Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
-
- #21
Japo siujui umri wake, ila mimi hapa nilipo, licha ya kuhudumu Newsroom for more than 30 years, simfikii!. MMM ni habari nyingine!Akajifunze kuandika kwa yule Martine MM wa CHADEMA anajua kupangilia huyo bado sn
Nashukuru leo umekiri ndiyo Paschal niliyekufahamu 2016 ukasababisha nikaanza kuifuatilia na JF(nikawa active member) nilikuwa nimejiunga hata sijui nilijiungaje 2014 nikiwa chuo maybe wanafunzi wenzagu waliniunga. PIa nilipenda sn vipindi vyako Star TV mkiwa na jamaa mmoja anaitwa Dotto Buledu kama sikosei ni mashine ya kusaga mawe ile napenda sn kumfuatilia vipindi vyake sema upatikanaji wake ni mgumu sn, 1. Dotto 2. Mayalla 3. Nyanda 4. Odemba 5. Samson Charles 6. Jumanne (Star TV) 2022 kurudi nyuma nilikuwa sikosi vipindi sahivi Nyanda utoto mwingi, Jumanne siasa sn, Mayalla ni kama gari la mkaa now trip shamba trip garage, Dotto sijui alipo wamebaki 1. Odemba ndiyo mtangazaji bora kwa 2023 na Samson Charles EATVJapo siujui umri wake, ila mimi hapa nilipo, licha ya kuhudumu Newsroom for more than 30 years, simfikii!. MMM ni habari nyingine!
P
Mi nakubaliana na aliyeweka utaratibu wa umri wa kustaafu kwa lazima ni miaka 60.Steven Wasira alisema nini kuhusu 4R?
anaeleza namna anavyo elewa kuhusu falsafa ya 4R,
Anaeleza namna alivyoelewa kuwa katika historia yetu tumekuwa na siasa za kujenga uhasama. Lakini 4R ni utatuzi wa tatizo hili.
Huu mtazamo wa kuanzisha 4R hauwezi kutazama katika Historia fupi. Haya mambo ya kisiasa yalikuwepo tangu miaka mingi. Siyo katik awamu fulani. Yalikuwa yakibadilika katika kila kipindi kwa sura tofauti.
Rais anaitazama Historia yetu yote. Siyo Awamu fulani,
Katika vyama vya Siasa kumekuwa na msingi ya uhasama. Tumejengewa na waasisi wetu kutokutofautiana kwa ukabila udini nk.
Naamini Maridhiano ndio msingi wa kwanza. Maridhiano ndio msingi wa kwanza. Kama huwezi kuridhiana huwezi kufanya mambo mengine. Alipoapishwa alionesha kuwa yupo serious katika jambo hili. Hata katika mazingira ya uchumi, historia ya nchi yetu ilikuwa na uchumi shirikishi. Hata katika Maono ya Afrika, Na maono ya Taifa unaona kabisa 4R ndizo zinazofanyika.
Kitu cha kwanza ni maridhiano. Nasiyo cham cha chama. Ni maridhiano na jamii. Ili kujenga uchumi.
Iwe 45 kwa lazima hakuna sababu ya mtu kufanya kazi zaidi ya miaka 20Mi nakubaliana na aliyeweka utaratibu wa umri wa kustaafu kwa lazima ni miaka 60.
Mkuu Paschal ukiweka uchawa pembeni wewe ni bonge la mtangazaji unajua kujenga point, hata juzi umeogea point sn na watu wakashangilia, ukifanya vizuri sisi tutakupongeza ukianza uchawa wako tunakupa live.Japo siujui umri wake, ila mimi hapa nilipo, licha ya kuhudumu Newsroom for more than 30 years, simfikii!. MMM ni habari nyingine!
P
Nadhani serikali isisitize kwanza huu utaratibu then marekebisho yaendelee kufanyika kwa kadri inavyokuwa muhimu.Iwe 45 kwa lazima hakuna sababu ya mtu kufanya kazi zaidi ya miaka 20
Mujahideen kila mstari unajitegemea kutoka kulia kwenda kushoto 😀Akajifunze kuandika kwa yule Martine MM wa CHADEMA anajua kupangilia huyo bado sn
Mtu 21 Years ana degree kwanini asistaafu 45 akaachia wengine?Nadhani serikali isisitize kwanza huu utaratibu then marekebisho yaendelee kufanyika kwa kadri inavyokuwa muhimu.
Martine tumpe maua yake yupo vizuri snMujahideen kila mstari unajitegemea kutoka kulia kwenda kushoto 😀
Asante sana.Nashukuru leo umekiri ndiyo Paschal niliyekufahamu 2016 ukasababisha nikaanza kuifuatilia na JF(nikawa active member)
Asante sana.nilikuwa nimejiunga hata sijui nilijiungaje 2014 nikiwa chuo maybe wanafunzi wenzagu waliniunga. PIa nilipenda sn vipindi vyako Star TV mkiwa na jamaa mmoja anaitwa Dotto Buledu kama sikosei ni mashine ya kusaga mawe ile napenda sn kumfuatilia vipindi vyake sema upatikanaji wake ni mgumu sn, 1. Dotto 2. Mayalla 3. Nyanda 4. Odemba 5. Samson Charles 6. Jumanne (Star TV) 2022 kurudi nyuma nilikuwa sikosi vipindi
Kiukweli nimecheka ila huu ndio ukweli wenyewe naelekea 60!, na nina wajukuu 6!.sahivi Mayalla ni kama gari la mkaa now trip shamba trip garage.
Bado sn, mzee Butiku ana miaka 85 juzi nilikuwa naangalia kipindi cha dak 45 ITV utadhani ana miaka 40 very bright anapangilia point mpk unajiuliza vijana wa leo tumelogwa na nani? utajiri/uchawa/wizi/elimu mbovu/ushirikina ndiyo unaharibu watu, wewe uwezo wako ni mkubwa sn sema umejiingiza kwenye maokoto, mbona juzi kwenye kikao cha baraza la siasa sijui umeongea point haswa, Cheo kaongea point lakini Neema yule mbunge mhaya kaongea ujinga tupu na wajinga wenzake wengine, issue siyo umri issue ni uzalendo.Asante sana.
Asante sana.
Kiukweli nimecheka ila huu ndio ukweli wenyewe naelekea 60!, na nina wajukuu 6!.
P
Mayalla alipoitwa njaa mambo yake yote yakaharibika.Nashukuru leo umekiri ndiyo Paschal niliyekufahamu 2016 ukasababisha nikaanza kuifuatilia na JF(nikawa active member) nilikuwa nimejiunga hata sijui nilijiungaje 2014 nikiwa chuo maybe wanafunzi wenzagu waliniunga. PIa nilipenda sn vipindi vyako Star TV mkiwa na jamaa mmoja anaitwa Dotto Buledu kama sikosei ni mashine ya kusaga mawe ile napenda sn kumfuatilia vipindi vyake sema upatikanaji wake ni mgumu sn, 1. Dotto 2. Mayalla 3. Nyanda 4. Odemba 5. Samson Charles 6. Jumanne (Star TV) 2022 kurudi nyuma nilikuwa sikosi vipindi sahivi Nyanda utoto mwingi, Jumanne siasa sn, Mayalla ni kama gari la mkaa now trip shamba trip garage, Dotto sijui alipo wamebaki 1. Odemba ndiyo mtangazaji bora kwa 2023 na Samson Charles EATV
Shida ilianzia hapoMayalla alipoitwa njaa mambo yake yote yakaharibika.
Hii ikipitishwa nadhani UVSISIEMU karibia robo tatu watatupwa nje ya uringo.Mtu 21 Years ana degree kwanini asistaafu 45 akaachia wengine?