Daah namkumbuka aisee. Alikuwa mrembo kisha mtamuSource: TBC Television.
Aliyewahi kuwa Miss Ilala mwaka 2003, Nargis Mohamed akiri kuwahi kuwa mpenzi wa Mtangazaji wa Clouds FM Masoud Kipanya.
Nargis ameyakiri hayo Jana usiku akihojiwa na Mtangazaji wa TBC Halid Bangala. Hata hivyo Nargis Mohamed amesema kwa sasa hana tena uhusiano na kimapenzi na Masoud Kipanya isipokuwa hayo yalitokea zamani bila kutaja mwaka.
Huyu Masoud Kipanya ana nyota ya wanawake sio bure.
Mpana sana wewe my baby, mji wote wako[emoji1787][emoji1787]Mbona muda tunajua, walikuwa wanabebishana kwenye harusi ya Seba diamond jubilee kipindi ndio yuko hot, huku komando naye yupo na G
Enzi hizo niko katoto nawaona [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpana sana wewe my baby, mji wote wako[emoji1787][emoji1787]
Yellow bananaMagic house na Kanumba.
Woman of Principle na Ray
Ya 3 ni ipii?
Yellow Banana Na Ray PiaMagic house na Kanumba.
Woman of Principle na Ray
Ya 3 ni ipii?
Wewe unazo au ni kajamba nani?[emoji23]Mwenye hela lazima atakua na fame au ni security kwa mambo yao
Shangazi weweeeeSasa huyo Muuza mwili kwani ni kipanya tu aliyepita nae?
Suala ni kumkinai, sidhani kama ni nguvu za kiume.Hahaha.................lakini hata hivyo sisi wa kizazi cha sasa hatuwezi kuhimili Wanawake wote hao kutokana na ufinyu wa nguvu za Kiume.
Yaani unalala na Mwanamke mwezi mzima lakini unamgonga mara 5 au 7 tu, imagine hao 1,000 tungeweza kweli [emoji2957]
Kiranga unamuonaje mtoto mzuri Mimi Mars? Hujawahi kuwa na hisia naye japo kidogo?Nargis mtoto mdogo mambo mengi.
Kipanya kajimilikisha.
Yaaani enzi hizo wee...balaaa ,Nargis Mohammed na Masudi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haha................kwamba huwa tunashindwa kula mboga moja mwaka mzima π πSuala ni kumkinai, sidhani kama ni nguvu za kiume.
Zishanunuliwa vijora, mabaibui, udi na mitandio.msitutoe kwenye bandari, rudisheni pesa za mwarabu
Mswati hawezi kufikia record ya kile chuma kwa kuchakata atakuwa alipiga 2000 na usheeeeeHaha................kwamba huwa tunashindwa kula mboga moja mwaka mzima [emoji28][emoji119]
Jamaa alijipendelea sana, naona mfalme Mswati ndiyo anajaribu kumsogelea kujaribu kuvunja record yake [emoji2957]
Mwana vipi ulienda Marbella?πUmeandika kana kwamba uyo nagris kila mtu humu anamjua[emoji848]
Ila ni kweli maana Mswati ndiyo kwanza anajaribu kufikia Wanawake 50 hadi kufikia 1,000 hiyo mziki aisee πMswati hawezi kufikia record ya kile chuma kwa kuchakata atakuwa alipiga 2000 na usheeeee
Wewe unazo au ni kajamba nani?[emoji23]