Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

1. Usiwe karibu nae kwa wiki kadhaa ili usije mdhuru, kujidhuru wakati unatafakari hatima ya watoto... 2. Usaliti wa ndoa unaumiza sana hivyo shauku ya kukutana kimwili haitakuwepo, endelea na huyo mchepuko wako ili kupoza msukumo wa damu ktk ubongo/msongo wa mawazo... 3. Kubali kuwa Shetani hana huruma hata kichaa anaweza kutembea na mkeo, sasa amua kuachana nae au oa mwingine yeye abaki kulea watoto wake.. Pole sana. Uwe mkomavu wa akili. Ya dunia huenda mbele na nyuma.
 
Et alikua alone.....nijana tu ndo umemuacha alone?

Et mbona wee unachepuka??mpuuzi kabisa


Et movie ??duuuh



Chakufanya weee Muache ndan wala usiende kupanga ,endelea kua Ratiba zako za kusafiri ivoivo, uwe unamwambia ivoivo nakuja Jmos[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Ukilifukuza nalo ni litapata Aibu

Kwa wahuni wanafataga kuliwa Ndogo


zakuambiwa changanya nazako

Kama ni mimi, tungeachana.
 
kabunda88 muulize tatizo linalomfanya aende “kuangalia movie kwa jirani ninini”, siajabu kwako screen mbovu.
Umewaza pakubwa sana mpwa......comment yako imenifikirisha sana mpaka nikarudia kusoma kisa kizima kama hakimu.....kwa mtiririko wa mawasiliano baina ya mkewe na huyo jamaa ni wazi kuwa mkewe alikuwa na hamu sana na hilo tendo.......sasa inawezekana vipi mwanamke anayetoshelezwa na mumewe akawaka tamaa kiasi cha kuulizia mchezo kwa kiu......??

Takwimu zinaonyesha vijana wakishaanza kuchepuka utendaji kazi makao makuu unapungua automatically.......lakini uhitaji wa mwanamke upo pale pale......kijana anatakiwa ajitafakali kabla hajafanya maamuzi........
 
Unaonea watoto huruma kisa ni wadogo. Swali ulipo mkuta hayupo nyumba watoto walikuwa wap na nani? Kama walikuwa wenyewe jua kuwaacha waishi na mama yao na wewe kuhama utakuwa umewapa mateso zaidi
 
Hivi huu ushauri umetoa ukiwa timamu au una haha? Yaan amuache mkewe, huku yeye aendeleze uzinzi na mchepuko wake? Sasa hapo atakua anafanya nn cha maan?
Ifike wakati tuangalie usawa kwa pande zote mbili. Khaaaaah
 
Ni kumfahamisha hata kama wanaachana ajifunze kutokana na hili huko anakokwenda asirudie kosa. Si ajabu alikua ana pet pet kumbe bangi man anafanya kweli.
 
Sasa mzeeya kwa nini hamkupiga threesome hapo maana sii demu anapenda migegegdo yenu wote wawili
 
Kama hili andiko ni la kweli, maoni yangu ni haya:
1.Kuna uwezekano mkubwa mkeo alianza kukusaliti kitambo, na ni uamuzi ambao aliupanga na kuamua hivyo.
2.Mkeo wala hajajutia kufumaniwa na wewe katika matendo yake ya usaliti, ila tu amepata mshtuko kwa wewe kugundua.
3.Mkeo anajua kuwa na wewe unamsaliti (japokua kuna uwezekano wa asilimia 75 alianza usaliti kabla hata hajagundua mambo yako kulingana na story ilivyo).
4.Hao watoto kuna uwezekano wote wawili au mmojawapo si wa kwako
5.Maamuzi ya mwisho juu ya hatima ya hiyo ndoa ni ya kwako wewe na Serikali ya ubongo wako.
kabunda88
 
Mimi kwangu watoto Ni muhimu kuliko mke kutoka nje ya ndoa.
Naongea hivi kwa sababu nimekualia nje ya malezi ya baba na mama.
Halafu pia Nina watoto wawili Sasa, vile wanavyoishi kwa furaha kwa uwepo wa baba na mama, kuchepuka sio hoja.
na kutokana na tabia hizo za kuchepuka huoni inawezakuwa hata hao watoto sio wa kwako,uzinzi kwa wanandoa ni kosa baya kuliko yote katuka ndoa
 
Jana nimepanda bodaboda nashuka,dogo ananiambia madam mwalimu Fulani pale kazini kwenu nimemla juzi..halafu mmewe mambo safi anamuwekea mafuta full tank anahudumia familia 100% daahh!!!nimechoka na mmewe namjua baasi niliumia roho mnoo...
Dogo nimembishia kanambia hivi next time nikimla ntakushtua uje ukae pembeni ya gesti uone tunavotoka...!!!

Seriously wake za watu ni malaaaaaaya kuliko wasoolewa...!!!
 
Ni kumfahamisha hata kama wanaachana ajifunze kutokana na hili huko anakokwenda asirudie kosa. Si ajabu alikua ana pet pet kumbe bangi man anafanya kweli.
Kweli mpwa......vijana wengi wanamuona mke kama sanamu tu hivyo kufanya tendo kwa mazoea......sasa hawa vijana wanaopata hizi mambo kwa ngekewa hawafanyi makosa ya mume kwa kuwa wanajua huyo mke amefuata nini......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…