Mrejesho: Nimesafiri na BAJA 250 XLR kupitia mbuga ya Mikumi, kwa niliyoyaona sipiti tena

Mrejesho: Nimesafiri na BAJA 250 XLR kupitia mbuga ya Mikumi, kwa niliyoyaona sipiti tena

Dah!!hii kama kweli itanibidi nami niende musoma kupitia ngorongoro-serengeti mpaka musoma!!
 
jamaa anajisikia raha kuanzisha uzi na kuucheki ukisambaa. Lete habari na hoja za maendeleo sio udaku. laki.i kwa hili sikulaumu sn kwani umesaidia kuitangaza mbuga yetu
 
ulimuniya , wudesi. SPD 150 ujue hadi idadi ya simba! mmmmh!! nikweli!!!!!!""
 
Dah!!hii kama kweli itanibidi nami niende musoma kupitia ngorongoro-serengeti mpaka musoma!!
 
Kupita kwangu kote mikumi miaka nenda miaka rudi jioni,usiku na asubuhi sijawahi waona wanyama wote hao pamoja ndani ya safari moja.
Vp Kakakuona hukumuona?
 
speed 150-180 ukaona damu mdomoni, ukaona chui sijui na nini juu ya mti? unafurahisha.
 
Yaani unapita speed 150 na unaweza kuona simba ana damu mdomoni!!

Halafu ni nadra sana kuona wanyama hao wote ukiwa unapita Mikumi.

Ila poa tu ngoja tumeze!!
kabobo za maskani baada ya kushiba ugali wa mama kadoda..teh teh teh!.
 
Kupita kwangu kote mikumi miaka nenda miaka rudi jioni,usiku na asubuhi sijawahi waona wanyama wote hao pamoja ndani ya safari moja.
Vp Kakakuona hukumuona?
huyu labda alipita njia za machakani.ile kwa ile highway hapana,katupiga za uso.ila mimi nimehepa zote.😛ray2:
 
Yaani unapita speed 150 na unaweza kuona simba ana damu mdomoni!!

Halafu ni nadra sana kuona wanyama hao wote ukiwa unapita Mikumi.

Ila poa tu ngoja tumeze!!

ninavuka hapo mchana na usiku kwa pikipiki kuona simba labda mara moja kwa safari 15, chui nimesahau mara ya mwisho lini.
 
Nilijuta sana unaweza kuzimia ukimwona simba nilikuwa nadrive huku nawaza zile documentary za WILD LIFE simba alivyokuwa anamrukia nyati hadi leo sijarud DAR nawaza nirudije

Mkuuu tutafutane... Mi nipo Sayari Bar hapa napata supu mda huu.
 
Tango pori flani hv... Duh motochini 180km /hr alafu full kukodoa pembeni... Hili ni tango tuu... Tunalila kwa shida sana.. tufanyeje sasa hakuna jinsi...
 
Mwongo mkubwa wewe! Mimi ninauzoefu wa kupitia hapo mikumi karibu kila wiki huu upuuzi ulioandika hapa sijawahi kuona. Eti ukasikia na kuona kichaka kikitikisika na simba wametokea na damu mdomoni! Unawezaje kusikia wakati umevaa helmet na pikipiki inaunguruma? Na wakati huo ulikuwa unaendesha umeangalia wapi , mbele au mbugani? Kwa speed ya 150 unaweza kuona huo utumbo ulioandika hapo?

Mwongo wewe.
Kwa mbuga ya Mikumi unaweza kuzunguka kutwa na usiwaone Simba kabisa.
Amekoleza mno na si ajabu alikuwa paranoid.
 
Mmehabarikaje Wandugu ,
nimerud niliandika uzi kuomba uzoefu kwa waliozoea kusafiri kupitia Mbuga ya mikumi na mm nilikuwa natska kupita na Mwanandama wangu ,
niliondoka Moro saa 8 kwa speed ya MOTOCHINI 150 nilifika saa 9:30
safar inaendelea nimefika Mwanzo wa mbuga naona amani tu ,nimepata kujionea swala makundi kwa makundi,pundamilia na twiga kwa mbali huku tembo nao wakiendelea kutembea kwa kujigamba
safari inaendeleaa....,. wakati bado nipo katikati ya mbuga ghafla kwenye kichaka nasikia kinatikisika ghafla simba kama watano wanatoka wakiwa wa damu mdomoni wakawa wananitizama watatu wakaunguruma huku wanafata usawa wangu nilichofanya nikuongeza speed 180 kwan BAJA haina kujali BAMPS,wakatrot kidogo wakarud zao,mbele kidogo mita 200 kwenye mti mkubwa namuona chui akiwa na swala kwenye mti,
viumbe walionitisha ni Nyati waliopita kwa makundi kuvuka barabara ilibid nisisimame bali nirud nilipotoka hadi nilipoona wamepita wote ndio nikapita speed 120 lakin walirud baadhi kunifukuzia lkn kwa kua wote mnamwelewa ndama alivyo ,nilitaka kuzimia nimekutana na simba wawili mbele kulia na kushoto wawili katikati wameacha nafas nilichofanya nikuwapita kama mwewe au kipanga hao nduli kwan wote mnajua mziki wao ulivyo
USHAURI:Jaman ndugu zangun hapo mbugani sio pa kupita jion wala usiku,mm nimepita jioni mengi niliyoyaona sipiti tena bora nipakie pikipiki kwenye lori ,mnaotaka picha ni ngumu kupata labda ningekua nipo na wewe ukashuka kunipiga picha zingetokea vizuri
HEBU TUAMBIE NA WEWE YALIYOKUKUTA MM NILIPATA PRESSURE SIKU 3

JF Watu waongo! Simba wa Mikumi uwaone tu kirahisi!
afu halafu Baja hiyo 150 unaipataje sasa
 
Habarivyako si ya jweli. Si rahisi kuwaona simba na chui ukipita barabarani Mikumi. Hata hivyo wanyama wa mikumi wamezoea magari na pikipiki hawana madhara
 
Back
Top Bottom