Mrithi wa Samia ana kazi nzito kurudisha uchumi wa Tanzania kwenye Mstari

Mrithi wa Samia ana kazi nzito kurudisha uchumi wa Tanzania kwenye Mstari

Acha Umbea; mama anafungulia nchi na ameongeza pesa kwenye mzunguko.

Umesikia juzi kulikuwa na bajeti ya wizara fulani ambayo sehemu kubwa inategemea mikopo na misaada kutoka nje, lakini ndani yake kuna 40b za posho kwa ajili ya kuongeza kwenye mzunguko!!
Kusikia budget na kutekeleza budget ni vitu viwili tofauti. Muda ni mwalimu mzuri. Ushabiki pembeni, Mama anajitahidi sana kuvutia wawekezaji. Lazima tuwe na sheria za kuwalinda na kujilinda pia, ili wote tunufaike.
Ila mchwa wanakula hela za walipa kodi bila huruma. Hilo sio jambo la kuoneana haya wala kuficha. lazima wadhibitiwe
 
Katika Jambo linalotishia uhai wa taifa Letu ni kuelemwa na madeni huku pesa yetu ikikosa thamani kabisa, Hakuna juhudi zozote Za makusudi zinazofanywa na seriakli ya Samia kuokoa uchumi wa Taifa letu...

Ni masikitiko makubwa Kwamba Sasa watu wanchota mihela Kwa kadri wawezavyo nakukopa mikopo mikbwa mikubwa huku nchi ikiwa Hoi bin taabani . Mfumuko wa bei uliopo Nchini Siyo wa kitoto, wakati huo huo purchasing power ya hela yetu ikiwa Chini Sana,. Pia serikali ikizalisha mikodi ya kila Aina kukandamiza mwananchi wa kawaida...


Samia siyo Raisi wa Kwanza kuvuruga uchumi wa nchi yetu, wapo watangulizi wake waliowahi kufanya hivyo, Sina haja ya kuwataja Maana wanajulikana. Ila Kwa Bahati Nzuri maraisi waliokuwa wanafutia walikuwa wazalendo kiasi ambacho walirudisha uchumi Kwenye mstari.... .


Wasiwasi wangu je tutakuja kupata mtu mzalendo ambae atakuja kuweka uchumi wetu imara, Tuombe iwe hivo kama hatapatikana basi Taifa la Tanzania linaenda kuangamia kama mrithi wa Samia atakuwa na akili hizihizi Tunazoshuhudia Sasa.....


Tukae tukijua seriakli yoyote dhaifu huambatana na mambo yote ya hovyo hovyo, Kama migomo, Rushwa, matajiri kuiendesha serikali, manyanyaso kwa raia, hudumaa za jamii kuwa mbovu etc. etc..

My Advice
"When you're choosing a Top leader of the government, choose wisely." By me.
Hatotokea Rais wa kuvuruga uchumi wa nchi hii kama Magufuli.
Amekufa nchi ina upungufu mkubwa sana wa watumishi wa umma lkn mama anajitahidi kuajiri sasa hivi na ht kupandisha madaraja na mishahara.
Uanzishaji holela wa miradi mikubwa kuliko uwezo wetu vinatutesa sana
 
Katika Jambo linalotishia uhai wa taifa Letu ni kuelemwa na madeni huku pesa yetu ikikosa thamani kabisa, Hakuna juhudi zozote Za makusudi zinazofanywa na seriakli ya Samia kuokoa uchumi wa Taifa letu...

Ni masikitiko makubwa Kwamba Sasa watu wanchota mihela Kwa kadri wawezavyo nakukopa mikopo mikbwa mikubwa huku nchi ikiwa Hoi bin taabani . Mfumuko wa bei uliopo Nchini Siyo wa kitoto, wakati huo huo purchasing power ya hela yetu ikiwa Chini Sana,. Pia serikali ikizalisha mikodi ya kila Aina kukandamiza mwananchi wa kawaida...


Samia siyo Raisi wa Kwanza kuvuruga uchumi wa nchi yetu, wapo watangulizi wake waliowahi kufanya hivyo, Sina haja ya kuwataja Maana wanajulikana. Ila Kwa Bahati Nzuri maraisi waliokuwa wanafutia walikuwa wazalendo kiasi ambacho walirudisha uchumi Kwenye mstari.... .


