ukweli kwamba mtu kafika kiwango ambacho vipaumbele vinashindana (apeleke mtoto shule nzuri ya ada kubwa au apeleke ya kawaida na pesa inayobaki afanyie mengine) maana kipato cha familia kidogo. Kingine kilicho wazi ni maandaliz kwa mzazi ambaye alijiandaa toka hajapata watoto na akatafuta kipato kizuri toka mapema ina maana uchumi wake unaweza kuhimili kupeleka watoto hizo shule, kufanya uwekezaji, n.k kifupi kujikuna kunaendana na urefu wa mkono. Haya mengine ni ya kujipa moyo tu!
Hata kama una pesa lazima ujifunze kubana matumizi.
Sio busara kulipa milioni4 ili mtoto afundishwe A for Apple. Mwisho wa siku maisha ndo haya haya
 
Hebu tuchangie kidogo, unamsomesha mtoto English Medium kuanzia chekechea mpaka form six, vyuo vikuu bora kwa sasa nchini mwetu ni vya serikali vikiongozwa na UDSM. Chuoni fani za kusoma kwa mfano ni MD(udaktari wa binadamu), Sheria, Uhasibu, Uhandisi, Uchumi, Sayansi ya kompyuta, ufamasia, udaktari wa mifugo, kilimo n.k Fani zote hizi kila moja ina lugha yake, vile vikiingereza vya kawaida havipo tena kule. Kimsingi kiingereza cha kawaida kinaishia shule ya msingi, baada ya hapo Physics ina lugha yake, Chemistry, Biology, Mathematics hali kadhalika. Mimi sioni mchango wa kiingereza kivile. Cha msingi hiyo shule ya serikali ifundishe vizuri. Shule km Mzumbe, Tabora boys and girls, Kibaha, Masalato, n.k ni shule nzuri sana. Cha maana serikali iboreshe shule zake, iwalipe walimu vizuri na kuwapatia motisha mbalimbali hakuna haja ya kulipa milioni nzima eti ada ya chekechea. Elimu ni mtu mwenyewe km ana nia. Unaenda kusoma computer science/engineering hivyo vikiingereza vyako unavipeleka wapi, kule ni code na logic. Hata vichaa kule kwao uingereza wanaongea kiingereza

Moderator hii comment naomba mu ipin. Komenti iliyo kwenda shule.

Mkuu , You are the true son of your father.

Baba ako hakusingiziwa. Wewe ni mtoto wake kabisa.
 
Miezi michache iliyopita nilianzisha Uzi hapa jf wenye title" Tunao watoa watoto wetu shule za English Medium na kuwarejesha kayumba njooni tufarijiane hapa"

Lengo la Uzi lilikuwa kupata watu watakao nipa " faida" nitakazo zipata kwa kuwarejesha watoto wangu Kayumba plus maneno ya kunifariji ambayo yatasaidia kujustify uamuzi wangu.

Sababu ya kuwarejesha kayumba wanangu ni kuyumba kiuchumi. Nilipata maoni mengi mazuri. Miongoni mwa maoni niliyopata hapa JF ni pamoja na:

1. Itanisaidia kuokoa pesa ambayo ninaweza ku invest katika maeneo mengine muhimu kama vile kuwanunulia viwanja na kuwajengea nyumba watoto wangu so that wanapo fika level ya chuo at least kila mtu awe na nyumba yake moja.

2. Sintokuwa na stress za ada plus mbaya kuliko zote( ile stress maalumu ambayo mzazi unaipata wakati mtoto wako amerudishwa nyumbani ada, wakati wenzake plus jirani zako wanao soma kayumba wanaenda shule.


Nje ya JF nilipata ushauri kutoka kwa

1. Binti yangu ( yeye yupo form three shule ya kayumba pia. Nilimsomesha English Medium kuanzia la kwanza. Anasema daddy kuna watoto wamesoma shule za kiswahili lakini wapo vizuri sana darasani kuliko walio soma shule za kiingereza.

3. Brother wangu wa mtaani ambae na yeye kawarudisha watoto wake kayumba.. (huyu kasomesha hadi chuo but still bado ana watoto wa primary. Alikuwaga kichaa wa shule za English medium.

Anasema mdogo wangu mtoto wako umsomeshe kayumba au English Medium mwisho wa siku wote watakufa watazikwa" anataja jina la makaburi ya mtaani kwetu"

Akaongeza: Tofauti ya kayumba na English Medium ni lugha tu lakini mwisho wa siku wote wanaandaliwa kuajiriwa..


