Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Ushauri wa hovyo kabisa..
Kama ni wahovyo chagua kati ya mawili either huyo mke wewe ni ndugu yake kwahyo unamtetea or wewe ndo huyo jamaa uliyefanya huo upuuzi kwa mke wa jamaa.

NB; Acha kukusoa watu, wewe umeombwa kutoa ushauri tu, muhusika ndo muamuzi wa ushauri gani unamfaa.
 
We mwanamke katili aisee....![emoji119][emoji119][emoji119]

...
Ila wee mwanaume ni nini?
Tusidanganyane hapa tiba ya usaliti ni kisasi, haijalishi nani katenda kosa.

Hebu nikuulize, hivi ingekua huyu mwanaume ndo kafumwa na mkewe ungetoa ushauri gani?
 
Sidhani kuchepuka ni moja ya haki za mwanamke.Wanaume tunadumisha fine tradition ya wazee wetu,kuchepuka ni jadi .
Sasa km wanaume kuchepuka ni jadi, basi huyu mwanamke hana kosa lolote, maan kachepuka na mwamaume pia, hajachepuka na mwanamke mwenzie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nadhani utakua umeelewa pia.
 
Wanaume wengi ni wepesi kulaumu na kusema vibaya wanawakee wanaochepuka..yes ni kweli mwanamkee anaye chepuka hafai kuwa ktk ndoa ..lakini je wanaume mlioko ktk ndoa mmekuwa mkiwajali wake zenu kihisiaa?..au mnaishi nao kimazoea?...what I know wanaume wengi ni chanzo kikubwaa cha kuwafanya wake zao wachepuke..hakuna kitu kinatesa wanawakee kama kuchukuliwa poa na waume zao pamoja na upweke...Usikurupuke kufanya maamuzi tafakari..Mshirikishe Mungu kwa kuwa hilo jaribu ndio kwanza umekutana nalo....
 
Sijaoa lakini sidhani kama naweza kuvumilia nikijua mke wangu kanisaliti na nikae nae kwa amani kabisa.
Na nilishajiapiza kwamba nikioa mimi sitachepuka na kama mke wangu akichepuka sitapepesa macho kuachana nae papo hapo, hata kama tuna watoto 10 tutalea tu tukiwa tumetengana.
 
Hapo kama kweli umeoa basi huna mke kabisa ndugu! Ni ukweli mchungu ila lazma niuseme tu, mke kukosa hata tone la aibu na kuleta ubishi wakati kitu kafanya na ushahidi wa kimawasiliano unaashiria hilo ni dharau! Ukimsamehe tegemea matukio mazito zaidi...

Maamuzi ya mke kuchepuka anayafanya akijua kabisa madhara yake ni fatal wala sio kwamba shetani au vipi! Amefanya kusudi kuchepuka na alipanga kabisa hilo!

Hicho unachopitia niliwahi pitia ila mie nilimfumania akiwa na msela chumbani kwangu kabisa japo walikuwa hawajaanza kusex!
Aisee, hukuua ?
 
Ndoa ngumu guys ,yaani acha tu tunapitia mengi sana.mwisho wa siku namalizia kusema , wanawake ni viumbe vya ajabu kuliko tunavyofikilia
Kuna pande mbili kwa kila story. Hasa story za ndoa/mahusiano.
Huyo mke wa jamaa akija nae kusimulia story ya upande wake, unaweza ukahisi anaishi na shetani.
Kuwa makini sana ku draw conclusion kwa story ya upande mmoja kwenye mambo ya mahusiano.
 
mfano mungu angeweka PIN code kwenye mbususu ya kila mwanamke.kila mwanaume anapewa namba ya Siri ya mbususu ya mke wake.na PIN zisingeingiliana .

pale kwenye mbususu kwa juu kunakuw na sehem ya kujaza pin code,ukimaliza tuu inafunguka unajilia vyombo ukimaliza inajilock.nadhan usalit ungepungua kwa Kias kikubwa.
 
Hapo kama kweli umeoa basi huna mke kabisa ndugu! Ni ukweli mchungu ila lazma niuseme tu, mke kukosa hata tone la aibu na kuleta ubishi wakati kitu kafanya na ushahidi wa kimawasiliano unaashiria hilo ni dharau! Ukimsamehe tegemea matukio mazito zaidi...

Maamuzi ya mke kuchepuka anayafanya akijua kabisa madhara yake ni fatal wala sio kwamba shetani au vipi! Amefanya kusudi kuchepuka na alipanga kabisa hilo!

Hicho unachopitia niliwahi pitia ila mie nilimfumania akiwa na msela chumbani kwangu kabisa japo walikuwa hawajaanza kusex!
Aisee, hukuua ?
 
Mke wangu alipiga simu sikusikia miss call 10+ alitaka ajue narudi au vipi nikarudi kimya kimya tu sikumkuta home SAA 5:30 usiku na aliporud akuamini apo nyuma nilishaanza muhisi vibaya alikataa sana Sikh iyo nikamshka vizur sana na alipoingia ndan akachukua ndoo aelekee bafuni nikamzuia aisee hatari sana siku moja nta eleza huu mkasa
Huyohuyo Liza au mke gani
 
Piga chini, ukimwacha atakuletea huyo jamaa hapo chumbani kwako.
 
Hivi nyie huwa mko timamu kichwani? Mbna huyu mwanaume ana cheat sana nje huko, hamu mpi lawama? Khaaaaah
Sisi tunaoa hadi wanne, vipi upande wenu? Na je, wewe uliolewa hujanjunjana? Jamaa kasema huyo mchepuko anampango wa kuoa mke wa pili , shida iko wapi?
 
