miminimama
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 696
- 1,818
- Thread starter
- #121
Tatizo hapa ni mimi kutafuta kuweka tangazo nakuwa considered kama reject, sidhani kama ingekuwa wa mtaani anayemfatilia hayo yaliyofanyika yasingekuwepo.
nilitaka kujua tu. unajua kuna vitu vingine tunafeli wenyewe. unakwenda date lazima ujikakamue kila sekta moja ikiwa ni ya mufuko. najaribu kupiga picha hiyo sehemu ilikuwa kuwa je?