kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Nenda mahakamani tukutane huko!wewe ni mpuuzi sana, hujui kwa kauli hizo ndo zimechangia Mbowe na wenzake kuwa na kesi hadi sasa. Hukumbuki siku ya kuhitimisha kampeni zao jimbo la Kinondoni? Wewe ni mpuuzi sana, ulitakiwa usime RC hapo ameteleza, siyo kauli ya kutolewa na kiongozi/mkiti wa kamati ya ulinzi ya mkoa mbele ya vyombo vya hbr.
Kwa kauli hizo, serikali inaepuka vipi lawama za uvunjifu wa amani? Kuna umri ukifika unalazimika kujifunza kuwa na busara.
Kuhamasisha vurugu ni maoni? Muda mwingine muwe mnaona aibu hata kidogo, angekuwa mpinzani hapo angesakwa mpaka na vifaru,kwa kuwa huyo ni was kwetu ametoa maoniMaoni tu kila mtu yupo huru kusema haijalishi..........
Ni kweli kabisaaaa, CCM itafakari kauli zakeKuhamasisha vurugu ni maoni? Muda mwingine muwe mnaona aibu hata kidogo, angekuwa mpinzani hapo angesakwa mpaka na vifaru,kwa kuwa huyo ni was kwetu ametoa maoni
i hapo anagonga cheers za jacky daniels.............Kijana wa Arusha,Dar na yule wa Manyara wanachangia kwa 99% Mkuu wa kaya kuonekana huwa hamaanishi anachoongea.
Ni ajabu sana Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya mkoa kuhamasisha vurugu na uvunjifu wa amani tena bila hata soni mbele ya kamera.
Hawa vijana wamechangia pakubwa sana Mkuu kupoteza mvuto machoni pa wananchi,sijui kama analijua hili!
Aibu,aibu!!
Dodoma majimbo yote ni ccm lakini wote wamekuwa ombaomba
Tukusaidie nini sasaNimejiunga CCM Rasmi ili kukitafutia chama Kura mwaka 2020. Hakika nimeziunga Juhudi Za Rais Wangu Magufuli katika kuiletea Tanzania Maendeleo. Na Maendeleo hayana Vyama.
albadili zinawarudia wanafanya mambo ya aibu bila kujielewa ulimwengu mzima unawazomeaBaada ya Kushinda Kuzima Kila aina ya Maandamano na Wanaharakati..Sasa wanauhakika Wa kupora haki ya yeyote na Wasifanywe Chochote..
Sasa kama maendeleo hayana vyama umejiunga na CCM kufanya nini?Nimejiunga CCM Rasmi ili kukitafutia chama Kura mwaka 2020. Hakika nimeziunga Juhudi Za Rais Wangu Magufuli katika kuiletea Tanzania Maendeleo. Na Maendeleo hayana Vyama.
labda vya bangeEti hawa ndio wanaotegemewa kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda?
Jambo la msingi sio kujiandaa kufa, Bali kujiandaa kuuana.
Mie nadhani ukondoo iwe mwisho sasa, Hakuna mwenye hati miliki ya maisha yetu sembuse hako ka Gambo?
Hahahahahahahahaha!!! nimeikubali hii hoja. Hata nilikozaliwa ccm inaongoza tangu uhuru lkn ni masikini wa kutupwa. Ukifika kijijini wanakupiga mkuki (kuomba 500) sasa hapo jiulize wanataka kuongoza ili kupata nini au wanataka watanzania wote wawe masikini na wasijitambue na kujua haki zao.Dodoma majimbo yote ni ccm lakini wote wamekuwa ombaomba
Sio wapo Tayari hata kuuwa "" Sema wapo Tayari Kuendelea Kufanya Mauaji "" Wame Muua Akwilina..Kwaajili Ya kupora" Haki Kwenye Changuzi Mara Hii Umesha Sahau Mkuu....?Hawa wapo tayari hata kuua ili mradi washinde uchaguzi, na wanajua kabisa kwamba hawapendwi ila wanalazimisha. Upinzani nao wapo kwa ajili ya kujipendendekeza kama alivyofanya Lema kwa huyo Gambo eti wamezika tofauti zao, ilitakiwa watu waambiwe kuwa hawa sio wenzetu.
Wameishia kula viwavi jeshi kama mbogaDodoma majimbo yote ni ccm lakini wote wamekuwa ombaomba
Haha Hahaa "" kuzalisha Masikini Na Wajinga Ni kitalu Kimoja Wapo Ktika Sera Zao "" Maana Huwezi Kumtawala Mtu Aliyeendelea Halafu Ukawa Unamyonya HalaFu aishie Kukutazama TuDodoma majimbo yote ni ccm lakini wote wamekuwa ombaomba
Kama Wamerogwa"" ....Sasa Hizo si Kauli Za Uchochezi Hizo " Maana Hapo Itabidi Wananchi Ambao Wapo Vyama Pinzani Nao Waanze Kujiandaa" Kupambana na Hao walioagizwa Kufanya Fujo...Kauli mbiu ya magufuli hiyo maendeleo mtayasikia huko kwa kenyatta huku tunawekeza kwenye kutawala tu.
Yakiambiwa yameiba kura,kukimbia na viapo kupiga wapinzani yanabisha yenyewe yanatoa siri.
Kwahiyo Nikikutukania Mama Yako Hapa "" Nitakuwa " Sijafanya Kosa " Maana Nitakuwa Nimetimiza Uhuru Wangu Wakutoa Maoni ""Maoni tu kila mtu yupo huru kusema haijalishi..........