Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Chukua maamuzi magumu...
Mwanamke akianza kuliwa haachi...ataliwa tena na tena ...ukimsamehe baada ya miezi tu analiwa na jamaa mwingine...Tulia wanawake waliotulia wapo utapata tu
 
Umewaza pakubwa sana mpwa......comment yako imenifikirisha sana mpaka nikarudia kusoma kisa kizima kama hakimu.....kwa mtiririko wa mawasiliano baina ya mkewe na huyo jamaa ni wazi kuwa mkewe alikuwa na hamu sana na hilo tendo.......sasa inawezekana vipi mwanamke anayetoshelezwa na mumewe akawaka tamaa kiasi cha kuulizia mchezo kwa kiu......??

Takwimu zinaonyesha vijana wakishaanza kuchepuka utendaji kazi makao makuu unapungua automatically.......lakini uhitaji wa mwanamke upo pale pale......kijana anatakiwa ajitafakali kabla hajafanya maamuzi........
Hiyo ni tabia yake tu sawa na ngozi hata upake cream utakuwa mweupe kwa muda mfupi baada inalidi kuwa nyeusi ndo tabia ilivyo.
 
Pole sana, nakushauri pitia hospitali kampime afya na mimba usije ukalea watoto wasio wako. Kama yupo salama endelea nae tu, ikitokea otherwise hutakuwa na budi
 
Nakushauri mrudishe kwao kisha chukua msg za huyo jamaa ziweke kwenye cm yako mtumie huyu pimbi. Ama mpigie na ujitambulishe ukiwa mafia sana mtafute na umjue mke wake usawazishe mchezo. Hii tabia ya kusema sijui nina watoto na tumetoka nae mbali sijui sijui tumefanya mambo mengi ni ujinga sana. Hapo hakuna tena uaminifu, kosa kubwa hapo la nyie wote ni wazinzi na waongo. Unawezaje kuishi na mtu muongo na malaya? Nyie endeleeni na dhambi zenu mtajuta siku si nyingi. Kwanza unakuwaje na mkeo anakuwa na shoga. Hizi ndoa sijui zina nini endeleeni kuoa huu ujinga nikisikia najikalia mbali kabisa na ndoa maana gunia za mkaa zinaweza kuhusika. Muache huyo mwanamke na ww acha umalaya kama unataka kuhalalisha mke wa pili fanya hivyo.
 
Hivi huu ushauri umetoa ukiwa timamu au una haha? Yaan amuache mkewe, huku yeye aendeleze uzinzi na mchepuko wake? Sasa hapo atakua anafanya nn cha maan?
Ifike wakati tuangalie usawa kwa pande zote mbili. Khaaaaah
Hamna uswa hapa duniani bi mdada,kitendo cha Mungu kuumba watu 2 na kumpa kila moja majukumu take ndipo neno usawa liliondoka hapo.
 
Chukua maamuzi magumu...
Mwanamke akianza kuliwa haachi...ataliwa tena na tena ...ukimsamehe baada ya miezi tu analiwa na jamaa mwingine...Tulia wanawake waliotulia wapo utapata tu
Ukweli ndoo huo haya maswala ya kisema sijui watoto ndo yanatuua wanaume.kwani yeye wakati anachepuka hakuona watoto ujinga huo
 
Mimi wala sikupi pole...safi sana umekomeshwa. Kuchapiwa kunauma jamani asikwambie mtu...
Imagine papuchi ya mkeo unavyoijua halafu jamaa mwingine aisuguesugue...😀😀😀, Ma.tako yanapigwa makofi huku wakikutukana. Mama.e unaweza jinyonga.
Duuuuuhhhhhh!!!
Vipi mkuu, mbona umekua harsh hivi? Hizo imagination ulizomwambia jamaa azii imagine ni hatari sana. Muonee huruma
 
Bata analea watoto wakiwa nyuma. Achana na huyo mwanamke kama unampenda kisingizio watoto endelea.
 
