Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Tuvute subira ila ni kupitia kikao cha juzi cha wana uvccm
Kafanya kosa gani tena ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafanya kosa gani tena ?
Mwenye hekima kazeeka na busara zakeNapenda sana busara zako barafu
Kwahiyo unafikiri bashite akitenguliwa sasa hivi anakomolewa? Akitenguliwa ujue amepewa nafasi ya kujimwambafai kwenye jimbo lolote analotakaHuyo Bashite sasa hivi kakalia kuti kavu
Kwenye barua hakuna sehemu iliyoandimwa mtu atapangiwa kazi nyingine.Huu ugomvi mwisho wake ndio umefika. Wakapumzike kwenye kazi nyingine
I see?Sawa
Atapangiwa kazi nyingine huyo. Lindo si mchezo mzee baba..
PERIOD[emoji119]Hamna kitu, hao wamepigwa chini kwasababu ya migogoro baina ya dc na rc.
Makongoro Nyerere alishinda ubunge enzi hizo hapo Arusha mjini sababu ya Influence ya NCCR Mageuzi enzi hizo chini ya Mrema + watu walikua wanamheshimu dingi yake ila usawa huu Arusha mjini uwe sio mwenyeji/kabila la pale kupata Jimbo ni ndoto aiseeeee.
Na yeye avunjike mguu aseme wasiojulikana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli hakuna wa kujisifu kuwa anafanya kazi ya kuteuliwa maana sekunde yeyote unavuliwa hicho cheo, Gambo leo weekend nenda pale kokoriko ukajitwike
kwa wanaokucha kucheleKumekucha kutakuchwa
Kama zilikuwa dakika za mwisho hakuna tatizo. Alishamaliza kazi acha apumzike.Ameweza kote huko kaja kutumbuliwa dakika za mwisho