secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Kazi za kuteuliwa huwa ni ngumu sana unaweza kutenguliwa muda wwte......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya asanteumetoa maoni duni sana !
Well said.
Umekuja vema,
Wewe unaamini ni kweli Lema amezuiwa kushiriki shughuli za maendeleo?
Na je unaamini kwamba Lema anaeza kuzibwa mdomo kwenye jambo la Maendeleo?kama aliweza kufight apewe utambuzi kwenye ile hosipital aliyotafuta wadhamini yeye, basi tambua tuu hakuna wa kumzuia wala kumziba mdomo Lema anavotaka kupitisha jambo lake,kwa mantiki hiyo Lema ajashiriki kwa lolote kwenye maendeleo ya jimbo sio tuu kimchango bali hata uwepo wa moja kwa moja
Kwenye mapambano ya Corona ajajionyesha kwa lolote,hata uhamasishaji alipoulizwa,alinukuliwa akisema Ajapewa mwaliko n mkuu wa mkoa.
Soko la samunge liliungua juzi,ulimuona?
Tusijadili kishabiki,Lema ni Uvundo kwa wana Arusha.
Huyo ndo atakua mbunge wa Arusha mjini. Anaandaliwa kuwa Waziri
Atarudi kwa kofia kama au zaidi ya hiyo aliyotumbuliwa!
Kwani ameshindwa kuandaliwa akiwa mkuu wa mkoa hivyo hivyo ninyi watu huyo ndio imetoka mama.
Mwenzie alimfananisha na Yesu, huenda akafikiriwa kwenye uteuzi! Yeye sijui amfananishe na nani sasa!!
Endelea kujidanganya!
Angalau umekuwa na maono kinzaniHuyo ndo atakua mbunge wa Arusha mjini. Anaandaliwa kuwa Waziri
Hayo ni maandalizi ya jambo jingine,usifurahie kwamba yamkini yamemkuta,unaweza kuta ndo anasonga mbele kuliko ufikiriavyo
Labda unamuandaa wewe..Huyo ndo atakua mbunge wa Arusha mjini. Anaandaliwa kuwa Waziri
aliwatukana UVCCMLeo unamgeuka lumumba mwezako?
Wenzie waliotumbuliwa nae wao hawaandaliwi hilo jambo unalolijua wewe..kwa kipi hasa alichofanya gambo?Msifurahie hili la gambo
Kuna jambo
Kuweni na kiasi
Linalokuja mtashangazwa
Si bure
Hajaondolewa kwa sababu kashindwa bali ni mkakati wa kuchukua Arusha kutoka kwa Lema
Huyu atapewa kazi nyingine
Tuwe na kiasi
Huyu kihongosi nae ni mtumishi wa ile idarautakufa na pressure mkuu, kunywa maji kwanza ulelax, hakuna kijana mpenda maendeleo kama huyo kihongosi, hapa iringa kaleta maendeleo kupita hata wabunge wenyewe, nina imani kubwa huko arusha wataneemeka na uongozi wake,