Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
ohoooo!!!Hiyo jumapili ataitumia kwenda kukagua shamba lake la Mkonoo .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ohoooo!!!Hiyo jumapili ataitumia kwenda kukagua shamba lake la Mkonoo .
TayariVipi ametumbuliwa au Mana sielewi kitu hapa au nizame twitter
GoodTayari
Alitenguliwa Simbachawene...Ingekuwa hivyo asingetenguliwa kwa kutenguliwa amerudishwa nyuma kisiasa. Pia asingetengua vigogo wengine wa Arusha
si kweliMagu hacheki na kima shambani
ila Gambo alijitahidi sana,labda vile hakupitia MGAMBO
Mkuu MAGUFULI hana kuzunguka huyu katumbuliwaa,,Msikilize atakalo sema wakati akawapisha wateule wapyaMwenzako anaelekea kwenye uwaziri...atagombea ubunge...hayo mautaratibu sijui ya majina kukatwa kwenye chama hayamuhusu!
Ubunge wa Arusha kisha uwaziri...
Everyday is Saturday........................ 😎
Yaani hii imekaa poa sana, kwa hapa, zidumu fikra za chama
Ingekuwa hivyo asingetenguliwa kwa kutenguliwa amerudishwa nyuma kisiasa. Pia asingetengua vigogo wengine wa Arusha
Subiri jumatatu usikie kisa cha kupigwa chini hao jamaa. Kuna pesa imepigwa chuga hapo.Mwenzako anaelekea kwenye uwaziri...atagombea ubunge...hayo mautaratibu sijui ya majina kukatwa kwenye chama hayamuhusu!
Ubunge wa Arusha kisha uwaziri...
Everyday is Saturday........................ 😎