Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

fukuza, mbona sisi wengine tumeweka jaman bila ya kuomba ushauri????

NASEMA HIVI "" NITAOA HATA WANAWAKE 50,ATAKAE CHEPUKAN TARAKA INAMUHUSU HAKUNA CHA KIKAO WALA MAJADIRIANO HAPO""
IMG-20210529-WA0005.jpg
 
Et alikua alone.....nijana tu ndo umemuacha alone?

Et mbona wee unachepuka??mpuuzi kabisa


Et movie ??duuuh



Chakufanya weee Muache ndan wala usiende kupanga ,endelea kua Ratiba zako za kusafiri ivoivo, uwe unamwambia ivoivo nakuja Jmos[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Ukilifukuza nalo ni litapata Aibu

Kwa wahuni wanafataga kuliwa Ndogo


zakuambiwa changanya nazako

Kama ni mimi, tungeachana.
Haya ni mashairi kabisaa umeandika hapa...
Bado beat tu..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji28]
 
Wakuu imebidi niende mazoez kukimbia baharin maeneo ya mbalamwez beach ndio narud now ama hakika Moyo unauma sijawah kuona nimehitahid kuootezea lakin bado kuna kitu kimekaa hapa kifuan

Nimemwita Salma anipotezee mawazo na ntamwambia kisa chote nahis yeye atafurahi tu maana alitaman kuwa oficial mda wote,Ukipita maeneo ya Mikochen Plaz hapa kwa Warioba unaeza ukanukuta daaa Inauma sana.
bora ukae na Salma tuu
 
Namshangaa mleta mada. Yeye hana usafi wowote. Kakiri mwenyewe anachepuka vizuri sana. Mke kachepuka anaumia, anapata na ujasiri wa kumpiga ngumi za uso. Kisa cha kupiga mtoto ngumi za uso ni nini. Kwa usafi gani ulionao. Huo ni unafiki mkubwa hata Mungu anakushangaa. Yaani kwa sababu wewe ni mwanaume basi kuchepuka ni haki yako? Sijui wewe dini gani. Katika Mithali kuna mstari unaosema mwanaume azinie na mwanamke hana akili.

Mke kakosa ila unamhukumu weee! wakati wewe mwenyewe mzinzi.

Sasa ukapiga chini mke wako ukaenda anza moja una uhakika gani na utakaekuwa nae ni wa kwako peke yako. What if ikawa worse.

Ushauri, Tubu dhambi yako ya uzinzi, tubu kwa ajili ya mke wako. Ombea familia. Ongea na mke wako. Sameheaneni. Maisha yaendelee.

Kila la heri.
Ubarikiwe sana.
 
Mie pia nasimama na mkewe, maan huyo mkewe amefanya hivyo kwa kulipiza kisasi kwa matukio ya mumewe, maaan amesema mkewe kataja wanawake anaohisi anatembea nao, na ukweli kawapatia wote sasa hapo nn?
Mkewe hana kosa lolote, tiba ya usaliti ni kisasi.
We mwanamke katili aisee....![emoji119][emoji119][emoji119]

...
 
Hahahahahaha mwenyewe limeshangaa mkuu nimefungua tu mlango kabigwa na butwaa anawahi kuchukua ndoo aende bafun nikapiga kibao
Ila niliendelea ishi nae lakini imani kwake ilinitoka na tukazinguana tukaachana na mwisho aliombaga kurudi kipindi icho nipo kwenye stress za mapenz za kutendwa nikaona funika kombe mwanaharam apite ludi mama alafu alikua na mwanangu wa 2yrs
 
Ukimsamehe tegemea matukio mazito zaidi...
Hakika ndugu 99.99% tena matukio ya dharau. Ilinitokea 2016 nikatemana nae kwa shida sana....mpaka leo huwa ananikumbuka mana bado hajaolewa mimi nishaoa tayari
 
We tulia nae tu Kama unataka mpe pyschological torture Hadi ajirudi mwenyewe then mpe mkataba mmoja mgumu Sana

Wakati unampa psychological torture mwanamke, andaa kabisa jeneza lako.

Ni rahisi kufanya hilo kwa mwanamume na ukabaki salama, kwa mwanamke hakuna guarantee.

Unashinda au kupotezwa mazima. Hawatabiriki hasa wanapokuwa wamekata tamaa. Nafasi ya kujirudi ni ndogo sana kuliko ya kuamua liwalo na liwe.
 
Back
Top Bottom