Mrisho Gambo: Nasakwa sana, sili wala sinywi ovyo nisije kuwekewa sumu. Labda wanivizie getini wanipige risasi

Mrisho Gambo: Nasakwa sana, sili wala sinywi ovyo nisije kuwekewa sumu. Labda wanivizie getini wanipige risasi

Rais ametoka ccm, Waziri mkuu ametoka ccm, Spika ametoka ccm, bunge 99% ccm, tokea uhuru almost miaka 60 ccm yupo madarakani Ila lawama anapewa chadema, aliyewaloga wa Tanzania ni kiboko
Na kafa, nyenyere huyo.
 
Tatizo Gambo ana maadui hadi ndani ya Chama. Hata CCM Arusha hapendwi na wengi. Kiufupi hakuna muujiza wowote wa Gambo kupenya kura za maoni 2025. Labda CCM iwe tayari kurudisha jimbo upinzani kwa kulazimisha Gambo awe mgombea. Mbunge asiyeelewana na karibia viongozi wote wa juu Arusha hafai.
 
Tatizo Gambo ana maadui hadi ndani ya Chama. Hata CCM Arusha hapendwi na wengi. Kiufupi hakuna muujiza wowote wa Gambo kupenya kura za maoni 2025. Labda CCM iwe tayari kurudisha jimbo upinzani kwa kulazimisha Gambo awe mgombea. Mbunge asiyeelewana na karibia viongozi wote wa juu Arusha hafai.
2025 Gambo atagombea Ilala kwa ticket ya Chadema
 
Jamani hebu tuambizane kuhusu hizi Siasa za kuwekana sumu na kupigana Risasi hivi zipo kweli au Sumaye alitania tu aliposema Sumu haionjwi?

Huko Arusha Watu wanawekewa hadi condoms majumbani kwao kiukweli hali ni tete

Labda ndiyo sababu Lema alikimbia na family yote hadi Beki 3
 
Kamanda Mawazo, mwanajamvi Saanane, viroba kule Coco beach, Lissu marisasi, Akwilina dada yetu kule kinondoni, watu tukaongea tukaonekana tuna gubu, tumemuachia Mungu, sasa mimmbuzi inakulana nyama, na bado
 
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa

Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi

Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi

Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo

Chanzo: Global tv

My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa
Muosha huoshwa.Ampigie simu Lema amjulie hali na kumuomba msamaha kiume.
 
Rais ametoka ccm, Waziri mkuu ametoka ccm, Spika ametoka ccm, bunge 99% ccm, tokea uhuru almost miaka 60 ccm yupo madarakani Ila lawama anapewa chadema, aliyewaloga wa Tanzania ni kiboko
Umesoma jina lake?Hayanaga aibu wala akili.Miili mikuuubwaaa ila ni kama li-redio likuubwaa halafu bendi moja.
 
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema Wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa

Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu hivyo kwa sumu hawatampata labda Wanivizie Getini wampige Risasi

Gambo amesema hata Ofisini kwake haruhusiwi mtu yoyote kuingia kama Hayupo hata msaidizi wake haruhusiwi

Mbunge Gambo amemshukuru sana Rais Samia kwa namna anavyowatatulia matatizo ya jimbo lao kwa Wakati " mnyonge mnyongeni lakini Haki yake mpeni" amesisitiza Gambo

Chanzo: Global tv

My take; Wamsubiri getini wampige Risasi ndio sijaelewa

Atafute bodyguard.
 
Tukidhani serikali na matendo yenu ni kwa ridhaa yetu.

IMG_20221212_092522_648.jpg


Mnavamia watu mkiwa kondomu na vilainishi kwa ridhaa ya nani?

Mama Samia hamna japo mmoja hata akawa wa mfano tu?
 
Back
Top Bottom