Kingine siku hizi watoto wanaharibika sana so hakuna guarantee mtoto wako atakuja kuwa nani hapo baadae.

Akaongeza " shule nyingi za English Medium zinawafanya wanafunzi hasa watoto wa kiume kuwa watoto walaini laini ( ana experience na watoto wake mwenyewe na rafiki zake)

Halafu haziwafundishi watoto kuhusu uhalisia wa maisha zaidi ya kuwakaririsha masomo so bora umpeleke kayumba akapambane na kukomaa huko.


MIEZI MIWILI BAADA YA KUFANYA UAMUZI.
Nimenunua kiwanja nje ya mji ( ilala rural/ mvuti) kwa sh.laki tisa na mwezi ujao Insha'allah nitapiga msingi( fundi wangu yupo kinondoni ambae alinijengea nyumba yangu ya kwanza utaratibu wake wa kazi huwaga ni" wewe ukiwa na hela yoyote hata laki TANO niite kwa lako TANO hiyo hiyo nitafanya kitu . Next time ukipata laki tatu niite. Hadi nyumba yako itakamilika. Huyu ndo alinifanya nikajenga nyumba yangu ya kwanza. Tukiwa Kino garden au hananasif tunaangalia ndondo anapokea simu za watu anao wajengea nyumba anasema ' huyu anauza mchicha' huyu mama lishe, etc. Nikawa inspired.

Kuhusu somo la kiingereza: nimenunua vitabu na cds ambayo madogo watakuwa wanajifunza wakiwa home plus tuition ya nguvu ya kiingereza.

Mungu akinipa uhai nitafanya vitu vikubwa sana kwenye familia yangu.

Kama uwezo wako mdogo, unaishi nyumba ya kupanga uswahilini, uchumi wako umeyumba, sikushauri uhangaike na English medium.

Mpeleke mwanao kayumba wewe upambane kutafuta hela.
Ila maisha yanaenda haraka sana, kipindi chetu tunaingia sekondari miaka ya themanini mwishoni, kusoma private ilikuwa aibu maana ni kwa wale waliofeli, leo kusoma huko ni fahari, kisa kiingereza na ada kubwa. Tumejiwekea social classes kutumia hizi shule, ambaye hana uwezo naye anajifaragau aoneka yumo wakati huo anateseka. Mwisho wengine wanakuja kuuza baa na vikiingereza vyao. Shule mtoto anatakiwa apige vizuri Hisabati na masomo ya sayansi yakiwemo ya uchumi na biashara hayo ndiyo maisha siyo lugha ya watu, bado ni utumwa tu.
 
Sababu ya kuwarejesha kayumba wanangu ni kuyumba kiuchumi. Nilipata maoni mengi mazuri. Miongoni mwa maoni niliyopata hapa JF ni pamoja na:

1. Itanisaidia kuokoa pesa ambayo ninaweza ku invest katika maeneo mengine muhimu kama vile kuwanunulia viwanja na kuwajengea nyumba watoto wangu so that wanapo fika level ya chuo at least kila mtu awe na nyumba yake moja.
Kuwajengea nyumba ni Investment? Wewe akili huna.Ungesema unawaanzishia biashara ungeeeleweka .Nyumba na viwanja vyako vya kipuuzi vitawasaidia nini?

Wahindi maisha yao wanapanga wanadomesha watoto.best schools na watoto wao wana maisha mazuri mno.pamoja na watoto wao hawaishi uswahilini wanaishi katikati ya miji maisha mazuri mno wote wazazi na watoto kuliko wewe mwenye viwanja vya hovyo nje ya mji huko uswahilini

Nyumba na viwanja.navyo ni vitu vya kujivunia kuwa ume sacrifice watoto wasome Kayumba kisa ubaki na vihela koko vya kuwajengea nyumba na kuwanunulia viwanja koko nje ya mji huko uswahilini?

Wewe akili zimo kichwani kweli?
Unaelewa maana ya sacrifice?
 
Huo ndo ukweli kwamba mtu kafika kiwango ambacho vipaumbele vinashindana (apeleke mtoto shule nzuri ya ada kubwa au apeleke ya kawaida na pesa inayobaki afanyie mengine) maana kipato cha familia kidogo. Kingine kilicho wazi ni maandaliz kwa mzazi ambaye alijiandaa toka hajapata watoto na akatafuta kipato kizuri toka mapema ina maana uchumi wake unaweza kuhimili kupeleka watoto hizo shule, kufanya uwekezaji, n.k kifupi kujikuna kunaendana na urefu wa mkono. Haya mengine ni ya kujipa moyo tu!
Ndo maana nikasema umasikini na vipaumbele, wanaosomesha watoto wao shule international lengo lao ni mtoto kuelimika na kuwa tofauti na wengine.

