Vitunguu sijaona labda vijiji vingine huko,lakini ukiamua unalima tu,labda soko pakuuzia.Kaka ubarikiwe,kwa hongera kwa kupambana,mwenyez mungu akufanyie wepesi kwenye njia zako,
Nataka kuuliza kwamba JE KILIMO CHA VITUNGUU MAJI HUKO WANALIMA????
Maosha hayahitaji haraka. Nenda taratibu hususani kwenye issue za Kilimo. Utakuja nunia watu humu JF. Wengi wanapigwa tokana na haraka za kuwekeza kwenye Kilimo.Mkuu nikienda sasa hivi si mda sahihi pia? Na shamba si nitapata huko tanganyika kwa 50k? Samahani kwa maswali mengi.
Kwa hali ya baridi ya mwese, kitunguu hakitafanya vizuri.Vitunguu sijaona labda vijiji vingine huko,lakini ukiamua unalima tu,labda soko pakuuzia.
Nataka kufahamu mkuu kama unajua nijuze.Maosha hayahitaji haraka. Nenda taratibu hususani kwenye issue za Kilimo. Utakuja nunia watu humu JF. Wengi wanapigwa tokana na haraka za kuwekeza kwenye Kilimo.
Unaweza kuleta iyo Link hapa tuione mkuuNdugu sirjeff naona kaiba maudhui ya huu uzi na kubadilisha baadhi ya maeneo na kapost twitter...ila naona wengi hawamshtukia.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Yeah Inapendeza sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu ni uchokozi wa reja rejaKweli Jf ni kokoro!.... Humu Kuna watu hawajui hata mkeka, code ni nini!? Aisee!
Kuanzia mwezi wa 8 tunaanza kuandaa mashamba. Kupanda kuanzia mwezi wa 9 hadi 12.Huko kilimo ni kuanzia miezi ipi?
The same mkuu ...huko nyoko mbali sanaaaaaaa , nimefika mwese vijiji vyote nimefika zile hiace noma mahali zina simama watu wanywe chai ,warundi wengi San pale namba nne nikichukua boda kushuka kijiji Cha LUBALISI kijiji Cha mwisho kutokea kigoma kina pakana na wilaya ya Tanganyika ...... umbali wa saaa 1 kule milima na baridi Kuna Tisha sana , nikatoboa mahali wanaita rukoma una subir Saratoga za kutoka kalya nauli 15000 safar ya masaa 8 hapo kwenda kigoma noma sana jamaaaaa kanikumbusha mbali hiace za mwese noma warundi kama wote mahali mnapita mtandao unakataNineewahi kufika Kibo njiapanda ya Mwese!
imalizie mzee baba!
Mimi sio mwenyej ila chini ya mwese kijiji Cha uvinza wanasema Kuna madani Kuna hifadhi ya taifa inaitwa mahale huko milima tu mkuu huoni mtu mawe makubwa sanaaa msimu wa masika boda 50000Kuna migodi/machimbo ya madini huko?
Maana maeneo yenye machimbo ndo kuna hayo mambo ya namba,nguzo na genge namba fulani!
Huko nyokoooo mkuuu mtandao wa simu kisanga sanaaMkuu we kila sehemu unataka kwenda? Ukiona mtu analeta mrejesho ujue hiyo kitu alifanya ama bado anafanya, huyu kilimo alifanya mwaka jana bila kukosea. Sidhani kama bado yuko huko Katavi akiendelea na kilimo.
We kama vipi twende sisi wawili huko tukajikite tupige heka zetu 5.
Uko LUBALISI sehemu gan mkuu ahaa kama na kuona mtandao unasaka Kwa shida hapo uwanjaniFantastic,story Mimi nipo Lubalisi hapa mtoa story
Uko LUBALISI sehemu gan mkuu ahaa kama na kuona mtandao unasaka Kwa shida hapo uwanjani
🤣🤣🤣Kilimo hakinipendi mdogo wangu...mi nakipendaJoannah Tayana-wog njoeni tujifunze kilimo