Mrithi wa Samia ana kazi nzito kurudisha uchumi wa Tanzania kwenye Mstari

Mrithi wa Samia ana kazi nzito kurudisha uchumi wa Tanzania kwenye Mstari

Samia kwa miaka michache kamzidi hayati Magufuli kwenye uchumi na diplomasia. Pia kwenye demokrasia na haki za binadamu kamzidi kwa mbali.

Udhaifu wake mkubwa uko kwenye usimamizi - hana basic skills. Competence yake kwenye good leadership ni ndogo.

Ila sasa afanye kazi moja tu muhimu, atupe Katiba Mpya. Akifanya hilo ataandika jjna lake kwa wino wa dhahabu katika historia ya Tanzania. Pia atakuwa na heshima na baraka hapa na milele
Ningekuwa na bastola ningekupiga risasi ya katikati kwenye buttocks zako
 
Nadhani amekusikia maana si mwingine Bali Ni Makamba.
Mwigulu alikua anautamani lkn Hana back up. Kama yule Kingwangwala (jamani nchi ina màajabu hii, eti Kingwangwala alitaka kua rais wetu)?
Nchi ya ajabu Sana. Kingwangwala huyu huyu? Wizara ndogo tu ulimshinda.
We acha tu. Kingwangwala gala huyu huyu aliyepigisha watu magoti.
 
Katika Jambo linalotishia uhai wa taifa Letu ni kuelemwa na madeni huku pesa yetu ikikosa thamani kabisa, Hakuna juhudi zozote Za makusudi zinazofanywa na seriakli ya Samia kuokoa uchumi wa Taifa letu...

Ni masikitiko makubwa Kwamba Sasa watu wanchota mihela Kwa kadri wawezavyo nakukopa mikopo mikbwa mikubwa huku nchi ikiwa Hoi bin taabani . Mfumuko wa bei uliopo Nchini Siyo wa kitoto, wakati huo huo purchasing power ya hela yetu ikiwa Chini Sana,. Pia serikali ikizalisha mikodi ya kila Aina kukandamiza mwananchi wa kawaida...


Samia siyo Raisi wa Kwanza kuvuruga uchumi wa nchi yetu, wapo watangulizi wake waliowahi kufanya hivyo, Sina haja ya kuwataja Maana wanajulikana. Ila Kwa Bahati Nzuri maraisi waliokuwa wanafutia walikuwa wazalendo kiasi ambacho walirudisha uchumi Kwenye mstari.... .


Wasiwasi wangu je tutakuja kupata mtu mzalendo ambae atakuja kuweka uchumi wetu imara, Tuombe iwe hivo kama hatapatikana basi Taifa la Tanzania linaenda kuangamia kama mrithi wa Samia atakuwa na akili hizihizi Tunazoshuhudia Sasa.....


Tukae tukijua seriakli yoyote dhaifu huambatana na mambo yote ya hovyo hovyo, Kama migomo, Rushwa, matajiri kuiendesha serikali, manyanyaso kwa raia, hudumaa za jamii kuwa mbovu etc. etc..

My Advice
"When you're choosing a Top leader of the government, choose wisely." By me.
Tunaishi leo. Kesho hatuijui. Achana na kesho itajisumbukia yenyewe.


YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
Mathayo 6 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁹ Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo, na wevi huvunja na kuiba;
²⁰ bali jiwekeeni hazina mbinguni, kusikoharibika kitu kwa nondo wala kutu, wala wevi hawavunji wala hawaibi;
²¹ kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo utakapokuwapo na moyo wako.


²⁴ Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.
²⁵ Kwa sababu hiyo nawaambieni, Msisumbukie maisha yenu, mle nini au mnywe nini; wala miili yenu, mvae nini. Maisha je! Si zaidi ya chakula, na mwili zaidi ya mavazi?
²⁶ Waangalieni ndege wa angani, ya kwamba hawapandi, wala hawavuni, wala hawakusanyi ghalani; na Baba yenu wa mbinguni huwalisha hao. Ninyi je! Si bora kupita hao?
²⁷ Ni yupi kwenu ambaye akijisumbua aweza kujiongeza kimo chake hata mkono mmoja?
²⁸ Na mavazi, ya nini kuyasumbukia? Fikirini maua ya mashamba, jinsi yameavyo; hayafanyi kazi, wala hayasokoti
²⁹ nami nawaambia, ya kwamba hata Sulemani katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo la hayo.
³⁰ Basi, ikiwa Mungu huyavika hivi majani ya kondeni, yaliyopo leo, na kesho hutupwa kalibuni, je! Hatazidi sana kuwavika ninyi, enyi wa imani haba?
³¹ Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini?
³² Kwa maana hayo yote Mataifa huyatafuta; kwa sababu Baba yenu wa mbinguni anajua ya kuwa mnahitaji hayo yote.
³³ Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.
³⁴ Basi msisumbukie ya kesho; kwa kuwa kesho itajisumbukia yenyewe. Yatosha kwa siku maovu yake.


