NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Na kafa, nyenyere huyo.Rais ametoka ccm, Waziri mkuu ametoka ccm, Spika ametoka ccm, bunge 99% ccm, tokea uhuru almost miaka 60 ccm yupo madarakani Ila lawama anapewa chadema, aliyewaloga wa Tanzania ni kiboko
Hii ya " Labda wanipige Risasi Getini " inafikirisha sanaSio kwamba ulijitegea vyupa mwenyewe kama ambavyo huwa mnasema kuwa lisu alijipiga risasi??
Wewe msenge Kulwa Jilala una maanisha nini hapa?We endelea tu kuolewa huko ubelgiji ya Tanzania hayakuhusu
Mbona yeye anasema million 800 zimeliwa za kwenye halmashauri yake walizotakiwa wapewe vikundi vya wajasiria Mali.Aache udhulumati,arudishe 400m alizowaibia BODABODA.
2025 Gambo atagombea Ilala kwa ticket ya ChademaTatizo Gambo ana maadui hadi ndani ya Chama. Hata CCM Arusha hapendwi na wengi. Kiufupi hakuna muujiza wowote wa Gambo kupenya kura za maoni 2025. Labda CCM iwe tayari kurudisha jimbo upinzani kwa kulazimisha Gambo awe mgombea. Mbunge asiyeelewana na karibia viongozi wote wa juu Arusha hafai.
Hii inawezekana kabisa. Makamanda huwa ikifika uchaguzi wanakuwaga hawana wagombea. Wanasubiria kura za maoni CCM zipite kwanza. 😄😄2025 Gambo atagombea Ilala kwa ticket ya Chadema
Huna faida yoyote duniani, ata mchwa wamekuzidi.Asije akajitundika marisasi kama lisu,hii inji inaamani sana asikudanganye mtu
Muosha huoshwa.Ampigie simu Lema amjulie hali na kumuomba msamaha kiume.Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa
Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi
Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi
Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo
Chanzo: Global tv
My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
Umesoma jina lake?Hayanaga aibu wala akili.Miili mikuuubwaaa ila ni kama li-redio likuubwaa halafu bendi moja.Rais ametoka ccm, Waziri mkuu ametoka ccm, Spika ametoka ccm, bunge 99% ccm, tokea uhuru almost miaka 60 ccm yupo madarakani Ila lawama anapewa chadema, aliyewaloga wa Tanzania ni kiboko
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa
Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi
Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi
Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo
Chanzo: Global tv
My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
Nafikiri "chema hakidumu" Au wahenga walitudanganya?Asihofu kama mwema hatokufa ila kama ni muovu atakufa tu.
MhNafikiri "chema hakidumu" Au wahenga walitudanganya?