Wanaosomesha English medium lengo lao jinginw

Wanaosomesha Elimu Bure wengi wao ni kutokana na umasikini
 
Miezi michache iliyopita nilianzisha Uzi hapa jf wenye title" Tunao watoa watoto wetu shule za English Medium na kuwarejesha kayumba njooni tufarijiane hapa"

Lengo la Uzi lilikuwa kupata watu watakao nipa " faida" nitakazo zipata kwa kuwarejesha watoto wangu Kayumba plus maneno ya kunifariji ambayo yatasaidia kujustify uamuzi wangu.

Sababu ya kuwarejesha kayumba wanangu ni kuyumba kiuchumi. Nilipata maoni mengi mazuri. Miongoni mwa maoni niliyopata hapa JF ni pamoja na:

1. Itanisaidia kuokoa pesa ambayo ninaweza ku invest katika maeneo mengine muhimu kama vile kuwanunulia viwanja na kuwajengea nyumba watoto wangu so that wanapo fika level ya chuo at least kila mtu awe na nyumba yake moja.

2. Sintokuwa na stress za ada plus mbaya kuliko zote( ile stress maalumu ambayo mzazi unaipata wakati mtoto wako amerudishwa nyumbani ada, wakati wenzake plus jirani zako wanao soma kayumba wanaenda shule.


Nje ya JF nilipata ushauri kutoka kwa

1. Binti yangu ( yeye yupo form three shule ya kayumba pia. Nilimsomesha English Medium kuanzia la kwanza. Anasema daddy kuna watoto wamesoma shule za kiswahili lakini wapo vizuri sana darasani kuliko walio soma shule za kiingereza.

3. Brother wangu wa mtaani ambae na yeye kawarudisha watoto wake kayumba.. (huyu kasomesha hadi chuo but still bado ana watoto wa primary. Alikuwaga kichaa wa shule za English medium.

Anasema mdogo wangu mtoto wako umsomeshe kayumba au English Medium mwisho wa siku wote watakufa watazikwa" anataja jina la makaburi ya mtaani kwetu"

Akaongeza: Tofauti ya kayumba na English Medium ni lugha tu lakini mwisho wa siku wote wanaandaliwa kuajiriwa..


Kingine siku hizi watoto wanaharibika sana so hakuna guarantee mtoto wako atakuja kuwa nani hapo baadae.

Akaongeza " shule nyingi za English Medium zinawafanya wanafunzi hasa watoto wa kiume kuwa watoto walaini laini ( ana experience na watoto wake mwenyewe na rafiki zake)

Halafu haziwafundishi watoto kuhusu uhalisia wa maisha zaidi ya kuwakaririsha masomo so bora umpeleke kayumba akapambane na kukomaa huko.


MIEZI MIWILI BAADA YA KUFANYA UAMUZI.
Nimenunua kiwanja nje ya mji ( ilala rural/ mvuti) kwa sh.laki tisa na mwezi ujao Insha'allah nitapiga msingi( fundi wangu yupo kinondoni ambae alinijengea nyumba yangu ya kwanza utaratibu wake wa kazi huwaga ni" wewe ukiwa na hela yoyote hata laki TANO niite kwa lako TANO hiyo hiyo nitafanya kitu . Next time ukipata laki tatu niite. Hadi nyumba yako itakamilika. Huyu ndo alinifanya nikajenga nyumba yangu ya kwanza. Tukiwa Kino garden au hananasif tunaangalia ndondo anapokea simu za watu anao wajengea nyumba anasema ' huyu anauza mchicha' huyu mama lishe, etc. Nikawa inspired.

Kuhusu somo la kiingereza: nimenunua vitabu na cds ambayo madogo watakuwa wanajifunza wakiwa home plus tuition ya nguvu ya kiingereza.

Mungu akinipa uhai nitafanya vitu vikubwa sana kwenye familia yangu.

Kama uwezo wako mdogo, unaishi nyumba ya kupanga uswahilini, uchumi wako umeyumba, sikushauri uhangaike na English medium.

Mpeleke mwanao kayumba wewe upambane kutafuta hela.
Hata mimi kipato kilipokata nikatoka kwenye steki na soseji nikaingia kwenye dagaa wale wanaokaangwa barabarani, nikawasifu sana kwa utamu wake na ubora wake kwa kurumangia dona.
 
Back
Top Bottom