Mrema alikuwa anapeleka wapi pesa zake?

Mrema alikuwa anapeleka wapi pesa zake?

Marehemu hasemwi ila ni vizuri tujue ili tulio hai tujifunze

Alianza kazi mwaka 1966 kwenyeile idara akizuga ni mwalimu.

Mwaka 1987 akawa mbunge,1990 mbunge tena.
Akawa waziri wa mambo ya ndani na waziri wa kazi,akawa naibu waziri mkuu(cheo cha mchongo kisichokuwepo kwenye katiba)
Akawa tena mbunge wa vunjo akiwa upinzani

Usimchukulie poa,hakuwa mtu mdogo

Ongeza na hiii Mwenyekiti wa NCCR,TLP na Parole huko kote ni afisa kipenyo akizuga kuwa ni mwanasiasa wa upinzani

Ila kila siku alikuwa analia njaa hata matibabu JPM ndio alikuwa anamtibia nje ya nchi kama hisan.
Huenda mama alimsahau ndio maana akatutoka.

Kipimo cha mafanikio ni unapolala
Nyumba yake ya Kiraracha naifahamu na ile ya Sinza na Salasala kila mtu anaijua haviendani na hadhi yake

Pesa zake alikuwa anapeleka wapi?
Kama kitu hujui usiandike, alizuga vipi kuwa Mwalimu wakati ni kweli Mwalimu? Au unadhani hiyo idara haina walimu wa kuwafundisha intake zao?
 
Nyerere njoo msasani uone mji wake,hekari nne kiwanja,nyerere hakuwa masikini,nyumba yake ya magomeni alijenga kabla ya uhuru imegeuzwa makumbusho ila nyumba kali sana ile
Kiraracha unapajua wewe
 
Mzee Mchonga ilibidi ajengewe nyumba na JKT alipostaafu Urais baada ya kukaa madarakani miaka 23.

Barabara ya Lami kutokea Kiabakari mpaka Butiama ilijengwa immediatey baada ya kifo chake ili kuficha aibu toka kwa wageni watakaohudhuria mazishi huko kijijini.

Hivyo kuna watu walikuwa wazalendo na wajamaa kweli kweli akiwemo Mrema.
 
Mzee Mchonga ilibidi ajengewe nyumba na JKT alipostaafu Urais baada ya kukaa madarakani miaka 23.

Barabara ya Lami kutokea Kiabakari mpaka Butiama ilijengwa immediatey baada ya kifo chake ili kuficha aibu toka kwa wageni watakaohudhuria mazishi huko kijijini.

Hivyo kuna watu walikuwa wazalendo na wajamaa kweli kweli akiwemo Mrema.
Yule mzee alizidi
 
Nenda mrema nenda!!
Mwaka 1995 nilisimamishwa shule kisa nilipeperusha bendera ya NCCR-MAGEUZI.kwenye eneo la shule!
Huyu jamaa kama alikosa urais 1995,sijui kama Kuna siku mpinzani atakuja kitawala inchi hii
Ile vibe ya 1995 ilikuwa hatari sana,tulikaa tunasubiri aapishwe tukaambiwa amekuwa wa tatu nyuma ya mkapa na lipumba
 
Marehemu hasemwi ila ni vizuri tujue ili tulio hai tujifunze

Alianza kazi mwaka 1966 kwenyeile idara akizuga ni mwalimu.

Mwaka 1987 akawa mbunge,1990 mbunge tena.
Akawa waziri wa mambo ya ndani na waziri wa kazi,akawa naibu waziri mkuu(cheo cha mchongo kisichokuwepo kwenye katiba)
Akawa tena mbunge wa vunjo akiwa upinzani

Usimchukulie poa,hakuwa mtu mdogo

Ongeza na hiii Mwenyekiti wa NCCR,TLP na Parole huko kote ni afisa kipenyo akizuga kuwa ni mwanasiasa wa upinzani

Ila kila siku alikuwa analia njaa hata matibabu JPM ndio alikuwa anamtibia nje ya nchi kama hisan.
Huenda mama alimsahau ndio maana akatutoka.

Kipimo cha mafanikio ni unapolala
Nyumba yake ya Kiraracha naifahamu na ile ya Sinza na Salasala kila mtu anaijua haviendani na hadhi yake

Pesa zake alikuwa anapeleka wapi?
Usikute hela yake alikuwa anafugia majini
 
Back
Top Bottom