Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Hawaogopi chochote yani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawaogopi chochote yani
NAKAZIAMfichue kabisa ili asizidi kitapeli wengine.
SawaAbatumia Jina la wiztech umu jf
Wanasahau kuna kufa na hatujui tutapita njia gani kumfikia aliyetuumba.Hawaogopi chochote yani
Ni kuachana nao tuWanasahau kuna kufa na hatujui tutapita njia gani kumfikia aliyetuumba.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Mtumishi kwenye mapenzi unajikuta na wewe umekuwa tapeli.hapana mkuu mimi ni mtumishi aise
Dar sehemu gani huenda tukapita kukuungisha biasharaAsante Sana mm nipo dar
hapana mkuu nikienda kuoanana nae ataleta mrejesho humuMtumishi kwenye mapenzi unajikuta na wewe umekuwa tapeli.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Ataleta mrejesho wa kulialia embu acha kwanza biashara ikomaehapana mkuu nikienda kuoanana nae ataleta mrejesho humu
Naunga mkono hoja 👍👏 myJina linaendana na utapeli wake 😁
Ukiangalia post zake kanatukana balaa katakua kajizi mbwa 😁Naunga mkono hoja 👍👏 my
Polee sanaHumu JF nimewahi kutapeliwa laki 2.
Mwaka 2014 nilipost tangazo la kumtafuta Dada yangu.
Wakanipigia watu waliodai dada yupo na ana kesi yupo mahabusu na wanahitaji fedha ili wamtoe.
Wakaniunganisha na dada (feki) analia ananiita kaka.
Anadai ana mtoto amemwita jina la baba yangu.
Nilituma hela ili dada atoke.
Baada ya kutuma hela nilianza kupata mashaka. Kupiga simu haipatikani.
Namba ilisajiliwa kwa jina la Henry Ltd
Nikajiona mjinga sana laki 2 imeenda hivi hivi.
Matapeli wa JF mlaaniwe na mbingu mtaisikia.
Ni mwizi kabisa huyo inafaaa apigwe banned kabisaUkiangalia post zake kanatukana balaa katakua kajizi mbwa 😁
AsàntePolee sana
Ungechukua ushauri wangu saa hizi ungekua unajipigia pesa bila stressHabari Za uzima Wana jamii wenzangu Mimi ni Yule mdada nilieleta wazo langu kuhusu biashara Kwa mtaji mdogo WA laki tatu Tu..mashukuru nmepata mawazo mazuri nmefatilia Kwa utulivu nanimesoma maoni ya kila mtu ..maoni yangu Ni nmeamua sasa kuuza biashara ya Matunda Na genge mpaka sasa nmefatilia process ya kupata eneo nmepata sasa nafatilia utengenezaji wa Banda la kawaida Tu ambalo naomb Mungu lisimalize laki moja Na mtaji wangu Nataka ubaki Kama laki moja Tu iyo ndo nitaanza nayo matengenezo mengin ntatengeneza Kadri Mungu atavyonijalia Asante San mmenifungua mawazo nilikuwa Nawaz Sana ...kitu chakufanya kila nikiwaza nashindwa kutoka Na mtaji kuwa Ni changamoto.. NB tuweni Makini umu ndani sio wote wema wakati nipo kwenye mchakato alitokea mtu uku DM akahaidi kunipa kazi nilifurahi Sana kazi yenyew Ni ya sheli Na akadai IPO arusha Kama kawaida mimi nilimsikiliza ..akaniunganisha Na meneja feki ILi wanitapeli ela Ni story ndefu siwez kueleza Lakin mwisho wa siku uyu boss akaomb ela ya uniform Kama sh laki 1 Na elf 30 ..Dah Mungu Yuko upande wangu sikufanikiwa kutuma nadhani ningetuma Leo ningekuwa Na majonzi mapya ...my take ..mtu kaomba ushauri afanye nini ILi ajikomboe Na Maisha Na utegemezi sasa usiwe Tena chanzo cha kumrudisha nyuma uyu mtu Asanteni Na nawatakia siku njema