BarajaMkush
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 1,633
- 2,975
Dada unasemaa!!!!? Ni wewe kweli huyu?kabunda88 muulize tatizo linalomfanya aende “kuangalia movie kwa jirani ninini”, siajabu kwako screen mbovu.
Enewei, hili ni jukwaa huru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada unasemaa!!!!? Ni wewe kweli huyu?kabunda88 muulize tatizo linalomfanya aende “kuangalia movie kwa jirani ninini”, siajabu kwako screen mbovu.
Kupiga hata hakusaidii. Muhimu ni kuzungumza. HAMNA KITU NACHUKIA KAMA MWANAUME ANAEMPIGA MKEWE. HATA KOSA LIWE LIPI. JAMAA KAMPIGA NGUMI YA USO MKEWE. SASA ANGEMPOFUA! YEYE NAE NI MTOTO WA MTU.Kaza buti visa viko vingi mno, namna ulivyoanza story yako hustahili kuonewa huruma, na baadae umesema mkeo anajua michepuko na kataja, sasa kwa kuwa wewe ndiye uliemuoa ungepiga mpaka ashindwe kwenda kazini wiki zima.
Ushauri huu hapa kabunda88Mkuu mi sijaoa,
Lakinj nashauri Umsamehe mwenzio mkae muishi pamoja na kukea watoto.
Kwa sababu kama kucheat na wewe ulicheat, kama kuumia nae aliumia the same sasa tazama usaliti wake ni kama malipo ya dhambi zako. Ukijitazama peke yako utaishia kuwatesa watoto tu kaka.
Katima Uandishi wako umeonekana kuwa Objective sana naaminj utanisikiliza.
Tubu, Tulia na mkeo, msihi nae atulie mjenge Familia yenu.
Hahahah uvumilivu huo sikuwa nao hasira ilikuwa inakaribia kunipasuaUngeacha mpaka waanze kufinyiana kwa ndani ndo uwavamie.
Dah nilijizuia kufanya kitu cha ajabu aisee ila siku ile yule mwanamke alikimbia ule usiku! Nilitaka nimbane nimfanyie umafia kabisa siku ile ila alichomoka na alijua nisingemuacha salama!Ikawaje mkuu?
Alikuwa demu tu sema niliishi nae kwa zaidi ya mwakaAlikuwa mke wa ndoa au mwanamke wako!!
Nilimfuta katika akili na macho yangu!Mka-break up hapo hapo au mliendelea na mahusiano?
Mkuu nipo kwenye ndoa mwaka wa kumi na mbili sasa...nakushauri kitu ambacho nakijua wewe utaamua cha kufanya lakini jukumu la kukushauri ni jukumu langu.
1.usimuache kabisa huyo mke wako
2.wake za watu wanaliwa sana, ikiwemo wangu
3.usisahau na wewe una mchepuko
4.kinachowaunganisha ni watoto na ndio watakaoumia
5.vumilia,fatilia,mkanye,kuwa mkali ila usimuache...
nicheki Pm nikupe namba yangu kwa ushauri zaidi
Usicheke mkuu ile hali sitakaa nitake ijirudieAhahahahahahahahhah
Kumbe pamoja na utata wako kidume kilishaletwa mpaka home?Hapo kama kweli umeoa basi huna mke kabisa ndugu! Ni ukweli mchungu ila lazma niuseme tu, mke kukosa hata tone la aibu na kuleta ubishi wakati kitu kafanya na ushahidi wa kimawasiliano unaashiria hilo ni dharau! Ukimsamehe tegemea matukio mazito zaidi...
Maamuzi ya mke kuchepuka anayafanya akijua kabisa madhara yake ni fatal wala sio kwamba shetani au vipi! Amefanya kusudi kuchepuka na alipanga kabisa hilo!
Hicho unachopitia niliwahi pitia ila mie nilimfumania akiwa na msela chumbani kwangu kabisa japo walikuwa hawajaanza kusex!
Umeshauri vizuri sana na kiutu uzima. Kuachana na mke kuna changamoto sana. Unaweza ukafanya kwa hasira ila madhara yake ni makubwa mno kuanzia kwa watoto wako, mke utakayemuoa na watoto utakaowazaa na hiyo mke.Pole sana,tunza watoto,ila kama una moyo mgumu kama Nduli(Mimi ninao),usiondoke nyumbani,hama kitanda tu,Ili watoto waendelee kukuona,fanya juu chini watoto waendelee kuwaona wote pamoja,watakushukuru siku moja maishani,usikimbilie kutafuta mwingine,jipe muda,mkeo anaweza akabadirika akawa kama maraika ukakuta mnaongeza watoto wengine wawili,jipe muda kidogo,watoto wakishakuwa wakubwa,kwenye miaka 12/14 hapo ukitaka kutengana kabisa ni poa,ila iwe ni last option.
Mie pia nasimama na mkewe, maan huyo mkewe amefanya hivyo kwa kulipiza kisasi kwa matukio ya mumewe, maaan amesema mkewe kataja wanawake anaohisi anatembea nao, na ukweli kawapatia wote sasa hapo nn?Mijanaume mingine ni wapuuzi sana, ukute ana matukio ya kutosha yaliyomfanya mke wake achepuke halafu anakuja hapa apate ushauri na huruma kutoka kwa mabaharia wenzake.
Simtetei mke ila kuweka wazi kuwa na yeye ana mchepuko na wala hajutii ni ukosefu wa akili.
Amekomeshwa na hata akiachana na mke wake kidonda alichokipata hakitafutika kamwe. Wazinzi wote they deserve each other.
Mwanaume ana haki ya kutembea na mwanamke zaidi ya mmoja..Hivi nyie huwa mko timamu kichwani? Mbna huyu mwanaume ana cheat sana nje huko, hamu mpi lawama? Khaaaaah
Domestic psychological warfare!Ukitaka kutoka, toka kimya kimya na sikuhoji why..
Matumizi ya familia mpatie ikiwezekana mtumie kwa mpesa japo mpo nyumba moja.
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa, mchepuko unataka kuchukua nafas ya ndoa.Unafikri jana angekua kapokelwa na mchepuko angeyajua haya ya mke kurud saa sita 6 kuna muda mchepuko unasaidia kulinda ndoa imagine sasa hv ndoa inaelekea kufa kisa mchepuko kapitiwa na usingizi hii jeur ya kulala na babe wake anarud kaitoa wapi?