Wasiwasi wangu je tutakuja kupata mtu mzalendo ambae atakuja kuweka uchumi wetu imara, Tuombe iwe hivo kama hatapatikana basi Taifa la Tanzania linaenda kuangamia kama mrithi wa Samia atakuwa na akili hizihizi Tunazoshuhudia Sasa.....


Tukae tukijua seriakli yoyote dhaifu huambatana na mambo yote ya hovyo hovyo, Kama migomo, Rushwa, matajiri kuiendesha serikali, manyanyaso kwa raia, hudumaa za jamii kuwa mbovu etc. etc..

My Advice
"When you're choosing a Top leader of the government, choose wisely." By me.
Nonsense man
Wewe ni mpuuzi kama sio jinga ,unaweza onesha Tanzania ilipoelemewa na Madeni?

Unajua maana ya uchumi kwanza? Alielemewa na Madeni Huwa anakopesheka?
 
Kusikia budget na kutekeleza budget ni vitu viwili tofauti. Muda ni mwalimu mzuri. Ushabiki pembeni, Mama anajitahidi sana kuvutia wawekezaji. Lazima tuwe na sheria za kuwalinda na kujilinda pia, ili wote tunufaike.
Ila mchwa wanakula hela za walipa kodi bila huruma. Hilo sio jambo la kuoneana haya wala kuficha. lazima wadhibitiwe
Rais Samia ndio Rais anaefanya vizuri kwenye Uchumi kuliko Marais wote niliowahi kuwashuhudia ,wa pili ni Mkapa
 
Watu mmekaa ofisini mnaongelea uchumi
Uchumi gani wakati amfanyi biashara
Njoo kwenye biashara baada ya miezi 6 utajilaumu ulichoandika

Mwacheni Samia afanye kazi
Wewe kwako ikiwa mbaya sio lazima ni mbaya Kwa wote..

Huwezi hata kujiuliza maswali madogo jinsi Kuna Kasi ya watu kununua magari huko mitaani?

Kasi ya kukua Kwa mikopo.kwa hivi kwako inamaanisha nini?
 
Rais Samia ndio Rais anaefanya vizuri kwenye Uchumi kuliko Marais wote niliowahi kuwashuhudia ,wa pili ni Mkapa

Hizi propaganda hata Russia zimejaa kibao 😂 😂 😂 😂 😂
Tuongee uhalisia sio hadithi hadithi...unajua Escrow ilitengenezwaje? Na hizi mambo kama hizi😂😂😂😂😂
 
Hizi propaganda hata Russia zimejaa kibao 😂 😂 😂 😂 😂
Tuongee uhalisia sio hadithi hadithi...unajua Escrow ilitengenezwaje? Na hizi mambo kama hizi😂😂😂😂😂
Kama ni propaganda basi endelea kulalamika utaona moto
 
Kwa sasa Taifa lina hitaji Kiongozi, wewe ni mfanya biashara, una kwenda Bank kulipia mzigo, unaambiwa USD hakuna, jaza form za malipo ya nje, ziache hapa tutakupigia simu tukijadiliana na Branch manager tuone kama itawezekana, hivi kweli tutafanya biashara kwa mtindo huu? , online transactions zote zime kuwa affected, hata kama una transact 500$ haiwezekani, hairuhusiwi hadi uende Bank, ujaze form na uache wakijadili, au urudi kesho yake uulize vipi ombi langu lime kubaliwa? , Mama Samia Raisi wenu ni bure kabisa, yaani yupo yupo tu hajui ni afanye, biashara imekuwa ya hovyo sana.

Tz shillings thamani ina shuka kwa kasi ambayo toka tupate uhuru haijawahi shuhudia, binafsi nilijua Mama yenyu hakuna kitu , lilikuwa suala la muda tu, kibaya zaidi yuko busy kutaka kuwa Rais 2025, hii nchi pengine wananchi kuna utindiwa wa ubongo sio kawaida hii.
Unajua sababu za Dola Kupungua? Kwanza wewe unauliza swali ni mfanyabishara au ni wale wa kusimuliwa?
 
