Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Napingana na maamuzi yako Kaka, hakuna mwanamke ambae hasaliti, Kuna msemo unasema ukitaka mahusiano yadumu jifanye mjinga wakati mwingine....... Na kuasalitiana kupo toka jana enzi na enzi. Soma kutabu Cha hoseaa. Alafu ndo ufanye maamuzi
 
🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 Kimeumana...mzee mwenzangu kumbe ushawahi kuchezeshwa ndombolo ya soro
 
Huu ushauri wa hovyo tyuuh, mbna huyo mwanaume anachepuka huko nje sana tyuuh. Au hamlioni hili? Unafiki tyuuh.

cocastic

Jitahidi kupunguza hasira pindi unapoelezea hisia zako. Upo huru kunipinga ninachosema, ila unaponiattack kwa kuniita mm ni mnafiki kwa kuelezea mtazamo wangu, nahisi unanikosea.

Turudi kwenye mada. Siwezi kumshauri mwanamke, wakati aliyekuja kuomba ushauri ni mwanaume. Binafsi sipendelei mahusiano yenye watu zaidi ya wawili, ndio maana jamaa nimempa ushauri huo. Hata ingekuwa ni bi dada ndio amekuja kuomba ushauri, still ningemshauri the same. Kama upo na mtu ambae ameanza kutoka na mtu mwingine tofauti na wewe, jitoe kwenye mahusiano, thats Me.
 
HUDUMA za mume haziishii kutunza familia na kujaza full tank.....huyo kijana ndio anakamilisha hiyo HUDUMA nyingine ambayo mama ameikosa.......
 
Muosha huoshwa. Wewe si ulikuwa ykalale kwa mchepuo ndipo uenda nyumbani Leo? Tena ningekuwa mimi.ni mwanamke na ni mke wako ningekulipizia kisasi cha michepuko mpaka uombe poo. Mkuki kwa nguruwe mtamu ila kwa binadamu mchungu. Nikuambie tu pamoja na wanaume wenzangu siku mke wako au mapenzi wako anayekupenda sana akitambua umemsaliti kisasi chake huwa siyo chepesi.

Huna haja ya kumuacha mke maana na wewe unamwibia kimapenzi. Muyamalize na wote muache michepuko. Mlee hao watoto maana mkicheza mtaachana na hao watoto watakutana na miziki ya wazazi wa kambo (baba na mama wa kambo).
 
Hivi huu ushauri umetoa ukiwa timamu au una haha? Yaan amuache mkewe, huku yeye aendeleze uzinzi na mchepuko wake? Sasa hapo atakua anafanya nn cha maan?
Ifike wakati tuangalie usawa kwa pande zote mbili. Khaaaaah
Ni kweli usemalo, lakini ulishawahi kujiuliza kwa nini mwanamke akimfumania mume, mwanamke humpiga mwanamke mwenzie? Je, ulishajiuliza kwa nini mwanaume akimfumania mke anaweza kumuua mke?.. Saikolojia ya mwanamke na mwanaume ktk usaliti ipo tofauti sana. Btw: nimempa option ya kuchagua. Ndoa ni ya wawili.. Karibu kwa mjadala dada yangu japo unatetea usawa lakini pia tuzitazame kwa kina tofauti za maumbile baina yetu na zinavyofanya kazi
 
Dunia ya sasa kutongoza mke wa mtu ni rahisi sana kukubaliwa na pia ni rahis sana dem kumkubali mme wa mtu kuliko mwanaume ambae ajaoa.

Nilisikia jamaa mmoja akiwambia wenzie sijui ni ukwel
 
jana alitoka kwenda kwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone
Mkuu ameliwa huyo... Mimi nilimkuta demu anatoka guest kabisa na jamaa afu hakukubali kama alienda kucheat yani unaweza hata kucheka, mbaya zaidi wakapanga na jamaa niliyemfuma nae akanifata kuniambia kuwa hakuwa amemla na mule sio guest wakati mtaa naujua na guest naijua kabisa.. hapo ndio nikaamini hawa watyu sio! Bro maisha yana mambo mengi ya kufany
 
Pole sana.
Kuna kitu kinanipa was was lately maana najikuta siku hiz nampenda sana yf mpaka najisahAu kias kwamba na yeye kaanza kuona.Wakuu hii sio dalili ya umauti kweli unaninyemelea?Maana for 10 year tuko pamoja sijawah kuwa na moyo lege lege kias hiki!!.au kashAnitengeza?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi wala sikupi pole...safi sana umekomeshwa. Kuchapiwa kunauma jamani asikwambie mtu...
Imagine papuchi ya mkeo unavyoijua halafu jamaa mwingine aisuguesugue...πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€, Ma.tako yanapigwa makofi huku wakikutukana. Mama.e unaweza jinyonga.
 
Kumbe ulishaga oa mkuu?
 
Kweli mpwa......vijana wengi wanamuona mke kama sanamu tu hivyo kufanya tendo kwa mazoea......sasa hawa vijana wanaopata hizi mambo kwa ngekewa hawafanyi makosa ya mume kwa kuwa wanajua huyo mke amefuata nini......
Kama unafanya fanya tu kwa mapenzi, ila kama unafanya ili aistegeke huko nje wewe utakuwa boya
 
Umeona kosa la mke kuchepuka ila la yeye kuchepuka hujaliona, tena anaona ufahari.
Malipo ni hapa hapa duniani
 
Kwanini inakuukiza wewe.. na wewe unayafanya hayo..na ulikuwa na mpanho wa kwenda kwa mchepuko pia jana usiku.. alitakiwa akulaze polisi kwa kumpiga..

Wanaume na nyie mkome..πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 

Na yeye kuchepuka kwa mwanamke haiwi hivyo umeandika au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…