Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

Huyo gambo tukikaa naye kijiwen yeye hupenda kumwagia sifa jpm sasa sijui kesho tutamuona kijiwe? ha ha ha ha ha ha ngoje nisubiri
 
Daqqaro ni Afisa Usalama atarudi alikotoka, Dkt Madeni inasemekana naye ni Afisa Usalama naye atarudi alikotoka. Gambo sijui shughuli yake kabla ya U-DC na U-RC ilikuwa nini, atakwenda anakojua
Huwa anasema alikuwa anauza vitumbua mamayake akipika.
 
Magufuli alimwambia asimsakame Lema yeye akawa analeta jeuri sasa habari ndo hiyo aende akapige punyeto.
 
Mkuu huwa Yuko open.. Subirini jumatatu wakati anawaapisha wapya ataeleza sababu..
 
Hii inafanana na wizara ya Mambo ya ndani Waziri, Katibu mkuu, kamishna generali wa Zimamoto wote waliliwa vichwa.

Ila akina Lugola walikuwa wanaelewana, walipanga dili, ndio kilichofanya watumbuliwe, hawa wa leo hawaelewani, yaani RC yuko kivyake na DC & DED wako kivyao, yaani RC against DC & DED. Mh. Rais kafanya uamuzi mzuri sanaaa, excellent
 
Mbona ana ushikaji na Bashite?
Bashite hajawahi zingua chochote kikubwa ni utupu wake kichwani tuu ambao mkuu hana tatizo nao. Public embezzlement ndio imemponza huyo dogo wa chuga na kuendekeza uswahili kwa subordinates wake,huyo DC ni ukasuku ndio umemponza ameenda na maji. Utasikia jumatatu.
 
Janja tu hiyo ili agombee ubunge akaongeze muda wa jiwe kubaki
 
Kosa lake nini mmoja wa watoto pendwa wa mheshimiwa.

Hao inaonekana kuna mchongo walikuwa wanapiga kwa pamoja, ndio maana wote wametenguliwa.
Kosa lake ni kuacha imba kwaya this days.
Aje mtaani tulime nyanya.
Bado chalamila,hapi.bashite ni untouchable
 
Sijui kama kashafika Arusha, kama hajafika basi akabidhi gari kabisa,
Daah

Alikua anajiandaaa mpwaa🤣🤣
C99C54E8-B5D2-41EB-A8DF-DFCFF691D1F3.jpeg
 
NASUBIRI MH. LEMA ATWEET[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom