Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
waondolewe tu hawana faida kwa nchiHii ikipitishwa nadhani UVSISIEMU karibia robo tatu watatupwa nje ya uringo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waondolewe tu hawana faida kwa nchiHii ikipitishwa nadhani UVSISIEMU karibia robo tatu watatupwa nje ya uringo.
hata yeye inshallah atashiriki uchaguzi ujao bila ya Katiba mpya japo awali walidai sio tu bila ya katiba mpya hawatashiriki bali na uchaguzi huo hautofanyikaTunashukuru Mungu Tundu Lisu hakuhudhuria huo utapeli.
Wengi Wana desperation ya kukosa ajira, na Wanasiasa wanatumia hiyo advantage kuwatumia na kuwapa reward wachache Ili kuwafanya wengine waendelee kupata matumaini. What a wicked spirit!waondolewe tu hawana faida kwa nchi
Kwa taarifa yako, Lisu sio mjinga wa hivyo.hata yeye inshallah atashiriki uchaguzi ujao bila ya Katiba mpya japo awali walidai sio tu bila ya katiba mpya hawatashiriki bali na uchaguzi huo hautofanyika
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Wajameni, mimi sijawahi kuwa chawa!, kiukweli uwezo wa deep understanding wa Watanzania wengi ni average sana, hivyo kuniona kama chawa lakini mimi sio chawa!.Mkuu Paschal ukiweka uchawa pembeni wewe ni bonge la mtangazaji unajua kujenga point, hata juzi umeogea point sn na watu wakashangilia, ukifanya vizuri sisi tutakupongeza ukianza uchawa wako tunakupa live.