digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Hayo mambo muhimu kajadili na familia yako,nyie ndo mnaokufa mapema,kazi na dawa,wakati mwingine lazima burudani kidogonilijua tu kuna mtu lazima alete uzi wa hii stori ....stori ambazo hazina tija wala maana yoyote
Badala tujadili vitu vya muhimu kama ni jinsi gani ya kulitongoza lishangazi na likuazime hata laki 2 wikiendi ukale bata huku ukiangalia ARSENAL akimtandika CHELSEA
Wanasema bora kuweka hazina mbinguni ambapo hakuna mchwa wala wadudu wa kuilaBora nimtolee Yesu sadakaπ
tatizo unasoma comment ya humu kama mtu anaekimbizwa na mbwaHuna lolote unajishaua, umewezaje kuchangia hapa?
Kula madafu uendelee na safari bado ndefuπππ
Hayo mambo muhimu kajadili na familia yako,nyie ndo mnaokufa mapema,kazi na dawa,wakati mwingine lazima burudani kidogo
Ni balaa Cuzoo..Yaani cuzo sisi tu ndio tuko nyumanyuma,watu siku hizi wanapambana Kwa mbinu zote wafahamike sijui wanataka deal za matangazo?
Mambo ya DP World kontena unapakia Jumatatu Dubai, Jumatatu ijayo unalipokea Mwanza.Wakuu kama bando lipo ingia hapo uone ni jinsi gani dunia inakwenda kasi.
Short description kwa wasio na bundle;
Jamaa aliamua kumzawadia girlfriend wake anayemaliza chuo kwa sharti moja tu, " Ataje jina la mpenzi wake. Binti kumbe ana msururu wa mabwana hivyo kashindwa kutaja jina sahihi, kamtaja bwana Beni kumbe sio Beni aliyetoa zawadi ya gari.
Ndipo tulipo na mahusiano ya kisasa. Vijana mna kazi sana kutafuta walau wadada wenye nafuu, hii mbinu nimeikubali.
Chanzo: Global TV Online.
Id nimeirudisha kwa mbinde mkuuBro hii ID yako hem kwanza, kuna mabadiliko yalitokea...?
Halafu umekoma nini mkuu?π€£
Hii nisingeikosa sijawahi kuwa na mahusiano na mwanaume zaid ya moja haijawahi tokea.
ππππ Sisy niache kwanza niko ICUMdogo wangu ,unaona nilikwambia upunguze wenge,Lamomy ona sasa umekosa gari la mheshimiwa Countrywide ...
Mama atapewa gari na baba πKuna watu wana moyo wa utoaji aisee!
Yaani una mpa gari Mpenzi tu, ambaye unaweza kuta amewapanga zaidi ya 10 na wote hamjuani π
Hiyo gari si bora angempa zawadi Mama yake mzazi kuliko hawa wasambasa UTI sugu, Kaswende na HIV
Malizia dafu uje hapatatizo unasoma comment ya humu kama mtu anaekimbizwa na mbwa
soma vzuri uelewe
Babu hataki kupitwa anawatafuna wajukuu kimya kimya humu π€£π€£π€£Babu na wewe Nini?wewe umeshazeeka umekuwa kibogoyo,waache vijana wavunje mifupa meno bado Iko πππwatu Wana pesa zao mjini halafu sio wabahili kama Robert Heriel Mtibeli na nduguye Extrovert