Hili suala la kumsifia mama anupiga mwingi wakati uchumi unazidi kudorora ni upuuzi mkubwa na bahati mbaya hakuna jitihada zozote serikali inafanya kuchukua hatua juu ya hilo. Bidhaa kupanda bei, tozo na kodi kandamizi kwa wafanyabiashara, ukosefu wa ajira na jinamizi la pensheni pamoja na bima ya afya ni changamoto ambazo hazipaswi kukaliwa kimya. Nadhani ni suala la muda tu wananchi watachoka na kuamua liwalo na liwe.
Uchumi unadorora unaweza kuleta Ajira? Mapumbavu mko wengi sana
 
Wewe hauna akili wewe. Hayo madeni alikopa wapi na wapi?! Mikopo aliyokopa magufuri inajulikana na ilikuwa ni mikataba ya kibiashara sio hii mikataba ya kupeana kidogo mkono wa kulia halafu unanyang'anywa kwa wingi mkono wa kushoto.

Za kuambiwa changanya na zako. Leta mikopo aliyokopa magufuri hapa weka na total amount halafu nikupe mikopo ya huyu mama hapa uone kwenye deni la taifa nini kimetokea.
Wewe ni mpumbavu hakuna unachojua ..

Uchumi unadorora 🤣🤣🤣
 
Katiba ni muhimu ili kuwadhibiti hawa marais goigoi.inatakiwa katiba itambue hawa marais wa kurithi waongoze mwaka mmoja tu na kuitisha uchaguzi ili kama atakuwa anamatumaini watamchagua na kama ni wa hovyo kama huyu wananchi hawatamchagua.kila sehemu nchi imeoza lakini wapuuzi wachache wanamsifu ili waendelee kuiba pesa za umma.
2025 Kuna uchaguzi hii ndege ni Hadi 2030 ,jipange Kisaikolojia bwana jasiri unaeendeshwa na goi gio 😁😁
 
Tuondolee uongo wako hapa. Benki ya Dunia pamoja na shirika la Fedha la kimataifa wote kwa pamoja wameipongeza Tanzania kwa kufanya vizuri katika uchumi,Wameonyesha hayo kwa Takwimu za ukuaji wetu wa uchumi pamoja na kuutabiria makubwa uchumi wetu. Sasa wewe Ni Nani Hadi upingi ripoti za kiutafiti kutoka Taasisi zinazoheshimika Duniani kwote? Kwanini usiweke nawewe ushahidi wako wa kitafiti kuliko kukurupuka na kuropoka Kama ulivyo fanya hapa?

Suala la Deni la Taofa. Katika hili pia Kama nchi na Taifa tupo katika Hali nzuri,kwa kuwa Deni letu Ni himilivu na bado tunao uwezo wa kukopa na kulipa bila shida. Lakini pia kukopa siyo shida maana Cha muhimu unapokopa uangalie na kuzingatia malengo ya mkopo,mahali unapowekeza,faida za mradi unapowekeza mkopo wako,masharti ya mkopo,riba ya mkopo husika, muda wa kufanya marejesho ya mkopo.

Serikali yetu ya mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania mama Samia suluhu Hassani imekuwa ikichukua na kupokea mikopo yenye masharti nafuu na ya muda mrefu na kuwekeza katika miradi yenye tija kwa Taifa letu.

Suala la mfumuko wa Bei .Hapa naona pia umejiandikia tu bila utafiti Bali kwa kuongozwa na mihemuko ,chuki binafsi na njaa yako kichwani, kwa kuwa kwa Sasa hatuna mfumuko wa Bei katika nchi yetu na pale ulipojitokeza serikali yetu ilikabiliana nao vyema,mfano wakati pembejeo za kilimo hasa mbolea zilipopanda Bei serikali ya Rais Samia ilitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni, mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu. Lakini pia serikali ya Rais Samia ilikuwa inatoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi katika mafuta na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mafuta maeneo mbalimbali nchini na hivyo kuleta ahueni katika maisha ya watanzania,hasa kwa kuzingatia kuwa mafuta Ni injini ya uchumi wetu.

Watanzania wan Imani na mh Rais wetu mama Samia na serikali yake na ndio maana wamekuwa na wanaendelea kuiunga mkono kwa nguvu zao zote.
Ukiona unapongezwa na ma beberu, inabdi ujitafakari...
 