Hapo kama kweli umeoa basi huna mke kabisa ndugu! Ni ukweli mchungu ila lazma niuseme tu, mke kukosa hata tone la aibu na kuleta ubishi wakati kitu kafanya na ushahidi wa kimawasiliano unaashiria hilo ni dharau! Ukimsamehe tegemea matukio mazito zaidi...

Maamuzi ya mke kuchepuka anayafanya akijua kabisa madhara yake ni fatal wala sio kwamba shetani au vipi! Amefanya kusudi kuchepuka na alipanga kabisa hilo!

Hicho unachopitia niliwahi pitia ila mie nilimfumania akiwa na msela chumbani kwangu kabisa japo walikuwa hawajaanza kusex!
Alikuwa mke wa ndoa au mwanamke wako!!
 
Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.

Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba nimsamehe haja fanya chochote kibaya

Nilimsikiliza lakin hakuwa na hoja yeyote ambayo inarizisha ukamwelewa yeye alisimamia msimamo wake huo alikuwa kwa shoga yake walikuwa wanaangalia muvi ndio maana kachelewa.

Alivyofika tu chakwanza kawahi kuchukua ndoo aende bafun akaoge niliamin kweli tayar kashaliwa
Sikumkagua huko chin sikuona km kuna haja ya kufanya hivo maana ni km uzalilishaji jibu linaonyesha tu ametoka kuliwa,alivyo maliza kuoga ,

Nikachukua simu yake na kumwambia toa password akawa hataki nikapiga ngumi ya uso akatoa password niliyo yakuta humo unaeza kuzimia,

Moja nikaenda kwny calls nikakutana na calls za jamaa za saa kumi na mbili kamili jion

Pili hamna calls hata moja inayo husisha rafiki yake inayo onyesha jana waliwasiliana kukutana

Tatu kwny whasp msg nikakutana na zajamaa pia na waliplan toka saa tano asubuh nilitaka niziweke humu but nimeshindwa kuweka ila ilikuwa km hivi

Jamaa:hey beautiful missed you

Mke: hey baby missing you more

Jamaa: missed your voice sana

Mke : thanks uko free leo?
Jamaa: yes tuonane bas please
Mke😱k ntakwambia.

Hiyo ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuh hapa nakumbuka wife alipiga simu km mara 3 nikawa sikupokea nilikuwa kwny bus narud Dar na nililala nikakuta tu msg anasema
Hey baby nataka kujua unaendeleaje na unarudi lin? hapo nilimjibu Jmos usiku hiv akasema poa

Kwny saa kumi na mbili alimtafuta jamaa tena

Mke : hey uko wap tunakutana wap?
Jamaa:maaeneo ya studio kuna sehem inaitwa garden nini sijui..
Mke😛oa

Mke mida hiyo ndio kaenda na calls za jamaa ni kama saa 1830hrs nafikir alikuwa akimwelekeza

Yote hayo na msg zote hizo bado wife hajakubali km alikuwa kwa jamaa amekataa katakata

Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo nini pale ila alisistiza tu tuhame maji ni shida , nikasema poa nilitafta sehem nyingine nikalipa

Pale tukapangisha mwingine, mke alikuwa akiwasifia sifia anasema wajua kuimba ila bado hawajatoka kimziki but sikumzingatia ila namba
Wamepeana huko na ukichek jamaa ni yupo yupo anahaso na mziki mambo ya gym Bangibangi tu

Ila ndio hivo kila kitu kinamwisho wakuu akili kwangu kichwani wife kaliwa na and aground wa mziki sijui kwann wanawake wanapenda masela tu mambo ya gym nashangaa sana mtu kama huyo kuvunja ndoa yangu nipo nae toka 2016,

Wakuu ambo mko kwny ndoa mnanishaur nini?
hapa itabidi kutumia busara sana nmefanya nae vitu vingi na huyu manzi leo huu analiwa kimasihara tu inauma sana,

Cha kushangaza alimpigia simu jamaa ,alivyopokea tu jamaa inaonyesha ni wapenz na jamaa alikana ndio ww sio mpenz wangu but sio lazima niwe mpenz wako ndio ufanye .

Watoto wangu wawili mdogo ana 2years na mkubwa 4years wataishi bila Baba na mama pamoja inauma ila ndio itabid iwe hivo

Sintafanya haraka ntamwacha hapa kwny hii nyumba mimi ntaenda kupanga kwingine but watoto wangu atabaki nao yeye bado ni wadogo na ntafocus kuwahudumia na kuwasomeshe but
Itakuwa ngum sana kuwa nae tena wife haswa unapojua ameliwa na mtu wa dizan gan

Usaliti ni kitu kibaya sana wakuu leo hii Livingstone anavunja ndoa yangu hivhiv naona na katika kuchepuka kote sijawahi toka na mke wa mtu Kwann lkn imetokea kwangu?

Story hii ni ya kweli Mungu shahid hakuna nilipo ongeza japo sijaweza kuongea yote yalio tokea sintomaliza,

Hoja zake kubwa
1/ alifanya hivo kujifrahisha nafsi na haimaanishi alienda kwa jamaa
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
3/ jana alitoka kwenda kwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone

Hapaameamka na kwenda zake kazin na ubaya tunafanya sehem mmoja kaz,

Imeniuma sana wakuu sijalala kabisa leo hii iskie tu kwa mtu

Nawasilisha mtanisamehe kwa uandish nimevurugwa sana.

Unashauriwa kusoma kisa kilichotangulia: Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda
Mkuu pole sana piga moyo konde harafu songa mbele be a man kisha.

Pigia Yesu Makofi 👏👏
 
Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.

Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba nimsamehe haja fanya chochote kibaya

Nilimsikiliza lakin hakuwa na hoja yeyote ambayo inarizisha ukamwelewa yeye alisimamia msimamo wake huo alikuwa kwa shoga yake walikuwa wanaangalia muvi ndio maana kachelewa.

Alivyofika tu chakwanza kawahi kuchukua ndoo aende bafun akaoge niliamin kweli tayar kashaliwa
Sikumkagua huko chin sikuona km kuna haja ya kufanya hivo maana ni km uzalilishaji jibu linaonyesha tu ametoka kuliwa,alivyo maliza kuoga ,

Nikachukua simu yake na kumwambia toa password akawa hataki nikapiga ngumi ya uso akatoa password niliyo yakuta humo unaeza kuzimia,

Moja nikaenda kwny calls nikakutana na calls za jamaa za saa kumi na mbili kamili jion

Pili hamna calls hata moja inayo husisha rafiki yake inayo onyesha jana waliwasiliana kukutana

Tatu kwny whasp msg nikakutana na zajamaa pia na waliplan toka saa tano asubuh nilitaka niziweke humu but nimeshindwa kuweka ila ilikuwa km hivi

Jamaa:hey beautiful missed you

Mke: hey baby missing you more

Jamaa: missed your voice sana

Mke : thanks uko free leo?
Jamaa: yes tuonane bas please
Mke😱k ntakwambia.

Hiyo ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuh hapa nakumbuka wife alipiga simu km mara 3 nikawa sikupokea nilikuwa kwny bus narud Dar na nililala nikakuta tu msg anasema
Hey baby nataka kujua unaendeleaje na unarudi lin? hapo nilimjibu Jmos usiku hiv akasema poa

Kwny saa kumi na mbili alimtafuta jamaa tena

Mke : hey uko wap tunakutana wap?
Jamaa:maaeneo ya studio kuna sehem inaitwa garden nini sijui..
Mke😛oa

Mke mida hiyo ndio kaenda na calls za jamaa ni kama saa 1830hrs nafikir alikuwa akimwelekeza

