Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Atakayemgongea atavimba korodani! Mrema ni Nouma atiii!
Mzee kaweka wazi kabisa ameoa ili apate usaidizi kwenye nyakati zake ngumu za maradhi, hivyo sio eti atajikita kwenye wivu sijui kupeleka moto…. hayo ni mambo ya wavulana na bado wanamegewa vile vile.
The struggle amepitia baada ya kuondokewa mkewe imechagiza maamuzi yake, tungeheshimu hilo.