HALELUUUUYA!
 
Ingekuwa Haina Uongozi ungekuwa umeshabakwa zamani 😁😁

Kama unadhani Haina karibu kufanya tukio..

Namaanisha humu watu wanavotoa maoni utahis serikali haifanyi chochote!

Kile kipindi Cha Corona nlikuwa naingia sana humu aisee Kwa jinsi Watu walikua wanasema utafkir maiti zimezagaa mtaani😁 nlikuwa nakaa ndani tu
 
Namaanisha humu watu wanavotoa maoni utahis serikali haifanyi chochote!

Kile kipindi Cha Corona nlikuwa naingia sana humu aisee Kwa jinsi Watu walikua wanasema utafkir maiti zimezagaa mtaani😁 nlikuwa nakaa ndani tu
Ukisikiliza sana wapuuzi wa humu hutokuwa tofauti na zile picha za mafuriko ya Chadema humu jukwaani ila ukienda kwenye field wanaangukia pua 😂😂

JF ni sehemu ya burudani don't take it seriously,sisi wengine tunakutana na watu hasa Vijijini Wana appreciate
 
Wewe mpumbavu hujui misingi ya uchumi. Nenda uani kajisetiri halafu ukalale.

Uchumi kavuruga Magufuli, ila Rais Samia ndiyo anaujenga.
Magufuli alivuruga Uchumi upi wakati ndio rais aliyeingiza nchi uchumi wa kati mnajua huu unafiki wenu na uwongo mnaoufanya mitandaoni mnaharibu nchi wenyewe halafu mnamsingizia Magufuli sijui mnatumwa na walamba asali na majizi kila baya likifanyika mnasema kafanya Magufuli ila mazuri yake hamtaji mnayachukua na kujisifia nayo kama juzi ikulu ya dodoma
 
Kwa sasa Taifa lina hitaji Kiongozi, wewe ni mfanya biashara, una kwenda Bank kulipia mzigo, unaambiwa USD hakuna, jaza form za malipo ya nje, ziache hapa tutakupigia simu tukijadiliana na Branch manager tuone kama itawezekana, hivi kweli tutafanya biashara kwa mtindo huu? , online transactions zote zime kuwa affected, hata kama una transact 500$ haiwezekani, hairuhusiwi hadi uende Bank, ujaze form na uache wakijadili, au urudi kesho yake uulize vipi ombi langu lime kubaliwa? , Mama Samia Raisi wenu ni bure kabisa, yaani yupo yupo tu hajui ni afanye, biashara imekuwa ya hovyo sana.

Tz shillings thamani ina shuka kwa kasi ambayo toka tupate uhuru haijawahi shuhudia, binafsi nilijua Mama yenyu hakuna kitu , lilikuwa suala la muda tu, kibaya zaidi yuko busy kutaka kuwa Rais 2025, hii nchi pengine wananchi kuna utindiwa wa ubongo sio kawaida hii.
Si yupo na waziri wa fedha nguli, mwenye PhD ya uchumi first class 🤣🤣 anapotupeleka anajua yeye na mchumi wake msomi🙏suala la maza kutaka kugombea 2025,binafsi namshauri ajitafakari🤔kiti kimempwaya sana 🙏it's very sad😢
 
Magufuli alivuruga Uchumi upi wakati ndio rais aliyeingiza nchi uchumi wa kati mnajua huu unafiki wenu na uwongo mnaoufanya mitandaoni mnaharibu nchi wenyewe halafu mnamsingizia Magufuli sijui mnatumwa na walamba asali na majizi kila baya likifanyika mnasema kafanya Magufuli ila mazuri yake hamtaji mnayachukua na kujisifia nayo kama juzi ikulu ya dodoma
Uchumi wa kati unaujua wewe au unaropoka tuu?
 
Back
Top Bottom