Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka akiba ya maneno.embu jifunze kwa Mwigulu Nchemba.Pole sana Mheshimiwa Mrisho Gambo, umevuna ulichopanda. Wenye madaraka wote jifunzeni kilio cha mnaowaonea Mungu husikia.
Kumbukeni vyeo vyenu ni dhamana.
Akiteuliwa kugombea ubunge tu na mimi nitarusha nia kwa chama pinzani. Na nina uhakika nitamshindaMwenzako anaelekea kwenye uwaziri...atagombea ubunge...hayo mautaratibu sijui ya majina kukatwa kwenye chama hayamuhusu!
Ubunge wa Arusha kisha uwaziri...
Everyday is Saturday........................ 😎
Huyo ndo atakua mbunge wa Arusha mjini. Anaandaliwa kuwa Waziri
Imetoka hiyo.Hakuna cha UbungeHuyo ndo atakua mbunge wa Arusha mjini. Anaandaliwa kuwa Waziri
Misukule ya Lumumba ndicho mnachowaza.Huyo ndo atakua mbunge wa Arusha mjini. Anaandaliwa kuwa Waziri
Na ndio huyu huyu alimdanyia fitina na majungu yule afisa usalama alikuwa mkuu, wa. Mkoa wa arusha Jiwe akamtumbua akamteua yeye kuwa mkuu wa mkoa wa arusha kutoka uDC halafu anawaita uvccm wenzake wakizeeka wanakuwa wachawiAlikuwa hapatani na dc na ded. Kila mtu alikuwa kivyake vyake,.. juzi juzi walipatanishwa na jaffo kumaliza tofauti zao,naona suluhu iligonga mwamba na hatima yake wametumbuliwa wooooote..eboooh.magu ni kiboko
NdioVipi ametumbuliwa au Mana sielewi kitu hapa au nizame twitter