DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
UDSM....
Wanafanya kwa Awamu....
Na leo kuna Awamu nyingine tena..
Ndio ππππ€£π€£π€£π€£π€£Wawe na group lao kabisa?
Eti kawawakilisha vizuri, vijana kazi wanayo wallahπ€£Huyo baharia mwenzetu katuwakilisha vizuri sana!! Kwanza ana uhakika wa wanaume wa kununua gari zaidi ya watatu.
Hapo atulie asubirie gari lingine kikubwa asijichanganye tena πππ
Aliyekwambia tunaumia nani? Na kipi kinatuumiza? π€£π€£π€£wanawake wajinga kama hao nanilii zao ndo zinaumia
Atakuwa analewa tu Kwa hasira muda huu,chezea surprise wewe inapobadilika?There no surprise in Africa,u will end up surprise urself..Eee dada naomba mwambie gari langu alilete na nimeshaliona harrier ole wako abadilishe alete Vits sitomuelewa πππ
Katisha ndio inavyotakiwa sio una watu choka mbaya muda wote wanaimba SINA HELA ππππEti kawawakilisha vizuri, vijana kazi wanayo wallahπ€£
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Hatari sana
Ila hayo mambo sio ya kuchekana, mwenyewe nakumbuka mwaka 72 nilitaka kutoa shamba la familia kwa bibie mmoja miaka ile.
Isingekuwa ndugu kushtuka mapema, hakyanani Shamba lilikuwa linaenda π
Yaan hata mimi nilijua tu lazima uta comment kwenye huu uzi ambao story yake haina tija wala maana yoyotenilijua tu kuna mtu lazima alete uzi wa hii stori ....stori ambazo hazina tija wala maana yoyote
Badala tujadili vitu vya muhimu kama ni jinsi gani ya kulitongoza lishangazi na likuazime hata laki 2 wikiendi ukale bata huku ukiangalia ARSENAL akimtandika CHELSEA
Africa surprise ujifanyie mwenyewe ndio itaisha salama, ila hizi za kufanyiana lazima maumivu yatokee πππAtakuwa analewa tu Kwa hasira muda huu,chezea surprise wewe inapobadilika?There no surprise in Africa,u will end up surprise urself..
Kuna watu wana moyo wa utoaji aisee!
Yaani una mpa gari Mpenzi tu, ambaye unaweza kuta amewapanga zaidi ya 10 na wote hamjuani π
Hiyo gari si bora angempa zawadi Mama yake mzazi kuliko hawa wasambasa UTI sugu, Kaswende na HIV
Hivi we si umezeeka?lishangazi la nini tena si uchukue kindergarten kama kina Lamomy ?Zipo mada zenye madini kibao tu mkuu, halafu hiyo mishangazi yenyewe ipo hoi siku hizi. Lipo moja hapa nalilia mingo, nishaliambia mimi mzee wa hovyo ndio tunawezana linacheka tuπ€£
Sema kajichanganya angetuuliza tumwambie kina Ben sio wahongaji ni maneno mengi mdomoni πππItabidi Ben amfikirie,kamheshimisha sana!!shout out to Benson,Benard, Benjamin whatever the Benππππ
Wallah, surprise Birmingham sio bongolandAfrica surprise ujifanyie mwenyewe ndio itaisha salama, ila hizi za kufanyiana lazima maumivu yatokee πππ
Sasa hizo bashasha za Ben ndio zimemvuruga kichwa!Sema kajichanganya angetuuliza tumeambie kina Ben sio wahongaji ni maneno mengi mdomoni πππ
KAKA SITAKI KUAMINI KAMA NA WW UNA KIWANGO KIKUBWA CHA UNAFIKI HIVI...πYaan hata mimi nilijua tu lazima uta comment kwenye huu uzi ambao story yake haina tija wala maana yoyote
Sasa sijajua comment yako kama imeleta tija au maana yoyote ile ππ
Unapenda Age Go wewe πUkiona nipo na underage(-35) ujue ni bahati mbayaππ