Mrithi wa Samia ana kazi nzito kurudisha uchumi wa Tanzania kwenye Mstari

Mrithi wa Samia ana kazi nzito kurudisha uchumi wa Tanzania kwenye Mstari

Katika Jambo linalotishia uhai wa taifa Letu ni kuelemwa na madeni huku pesa yetu ikikosa thamani kabisa, Hakuna juhudi zozote Za makusudi zinazofanywa na seriakli ya Samia kuokoa uchumi wa Taifa letu...

Ni masikitiko makubwa Kwamba Sasa watu wanchota mihela Kwa kadri wawezavyo nakukopa mikopo mikbwa mikubwa huku nchi ikiwa Hoi bin taabani . Mfumuko wa bei uliopo Nchini Siyo wa kitoto, wakati huo huo purchasing power ya hela yetu ikiwa Chini Sana,. Pia serikali ikizalisha mikodi ya kila Aina kukandamiza mwananchi wa kawaida...


Samia siyo Raisi wa Kwanza kuvuruga uchumi wa nchi yetu, wapo watangulizi wake waliowahi kufanya hivyo, Sina haja ya kuwataja Maana wanajulikana. Ila Kwa Bahati Nzuri maraisi waliokuwa wanafutia walikuwa wazalendo kiasi ambacho walirudisha uchumi Kwenye mstari.... .


Wasiwasi wangu je tutakuja kupata mtu mzalendo ambae atakuja kuweka uchumi wetu imara, Tuombe iwe hivo kama hatapatikana basi Taifa la Tanzania linaenda kuangamia kama mrithi wa Samia atakuwa na akili hizihizi Tunazoshuhudia Sasa.....


Tukae tukijua seriakli yoyote dhaifu huambatana na mambo yote ya hovyo hovyo, Kama migomo, Rushwa, matajiri kuiendesha serikali, manyanyaso kwa raia, hudumaa za jamii kuwa mbovu etc. etc..

My Advice
"When you're choosing a Top leader of the government, choose wisely." By me.
Njoo bariadi mjini ushuudie kamatakamata ya pikipiki zenye plate namba nyeuupe TRA ni balaa sana.boda boda hawana hamu,siku ya mbina (Ngoma)waliwakamata kinoma Tena Kwa kuviziwa ,yaani unaviziwa unaenda kupata huduma ktk ofisi zilizo jirani wanakudaka, Sasa Cha ajabu pesa zikienda huko serikalini zinaibiwa ovyo ovyo tu,jamani kuweni na huruma nasi jamani kitaa pagumu sana

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Watu mmekaa ofisini mnaongelea uchumi
Uchumi gani wakati amfanyi biashara
Njoo kwenye biashara baada ya miezi 6 utajilaumu ulichoandika

Mwacheni Samia afanye kazi
 
Aliharibu Mwinyi, Mkapa akapata kazi nzito kurudisha nchi kwenye mstari.

Akaja Msoga, ufisadi ukatamalkai. Magufuli akainyoosha kwa kasi.

Kaja mama, afanye yake. Alafu akimaliza aingie Mgalatia kusawazisha.

Ukweli ni kuwa, Wagalatia ndiyo hufanyaga kazi nzito mno. Na pengine vufo vyao huwahi kwa sababu ya mzigo mzito wanaojitwisha kwa maslahi ya nchi.
Well said
 
Tuondolee uongo wako hapa. Benki ya Dunia pamoja na shirika la Fedha la kimataifa wote kwa pamoja wameipongeza Tanzania kwa kufanya vizuri katika uchumi,Wameonyesha hayo kwa Takwimu za ukuaji wetu wa uchumi pamoja na kuutabiria makubwa uchumi wetu. Sasa wewe Ni Nani Hadi upingi ripoti za kiutafiti kutoka Taasisi zinazoheshimika Duniani kwote? Kwanini usiweke nawewe ushahidi wako wa kitafiti kuliko kukurupuka na kuropoka Kama ulivyo fanya hapa?

Suala la Deni la Taofa. Katika hili pia Kama nchi na Taifa tupo katika Hali nzuri,kwa kuwa Deni letu Ni himilivu na bado tunao uwezo wa kukopa na kulipa bila shida. Lakini pia kukopa siyo shida maana Cha muhimu unapokopa uangalie na kuzingatia malengo ya mkopo,mahali unapowekeza,faida za mradi unapowekeza mkopo wako,masharti ya mkopo,riba ya mkopo husika, muda wa kufanya marejesho ya mkopo.

Serikali yetu ya mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania mama Samia suluhu Hassani imekuwa ikichukua na kupokea mikopo yenye masharti nafuu na ya muda mrefu na kuwekeza katika miradi yenye tija kwa Taifa letu.

Suala la mfumuko wa Bei .Hapa naona pia umejiandikia tu bila utafiti Bali kwa kuongozwa na mihemuko ,chuki binafsi na njaa yako kichwani, kwa kuwa kwa Sasa hatuna mfumuko wa Bei katika nchi yetu na pale ulipojitokeza serikali yetu ilikabiliana nao vyema,mfano wakati pembejeo za kilimo hasa mbolea zilipopanda Bei serikali ya Rais Samia ilitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni, mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu. Lakini pia serikali ya Rais Samia ilikuwa inatoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi katika mafuta na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mafuta maeneo mbalimbali nchini na hivyo kuleta ahueni katika maisha ya watanzania,hasa kwa kuzingatia kuwa mafuta Ni injini ya uchumi wetu.

