Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa anasema alikuwa anauza vitumbua mamayake akipika.Daqqaro ni Afisa Usalama atarudi alikotoka, Dkt Madeni inasemekana naye ni Afisa Usalama naye atarudi alikotoka. Gambo sijui shughuli yake kabla ya U-DC na U-RC ilikuwa nini, atakwenda anakojua
Madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana !
Mmoja wa walioumbuliwa ni mwana kijitonyama, pole yake
Arusha mjini, Moshi mjini haya majimbo lazma yarudi Ccm, hata umoja wa mataifa uingilie kati lazma yarudi ccm tu yaani..
Lema tafuta chaka lingine mzee...
Hii inafanana na wizara ya Mambo ya ndani Waziri, Katibu mkuu, kamishna generali wa Zimamoto wote waliliwa vichwa.
Bashite hajawahi zingua chochote kikubwa ni utupu wake kichwani tuu ambao mkuu hana tatizo nao. Public embezzlement ndio imemponza huyo dogo wa chuga na kuendekeza uswahili kwa subordinates wake,huyo DC ni ukasuku ndio umemponza ameenda na maji. Utasikia jumatatu.Mbona ana ushikaji na Bashite?
Kosa lake ni kuacha imba kwaya this days.Kosa lake nini mmoja wa watoto pendwa wa mheshimiwa.
Hao inaonekana kuna mchongo walikuwa wanapiga kwa pamoja, ndio maana wote wametenguliwa.
Funguka Pohamba
Sijui kama kashafika Arusha, kama hajafika basi akabidhi gari kabisa,
Daah