Atakayemgongea atavimba korodani! Mrema ni Nouma atiii!
Aswaa Ana uza Ana biashara ya ma ua pembezoni mwanjia kuuKwa taarifa yako huyo dada Doris ni mtu mpambanaji kuliko unavyomfikiria.
Kuna mambo umeongea ya msingi ikiwemo kuporomoka kiafya, lakini sio kwa kuvizia uteuzi.
Huyo dada anaendesha biashara zaidi ya tano tofauti na zinafanya vizuri zote mjini Moshi kati.
Sasa unaweza kuiacha biashara kubwa kama hizo ikiwemo kampuni ya Ulinzi ili uende kufukuzia mshahara wa U-DC?
Ebu nenda Global Online tvhuko YouTube halafu uangalie clip anayotaja vitega uchumi vyake ili umielewe.
[emoji23][emoji23]AISEEE HUU KWELI MAMBO NI MENGI, ATAGONGEWA HUYU MZEE. KUSIMAMA KAWAIDA TABU HUKO CHINI KUNASIMAMA KWELI??
Vijana wa Bongo utawaweza? Hawawazi zaidi ya futi mbili kwenda mbele. Wao wanadhani ndoa maana yake ni ku-sex. Hawajui kuna watu wengi wanaishi kama wanandoa japo mambo ya sex siyo kipaumbele. BTW hawajui Mrema na huyu mama wamekutana lini na wamefanya nini kwenye maisha siku za nyuma. Mrema ni mtu aliyekuwa na wadhifa wa uwaziri, ubunge na kwenye uongozi amekuwepo siku nyingi. Si ajabu wanajuana tangu zamani na Mrema ameshamsaidia sana huyu mama kwenye shida.Mzee kaweka wazi kabisa ameoa ili apate usaidizi kwenye nyakati zake ngumu za maradhi, hivyo sio eti atajikita kwenye wivu sijui kupeleka moto…. hayo ni mambo ya wavulana na bado wanamegewa vile vile.
The struggle amepitia baada ya kuondokewa mkewe imechagiza maamuzi yake, tungeheshimu hilo.
Pia baadhi yao wana huruma SanaWanawake wanae roho ngumu
22 yearsVijana wa Bongo utawaweza? Hawawazi zaidi ya futi mbili kwenda mbele. Wao wanadhani ndoa maana yake ni ku-sex. Hawajui kuna watu wengi wanaishi kama wanandoa japo mambo ya sex siyo kipaumbele. BTW hawajui Mrema na huyu mama wamekutana lini na wamefanya nini kwenye maisha siku za nyuma. Mrema ni mtu aliyekuwa na wadhifa wa uwaziri, ubunge na kwenye uongozi amekuwepo siku nyingi. Si ajabu wanajuana tangu zamani na Mrema ameshamsaidia sana huyu mama kwenye shida.
Pengine Mrema ndio mwekezaji mwenyewe, sasa akiondoka na yeye akose?Kwa hiyo unaamini ana msisimko wa kimapenzi na Mrema?
Kwahiyo ndiye aliyetengeneza mazingira ya mwenzake kuondoka ili yeye achukue nafasiHuyi mmama aliyemwoa ni mtu wake wa siku nyingi na ni mshauri wake makini sana. Mrema ndiye aliyemtoa.
Tehe teheAswaa Ana uza Ana biashara ya ma ua pembezoni mwanjia kuu
Hayo siyajui mimi!Kwahiyo ndiye aliyetengeneza mazingira ya mwenzake kuondoka ili yeye achukue nafasi
Yenye chapa ya jogooamepeperusha vyema bendera ya wazee.
Kwa taarifa yako huyo dada Doris ni mtu mpambanaji kuliko unavyomfikiria.
Kuna mambo umeongea ya msingi ikiwemo kuporomoka kiafya, lakini sio kwa kuvizia uteuzi.
Huyo dada anaendesha biashara zaidi ya tano tofauti na zinafanya vizuri zote mjini Moshi kati.
Sasa unaweza kuiacha biashara kubwa kama hizo ikiwemo kampuni ya Ulinzi ili uende kufukuzia mshahara wa U-DC?
Ebu nenda Global Online tvhuko YouTube halafu uangalie clip anayotaja vitega uchumi vyake ili umielewe.