Watanzania wan Imani na mh Rais wetu mama Samia na serikali yake na ndio maana wamekuwa na wanaendelea kuiunga mkono kwa nguvu zao zote.
Akíli za kichwa panzi hizi
 
Aliharibu Mwinyi, Mkapa akapata kazi nzito kurudisha nchi kwenye mstari.

Akaja Msoga, ufisadi ukatamalkai. Magufuli akainyoosha kwa kasi.

Kaja mama, afanye yake. Alafu akimaliza aingie Mgalatia kusawazisha.

Ukweli ni kuwa, Wagalatia ndiyo hufanyaga kazi nzito mno. Na pengine vufo vyao huwahi kwa sababu ya mzigo mzito wanaojitwisha kwa maslahi ya nchi.
NDIO wagalatia wanakua na KAZI nzito ya kuwatia watu katika viroba na kuwatupa katika MiTo
Wagalatia wanakua na KAZI nzito kupora pesa za watu waliohangaika Kwa jasho Lao nakuzitaifisha
Wagalatia Wana kazi nzito kuuwa uoinzani na kuwanunua wapinzani

Makofi Kwa wagalatia please
 
Unataka kusema marais wa kiislama wanaharibu uchumi sana wa Nchi kuliko wa Kikrsto?
 
Kwa kusaidia angalia ongezeko la deni la taifa kipindi kile na sasa.

Mkuu mbona umekimbilia kushambulia yule wakati wala hajatajwa? 😁😁😁

Anyway...yule aliongeza ngapi kwenye deni la taifa kwa miaka yake yote 6 aliyokaa madarakani?

Na mama keshaongeza ngapi kwa miaka yake hii miwili+ aliyokaa madarakani pamoja na kuwa na mitozo hii ya kila aina?
 
Acha Umbea; mama anafungulia nchi na ameongeza pesa kwenye mzunguko.

Umesikia juzi kulikuwa na bajeti ya wizara fulani ambayo sehemu kubwa inategemea mikopo na misaada kutoka nje, lakini ndani yake kuna 40b za posho kwa ajili ya kuongeza kwenye mzunguko!!

Pumbavu
 
Uwe na adabu wewe kwa Rais wetu ,hata Kama umekosa malezi ya wazazi wako jaribu kuwa na heshima kwa mh Rais.usiandike hapa Kama mlevi wa gongo.
Hivi kweli wewe ni mzalendo kweli, nchi inamfumuko wa Bei kwa asilimia 120, Kodi nyingi ikiwemo TOZO, mtaani hakuna hela yaani Hanna mzinguko wowote, rushwa, na uwizi wa hela za imma, Sasa wanaiba Trillion sio Bilioni hayo yameonekana kwenye ripoti ya CAG

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwa sasa Taifa lina hitaji Kiongozi, wewe ni mfanya biashara, una kwenda Bank kulipia mzigo, unaambiwa USD hakuna, jaza form za malipo ya nje, ziache hapa tutakupigia simu tukijadiliana na Branch manager tuone kama itawezekana, hivi kweli tutafanya biashara kwa mtindo huu? , online transactions zote zime kuwa affected, hata kama una transact 500$ haiwezekani, hairuhusiwi hadi uende Bank, ujaze form na uache wakijadili, au urudi kesho yake uulize vipi ombi langu lime kubaliwa? , Mama Samia Raisi wenu ni bure kabisa, yaani yupo yupo tu hajui ni afanye, biashara imekuwa ya hovyo sana.

Tz shillings thamani ina shuka kwa kasi ambayo toka tupate uhuru haijawahi shuhudia, binafsi nilijua Mama yenyu hakuna kitu , lilikuwa suala la muda tu, kibaya zaidi yuko busy kutaka kuwa Rais 2025, hii nchi pengine wananchi kuna utindiwa wa ubongo sio kawaida hii.
Kuna mapimbi humu wanamsifu huyo Bibi balaa!
 
Wewe mpumbavu hujui misingi ya uchumi. Nenda uani kajisetiri halafu ukalale.

Uchumi kavuruga Magufuli, ila Rais Samia ndiyo anaujenga.
Anajenga nini huyo muimba taarabu.Maisha magumu kama tupo Somalia!
 
Aliharibu Mwinyi, Mkapa akapata kazi nzito kurudisha nchi kwenye mstari.

Akaja Msoga, ufisadi ukatamalaki. Magufuli akainyoosha kwa kasi.

Kaja mama, afanye yake. Alafu akimaliza aingie Mgalatia kusawazisha.

Ukweli ni kuwa, Wagalatia ndiyo hufanya kazi nzito mno. Na pengine vifo vyao huwahi kwa sababu ya mizigo mizito wanayojitwisha kwa maslahi ya nchi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom