Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Nenda kapime nae afya kwanza

Halafu nakushauri baki nae kwanza usimuache watoto wadogo hao .

Mpe nafasi coz kila mtu huliwa na kula hata wewe unakula huko nje

We tulia nae tu Kama unataka mpe pyschological torture Hadi ajirudi mwenyewe then mpe mkataba mmoja mgumu Sana

Hapo mwishoni na mkewe ampe hayo umeandika..

Kwani mwanamke hana hisia??
 
Ni kumfahamisha hata kama wanaachana ajifunze kutokana na hili huko anakokwenda asirudie kosa. Si ajabu alikua ana pet pet kumbe bangi man anafanya kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Mkuu mi sijaoa,

Lakini nashauri Umsamehe mwenzio mkae muishi pamoja na kulea watoto.

Kwa sababu kama kucheat na wewe ulicheat, kama kuumia nae aliumia the same sasa tazama usaliti wake ni kama malipo ya dhambi zako. Ukijitazama peke yako utaishia kuwatesa watoto tu kaka.

Katika Uandishi wako umeonekana kuwa Objective sana naamini utanisikiliza.

Tubu, Tulia na mkeo, msihi nae atulie mjenge Familia yenu.
 
Sema hii hatari yani mwanamke Ndio anafosi kwenda kupigwa nao,aisee.....
Kuna jamaa angu amekuwa akitegwa na mke wa mtu tena ndoa changa hata miezi sita haijesha.
Jamaa angu huyo kampotezea huyi demu, acha demu alaumu.
Jamaa alinionesha msg alizikuwa anatumiw na mke wa jama.
Nawashangaa sna wabaoandika kuw hii stori ni chai.
Mademu wa sasa ni tamaa mbele hawajali ya kesho.
Mara nyingi ni wale wanawake waliozoea kupigwa hovyo kabla ya ndoa.
Atakapoolewa ataendeleza ile tabia ya kupigwa hovyo.
 
Jana nimepanda bodaboda nashuka,dogo ananiambia madam mwalimu Fulani pale kazini kwenu nimemla juzi..halafu mmewe mambo safi anamuwekea mafuta full tank anahudumia familia 100% daahh!!!nimechoka na mmewe namjua baasi niliumia roho mnoo...
Dogo nimembishia kanambia hivi next time nikimla ntakushtua uje ukae pembeni ya gesti uone tunavotoka...!!!

Seriously wake za watu ni malaaaaaaya kuliko wasoolewa...!!!
Hivi kuna mwanamke mwenye akili timamu na utashi, tena anayejiheshimu na kujitambua, akadate na boda boda? Yaan nikiona mwanamke anadate na boda boda hata niwe namuheshimu kias gan, namshusha vyeo vyote wallah.

Hawa boda boda ni wambea na chawa wakubwa, sasa hapo anakuambia wee, je kawaambia wangapi? Na huko kijiweni kwao gumzo lote ni huyo mwalimu aliyeliwa, mwsho wake habari zitasaambaa mtaan hadi mumewe atajua, na familia kuanza migogoro.

Hawa boda boda sio wa kudate nao kabisa, sijui why wanawake wengi ndo wanawapenda lol, mie nachefukwa khaaa.
 
Mkuu ameliwa huyo... Mimi nilimkuta demu anatoka guest kabisa na jamaa afu hakukubali kama alienda kucheat yani unaweza hata kucheka, mbaya zaidi wakapanga na jamaa niliyemfuma nae akanifata kuniambia kuwa hakuwa amemla na mule sio guest wakati mtaa naujua na guest naijua kabisa.. hapo ndio nikaamini hawa watyu sio! Bro maisha yana mambo mengi ya kufany
Walikuona ndezi... Yaani wakakufata kabsa na jamaa akakufata kukueleza huo ungese?? We Mola nitie nguvu
 
cocastic

Jitahidi kupunguza hasira pindi unapoelezea hisia zako. Upo huru kunipinga ninachosema, ila unaponiattack kwa kuniita mm ni mnafiki kwa kuelezea mtazamo wangu, nahisi unanikosea.

Turudi kwenye mada. Siwezi kumshauri mwanamke, wakati aliyekuja kuomba ushauri ni mwanaume. Binafsi sipendelei mahusiano yenye watu zaidi ya wawili, ndio maana jamaa nimempa ushauri huo. Hata ingekuwa ni bi dada ndio amekuja kuomba ushauri, still ningemshauri the same. Kama upo na mtu ambae ameanza kutoka na mtu mwingine tofauti na wewe, jitoe kwenye mahusiano, thats Me.
Ouk sorry kwa hilo, na ahsante kwa kunielewesha sasa.
 
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
Sababu ya kijinga sna hii, kwahio nikifanya kosa na wewe unafanya kosa ndio justification yake? Usimuache na usiondoke hapo. Take heart, imagine maisha bila watoto wako, kwani si una mchepuko? Usiondoke hapo, narudia usiondoke kwenye hio nyumba na wala usithubutu kuwaacha watoto wako.

Narudia mara ya mwisho, baki hapo hapo, mtabadilishana hata vitanda but usiondoke na usimuulize wala kuliongelea tena hilo suala. Muache kam aalivyo, uhudumie familia yako na yeye mhudumie pia kama kawaida, maisha yenyewe haya mafupi sana aiseee. Last week nimempoteza rafiki yangu kisa stress. Usikubali na usiondoke na usijiingize kwenye ulevi.
 
Muosha huoshwa. Wewe si ulikuwa ykalale kwa mchepuo ndipo uenda nyumbani Leo? Tena ningekuwa mimi.ni mwanamke na ni mke wako ningekulipizia kisasi cha michepuko mpaka uombe poo. Mkuki kwa nguruwe mtamu ila kwa binadamu mchungu. Nikuambie tu pamoja na wanaume wenzangu siku mke wako au mapenzi wako anayekupenda sana akitambua umemsaliti kisasi chake huwa siyo chepesi.

Huna haja ya kumuacha mke maana na wewe unamwibia kimapenzi. Muyamalize na wote muache michepuko. Mlee hao watoto maana mkicheza mtaachana na hao watoto watakutana na miziki ya wazazi wa kambo (baba na mama wa kambo).
Bora hata wee umesema.
 
Sema hii hatari yani mwanamke Ndio anafosi kwenda kupigwa nao,aisee...
yaani natype nafuta natypee nafuta..
nachelea tuu kusema.
U LADIES ARE SMOKING GUN
Jana nimepanda bodaboda nashuka,dogo ananiambia madam mwalimu Fulani pale kazini kwenu nimemla juzi..halafu mmewe mambo safi anamuwekea mafuta full tank anahudumia familia 100% daahh!!!nimechoka na mmewe namjua baasi niliumia roho mnoo...
Dogo nimembishia kanambia hivi next time nikimla ntakushtua uje ukae pembeni ya gesti uone tunavotoka...!!!

Seriously wake za watu ni malaaaaaaya kuliko wasoolewa...!!!
 
Kaza buti visa viko vingi mno, namna ulivyoanza story yako hustahili kuonewa huruma, na baadae umesema mkeo anajua michepuko na kataja, sasa kwa kuwa wewe ndiye uliemuoa ungepiga mpaka ashindwe kwenda kazini wiki zima.
 
Ni kweli usemalo, lakini ulishawahi kujiuliza kwa nini mwanamke akimfumania mume, mwanamke humpiga mwanamke mwenzie? Je, ulishajiuliza kwa nini mwanaume akimfumania mke anaweza kumuua mke?.. Saikolojia ya mwanamke na mwanaume ktk usaliti ipo tofauti sana. Btw: nimempa option ya kuchagua. Ndoa ni ya wawili.. Karibu kwa mjadala dada yangu japo unatetea usawa lakini pia tuzitazame kwa kina tofauti za maumbile baina yetu na zinavyofanya kazi
Kwa mtazamo wako huo, na mie mantiki yangu sina hata haja ya kujadili hilo.
 
Back
Top Bottom