FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kama kuwatafutia wanawake waume wenye heri nao na kuwatafutia wanaume wake wenye heri nao ili waowane huo ni udalali basi huo ni udalali wenye heri kubwa kabisa kwani unasaidia kuondoa zinaa na uasherati. Ma Shaa Allah.