Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Sasa nani ataiombea familia baraka kama mm ni mzinzi na mke wangu mdomo wake umejaa mbegu za wanaume wengine?

Halafu mwanamke mzinzi anaweza pata saratani ya kizazi sababu ya kubadili mwanaume, wanaume wanabeba virusi vya saratani ila haviwadhuru sasa akipata atakupa gharama tu za matibabu.

Mwanamke mzinzi HAFAI HATA AJE NA SABABU GANI.

Ukijifanya unajua kupenda sana kuna siku atakulisha mbegu, atatoka kunyonya huko ww utapiga busu.

life is short Enjoy.
 

Wee bana kaa na mke wako muyaongee yaishe. Hapa duniani hutapata malaika kama jinsi ambavyo wewe pia sio malaika. Isitoshe wewe mwenyewe ni mchepukaji tu kwani una hasara gani..? Utaachana na wangapi? Maisha mafupi haya mkuu huna haja ya kuji stress we samehe piga mkwara endelea na maisha.
 
Wakuu imebidi niende mazoez kukimbia baharin maeneo ya mbalamwez beach ndio narud now ama hakika Moyo unauma sijawah kuona nimehitahid kuootezea lakin bado kuna kitu kimekaa hapa kifuan

Nimemwita Salma anipotezee mawazo na ntamwambia kisa chote nahis yeye atafurahi tu maana alitaman kuwa oficial mda wote,Ukipita maeneo ya Mikochen Plaz hapa kwa Warioba unaeza ukanukuta daaa Inauma sana.
 
Mimi na jamaa tulienda kufumania tukiwa mtu sita, kufika jamaa aliyefumaniwa akapakiwa mkongo na kuliwa swaaafi kabisa na mtu tano [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi nilikaa mbali sana, sikushiriki ujinga ule.
 
Ikawaje mkuu?
 

kumbe ni wewe mkuu ndio ulikuwa unakimbia huku unaonesha kana upo na msongo wa mawazo ilibaki kidogo upitiwe na bodaboda,Nilikuona mkuuu
 
Ishawahi nikuta hii aisee sitakaa nisahau japo nilikuwa nashuhudia moves za jamaa toka anaingia! Mpaka demu anabeba viatu vyake anaviingiza ndani! Nikawakurupua kabla hawajaanza sex
Ungeacha mpaka waanze kufinyiana kwa ndani ndo uwavamie.
 
Mimi siwezi muacha nitachofanya nitamtafuta itabidi niongee na wife niweke mtego nimnase living stone then namfira japo kidogo afu namuacha.Nakwambiaje hata mwanaume awe ana mwili kama king kong akishafirwa anaeza kuhama mkoa.
 
Ulichosahau kuelezea ni kwamba mwanaume mzinzi pia anamsababishia mkewe saratani ya shingo la kizazi (sio saratani ya kizazi kama ulivyoeleza); Kwa sababu anabeba hivyo virusi vinavyosababisha saratani hiyo kutoka kwa wanawake anaowagonga nje huko na kuvipeleka kwa mkewe.
Hivyo basi, hata mwanamke ambae ana mwanaume anaekitembeza nje kwa wanawake mbalimbali, anakua pia kwenye hatari ya kupata hiyo saratani kutokana na tabia za mumewe. Kama ambavyo umeeleza vizuri kabisa kuwa wanaume ni wabebaji "carriers" wa hivyo virusi. Kwa hiyo gharama iko pale pale, hakuna unafuu mkuu.
JABALI LA KARNE
 
Namshangaa mleta mada. Yeye hana usafi wowote. Kakiri mwenyewe anachepuka vizuri sana. Mke kachepuka anaumia, anapata na ujasiri wa kumpiga ngumi za uso. Kisa cha kupiga mtoto ngumi za uso ni nini. Kwa usafi gani ulionao. Huo ni unafiki mkubwa hata Mungu anakushangaa. Yaani kwa sababu wewe ni mwanaume basi kuchepuka ni haki yako? Sijui wewe dini gani. Katika Mithali kuna mstari unaosema mwanaume azinie na mwanamke hana akili.

Mke kakosa ila unamhukumu weee! wakati wewe mwenyewe mzinzi.

Sasa ukapiga chini mke wako ukaenda anza moja una uhakika gani na utakaekuwa nae ni wa kwako peke yako. What if ikawa worse.

Ushauri, Tubu dhambi yako ya uzinzi, tubu kwa ajili ya mke wako. Ombea familia. Ongea na mke wako. Sameheaneni. Maisha yaendelee.

Kila la heri.
 
kabla sijaoa enzi hizo ile wiki moja kabla ya ndoa tulikuwa tunafundishwa na shangazi bibi na babu na wajomba. Nakumbuka babu alisema

ukiwa unarudi safarini usiende moja kwa moja nyumbani bali pitia kwa rafiki wa mtaa wa tano au watatu au pitia kwenye bao halafu mpe koti au begi mtoto alipeleke nyumbani then wewe nenda home baada ya masaa mawili hii itapunguza matatizo yasiyo ya lazima kwako
 
Mke wangu alipiga simu sikusikia miss call 10+ alitaka ajue narudi au vipi nikarudi kimya kimya tu sikumkuta home SAA 5:30 usiku na aliporud akuamini apo nyuma nilishaanza muhisi vibaya alikataa sana Sikh iyo nikamshka vizur sana na alipoingia ndan akachukua ndoo aelekee bafuni nikamzuia aisee hatari sana siku moja nta eleza huu mkasa
 

Mkuu hii sio rahis mimi kufanya dhambi haihalalishi na ww kufanya pia
 

Hahahahahaha mwenyewe limeshangaa mkuu nimefungua tu mlango kabigwa na butwaa anawahi kuchukua ndoo aende bafun nikapiga kibao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…