Hakika ndugu 99.99% tena matukio ya dharau. Ilinitokea 2016 nikatemana nae kwa shida sana....mpaka leo huwa ananikumbuka mana bado hajaolewa mimi nishaoa tayari
Siombi initokee, ila ikitokea nimeachana na mke...
Sitaoa mwanamke mwingine....

Nitajipanga kivingine, nifurahie sehemu ya maisha iliyobaki hapa duniani..

Mke wa kwanza ni mke wa kwanza tu...hawezi kufanana na mwanamke mwingine atakayefuata..
 
Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.

Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba nimsamehe haja fanya chochote kibaya

Nilimsikiliza lakin hakuwa na hoja yeyote ambayo inarizisha ukamwelewa yeye alisimamia msimamo wake huo alikuwa kwa shoga yake walikuwa wanaangalia muvi ndio maana kachelewa.

Alivyofika tu chakwanza kawahi kuchukua ndoo aende bafun akaoge niliamin kweli tayar kashaliwa
Sikumkagua huko chin sikuona km kuna haja ya kufanya hivo maana ni km uzalilishaji jibu linaonyesha tu ametoka kuliwa,alivyo maliza kuoga ,

Nikachukua simu yake na kumwambia toa password akawa hataki nikapiga ngumi ya uso akatoa password niliyo yakuta humo unaeza kuzimia,

Moja nikaenda kwny calls nikakutana na calls za jamaa za saa kumi na mbili kamili jion

Pili hamna calls hata moja inayo husisha rafiki yake inayo onyesha jana waliwasiliana kukutana

Tatu kwny whasp msg nikakutana na zajamaa pia na waliplan toka saa tano asubuh nilitaka niziweke humu but nimeshindwa kuweka ila ilikuwa km hivi

Jamaa:hey beautiful missed you

Mke: hey baby missing you more

Jamaa: missed your voice sana

Mke : thanks uko free leo?
Jamaa: yes tuonane bas please
Mke😱k ntakwambia.

Hiyo ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuh hapa nakumbuka wife alipiga simu km mara 3 nikawa sikupokea nilikuwa kwny bus narud Dar na nililala nikakuta tu msg anasema
Hey baby nataka kujua unaendeleaje na unarudi lin? hapo nilimjibu Jmos usiku hiv akasema poa

Kwny saa kumi na mbili alimtafuta jamaa tena

Mke : hey uko wap tunakutana wap?
Jamaa:maaeneo ya studio kuna sehem inaitwa garden nini sijui..
Mke😛oa

Mke mida hiyo ndio kaenda na calls za jamaa ni kama saa 1830hrs nafikir alikuwa akimwelekeza

Yote hayo na msg zote hizo bado wife hajakubali km alikuwa kwa jamaa amekataa katakata

Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo nini pale ila alisistiza tu tuhame maji ni shida , nikasema poa nilitafta sehem nyingine nikalipa

Pale tukapangisha mwingine, mke alikuwa akiwasifia sifia anasema wajua kuimba ila bado hawajatoka kimziki but sikumzingatia ila namba
Wamepeana huko na ukichek jamaa ni yupo yupo anahaso na mziki mambo ya gym Bangibangi tu

Ila ndio hivo kila kitu kinamwisho wakuu akili kwangu kichwani wife kaliwa na and aground wa mziki sijui kwann wanawake wanapenda masela tu mambo ya gym nashangaa sana mtu kama huyo kuvunja ndoa yangu nipo nae toka 2016,

Wakuu ambo mko kwny ndoa mnanishaur nini?
hapa itabidi kutumia busara sana nmefanya nae vitu vingi na huyu manzi leo huu analiwa kimasihara tu inauma sana,

Cha kushangaza alimpigia simu jamaa ,alivyopokea tu jamaa inaonyesha ni wapenz na jamaa alikana ndio ww sio mpenz wangu but sio lazima niwe mpenz wako ndio ufanye .

Watoto wangu wawili mdogo ana 2years na mkubwa 4years wataishi bila Baba na mama pamoja inauma ila ndio itabid iwe hivo

Sintafanya haraka ntamwacha hapa kwny hii nyumba mimi ntaenda kupanga kwingine but watoto wangu atabaki nao yeye bado ni wadogo na ntafocus kuwahudumia na kuwasomeshe but
Itakuwa ngum sana kuwa nae tena wife haswa unapojua ameliwa na mtu wa dizan gan

Usaliti ni kitu kibaya sana wakuu leo hii Livingstone anavunja ndoa yangu hivhiv naona na katika kuchepuka kote sijawahi toka na mke wa mtu Kwann lkn imetokea kwangu?

Story hii ni ya kweli Mungu shahid hakuna nilipo ongeza japo sijaweza kuongea yote yalio tokea sintomaliza,

Hoja zake kubwa
1/ alifanya hivo kujifrahisha nafsi na haimaanishi alienda kwa jamaa
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
3/ jana alitoka kwenda kwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone

Hapaameamka na kwenda zake kazin na ubaya tunafanya sehem mmoja kaz,

Imeniuma sana wakuu sijalala kabisa leo hii iskie tu kwa mtu

Nawasilisha mtanisamehe kwa uandish nimevurugwa sana.

Unashauriwa kusoma kisa kilichotangulia: Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda
Japo iko km movie Fulani Ila isikutokee kwani inauma Sana na ktk makosa uasiyovumilika kwa ndoa ni hili ukisema uliache atakutesa Sana mbeleni vyema ukaamua leo wamekata viungo vya mwili na maisha yakaendelea iweje mke

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Sasa km wanaume kuchepuka ni jadi, basi huyu mwanamke hana kosa lolote, maan kachepuka na mwamaume pia, hajachepuka na mwanamke mwenzie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nadhani utakua umeelewa pia.
Hata kama ni hivyo lakini sio achepuke na Mke wa mtu
 
Back
Top Bottom