Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

Hapo kwenye utatu uliovurugwa,yuko jamaa wa geti jeusi pale k'meat,itabidi aripoti haraka.. Mrisho utoto na misifa inamsumbua.
 
Hii ilijulikana, licha ya Rais kumvumilia kwa muda mrefu huku yeye akijiona yupo sahihi. Niliitarajia hatima yake baada ya kuitwa na Jafu kupatanishwa, licha ya kumdharau Jack kwa kuingia na kofia kwenye kikao cha usuruhishi.

Hii pia ilishawah tokea kwa magesa mulongo, mkuu WA mkoa mwanza na mkurugenz wake, licha ya kuambiwa wamalize tofauti zao, hawakufanya hivyo. JPM anatabia ya kufuatilia mawasiliano ya watendaji wao naona yalikuwa worse, kaamua kuwapiga chini na wala sio uchaguz.
 
Magu hacheki na kima shambani

ila Gambo alijitahidi sana,labda vile hakupitia MGAMBO
 
Ingekuwa hivyo asingetenguliwa kwa kutenguliwa amerudishwa nyuma kisiasa. Pia asingetengua vigogo wengine wa Arusha
Alitenguliwa Simbachawene...

Hizi drama kiini macho ni danganya toto, kuwa mambo hayajaenda sawa, so wapiga kura wawe na imani!

Everyday is Saturday........................ 😎
 
Mwenzako anaelekea kwenye uwaziri...atagombea ubunge...hayo mautaratibu sijui ya majina kukatwa kwenye chama hayamuhusu!

Ubunge wa Arusha kisha uwaziri...

Everyday is Saturday........................ 😎
Mkuu MAGUFULI hana kuzunguka huyu katumbuliwaa,,Msikilize atakalo sema wakati akawapisha wateule wapya
 
Hongera Pima kazi yako inaonekana ulikuwa mkurugenzi bora sana kaliua yetu. Tulikupenda sana kijana usie na makuu kwa kula MTU kila tutakukumbuka
 
Hawa jamaa walikuwa wanatunishiana misuli sana. Mkurugenzi haivi na DC, DC nae haivi na RC. RC nae, haivi na wote.
Unaitwa kwenye kikao, RC unatinga bonge la kopelo na kwenye kikao unakunja nne mbele ya waziri.
Tuvitu vitu hivi, acha kabisaaa.

Ila wasiwe na maneno a chinichini, mkulu anaweza akawasamehe kabisa, kama wameshindwa kuiva arusha, basi awatawanye tu.
 
Mwenzako anaelekea kwenye uwaziri...atagombea ubunge...hayo mautaratibu sijui ya majina kukatwa kwenye chama hayamuhusu!

Ubunge wa Arusha kisha uwaziri...

Everyday is Saturday........................ 😎
Subiri jumatatu usikie kisa cha kupigwa chini hao jamaa. Kuna pesa imepigwa chuga hapo.
 
Back
Top Bottom