Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

Mwenzako anaelekea kwenye uwaziri...atagombea ubunge...hayo mautaratibu sijui ya majina kukatwa kwenye chama hayamuhusu!

Ubunge wa Arusha kisha uwaziri...

Everyday is Saturday........................ 😎
Akiteuliwa kugombea ubunge tu na mimi nitarusha nia kwa chama pinzani. Na nina uhakika nitamshinda
 
IMG-20200619-WA0035.jpg
IMG-20200619-WA0038.jpg


Inauma kwaababu ni final touch.Umeteleza wapi hadi mkulu amekutema km JoJo?.
 
Mkuu, ebu jiongeze bana....
Huyo hajatenguliwa kwa bahati mbaya
 
Alikuwa hapatani na dc na ded. Kila mtu alikuwa kivyake vyake,.. juzi juzi walipatanishwa na jaffo kumaliza tofauti zao,naona suluhu iligonga mwamba na hatima yake wametumbuliwa wooooote..eboooh.magu ni kiboko
Na ndio huyu huyu alimdanyia fitina na majungu yule afisa usalama alikuwa mkuu, wa. Mkoa wa arusha Jiwe akamtumbua akamteua yeye kuwa mkuu wa mkoa wa arusha kutoka uDC halafu anawaita uvccm wenzake wakizeeka wanakuwa wachawi
 
Back
Top Bottom