Yote hayo na msg zote hizo bado wife hajakubali km alikuwa kwa jamaa amekataa katakata

Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo nini pale ila alisistiza tu tuhame maji ni shida , nikasema poa nilitafta sehem nyingine nikalipa

Pale tukapangisha mwingine, mke alikuwa akiwasifia sifia anasema wajua kuimba ila bado hawajatoka kimziki but sikumzingatia ila namba
Wamepeana huko na ukichek jamaa ni yupo yupo anahaso na mziki mambo ya gym Bangibangi tu

Ila ndio hivo kila kitu kinamwisho wakuu akili kwangu kichwani wife kaliwa na and aground wa mziki sijui kwann wanawake wanapenda masela tu mambo ya gym nashangaa sana mtu kama huyo kuvunja ndoa yangu nipo nae toka 2016,

Wakuu ambo mko kwny ndoa mnanishaur nini?
hapa itabidi kutumia busara sana nmefanya nae vitu vingi na huyu manzi leo huu analiwa kimasihara tu inauma sana,

Cha kushangaza alimpigia simu jamaa ,alivyopokea tu jamaa inaonyesha ni wapenz na jamaa alikana ndio ww sio mpenz wangu but sio lazima niwe mpenz wako ndio ufanye .

Watoto wangu wawili mdogo ana 2years na mkubwa 4years wataishi bila Baba na mama pamoja inauma ila ndio itabid iwe hivo

Sintafanya haraka ntamwacha hapa kwny hii nyumba mimi ntaenda kupanga kwingine but watoto wangu atabaki nao yeye bado ni wadogo na ntafocus kuwahudumia na kuwasomeshe but
Itakuwa ngum sana kuwa nae tena wife haswa unapojua ameliwa na mtu wa dizan gan

Usaliti ni kitu kibaya sana wakuu leo hii Livingstone anavunja ndoa yangu hivhiv naona na katika kuchepuka kote sijawahi toka na mke wa mtu Kwann lkn imetokea kwangu?

Story hii ni ya kweli Mungu shahid hakuna nilipo ongeza japo sijaweza kuongea yote yalio tokea sintomaliza,

Hoja zake kubwa
1/ alifanya hivo kujifrahisha nafsi na haimaanishi alienda kwa jamaa
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
3/ jana alitoka kwenda kwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone

Hapaameamka na kwenda zake kazin na ubaya tunafanya sehem mmoja kaz,

Imeniuma sana wakuu sijalala kabisa leo hii iskie tu kwa mtu

Nawasilisha mtanisamehe kwa uandish nimevurugwa sana.

Unashauriwa kusoma kisa kilichotangulia: Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda
Mkuu pole sana piga moyo konde harafu songa mbele be a man kisha.

Pigia Yesu Makofi 👏👏
 
Jana nimepanda bodaboda nashuka,dogo ananiambia madam mwalimu Fulani pale kazini kwenu nimemla juzi..halafu mmewe mambo safi anamuwekea mafuta full tank anahudumia familia 100% daahh!!!nimechoka na mmewe namjua baasi niliumia roho mnoo...
Dogo nimembishia kanambia hivi next time nikimla ntakushtua uje ukae pembeni ya gesti uone tunavotoka...!!!

Seriously wake za watu ni malaaaaaaya kuliko wasoolewa...!!!
Vuta picha wewe mwanamke mwenzake hali uliyojiskia je mumewe akisikia atajisikiaje?
 
Mimi wala sikupi pole...safi sana umekomeshwa. Kuchapiwa kunauma jamani asikwambie mtu...
Imagine papuchi ya mkeo unavyoijua halafu jamaa mwingine aisuguesugue...[emoji3][emoji3][emoji3], Ma.tako yanapigwa makofi huku wakikutukana. Mama.e unaweza jinyonga.
Mbinguni huendi[emoji23]
 
Back
Top Bottom