Katika Jambo linalotishia uhai wa taifa Letu ni kuelemwa na madeni huku pesa yetu ikikosa thamani kabisa, Hakuna juhudi zozote Za makusudi zinazofanywa na seriakli ya Samia kuokoa uchumi wa Taifa letu...

Ni masikitiko makubwa Kwamba Sasa watu wanchota mihela Kwa kadri wawezavyo nakukopa mikopo mikbwa mikubwa huku nchi ikiwa Hoi bin taabani . Mfumuko wa bei uliopo Nchini Siyo wa kitoto, wakati huo huo purchasing power ya hela yetu ikiwa Chini Sana,. Pia serikali ikizalisha mikodi ya kila Aina kukandamiza mwananchi wa kawaida...


Samia siyo Raisi wa Kwanza kuvuruga uchumi wa nchi yetu, wapo watangulizi wake waliowahi kufanya hivyo, Sina haja ya kuwataja Maana wanajulikana. Ila Kwa Bahati Nzuri maraisi waliokuwa wanafutia walikuwa wazalendo kiasi ambacho walirudisha uchumi Kwenye mstari.... .


Wasiwasi wangu je tutakuja kupata mtu mzalendo ambae atakuja kuweka uchumi wetu imara, Tuombe iwe hivo kama hatapatikana basi Taifa la Tanzania linaenda kuangamia kama mrithi wa Samia atakuwa na akili hizihizi Tunazoshuhudia Sasa.....


Tukae tukijua seriakli yoyote dhaifu huambatana na mambo yote ya hovyo hovyo, Kama migomo, Rushwa, matajiri kuiendesha serikali, manyanyaso kwa raia, hudumaa za jamii kuwa mbovu etc. etc..

My Advice
"When you're choosing a Top leader of the government, choose wisely." By me.
mrithi wa mamako atakuwa na kibarua cha aina gani. we nyang'au ututolee huo upupu wako, rais wetu anafanya vizuri sana tena kwa mbali kuliko yule shetwani wenu. Wivu tu unawasumbua, mlitaka aharibu mpate la kusema sasa mnazusha tu nyie mapoyoyo, mshindwe na mlegee.
 
Tuondolee uongo wako hapa. Benki ya Dunia pamoja na shirika la Fedha la kimataifa wote kwa pamoja wameipongeza Tanzania kwa kufanya vizuri katika uchumi,Wameonyesha hayo kwa Takwimu za ukuaji wetu wa uchumi pamoja na kuutabiria makubwa uchumi wetu. Sasa wewe Ni Nani Hadi upingi ripoti za kiutafiti kutoka Taasisi zinazoheshimika Duniani kwote? Kwanini usiweke nawewe ushahidi wako wa kitafiti kuliko kukurupuka na kuropoka Kama ulivyo fanya hapa?

Suala la Deni la Taofa. Katika hili pia Kama nchi na Taifa tupo katika Hali nzuri,kwa kuwa Deni letu Ni himilivu na bado tunao uwezo wa kukopa na kulipa bila shida. Lakini pia kukopa siyo shida maana Cha muhimu unapokopa uangalie na kuzingatia malengo ya mkopo,mahali unapowekeza,faida za mradi unapowekeza mkopo wako,masharti ya mkopo,riba ya mkopo husika, muda wa kufanya marejesho ya mkopo.

Serikali yetu ya mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania mama Samia suluhu Hassani imekuwa ikichukua na kupokea mikopo yenye masharti nafuu na ya muda mrefu na kuwekeza katika miradi yenye tija kwa Taifa letu.

Suala la mfumuko wa Bei .Hapa naona pia umejiandikia tu bila utafiti Bali kwa kuongozwa na mihemuko ,chuki binafsi na njaa yako kichwani, kwa kuwa kwa Sasa hatuna mfumuko wa Bei katika nchi yetu na pale ulipojitokeza serikali yetu ilikabiliana nao vyema,mfano wakati pembejeo za kilimo hasa mbolea zilipopanda Bei serikali ya Rais Samia ilitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni, mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu. Lakini pia serikali ya Rais Samia ilikuwa inatoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi katika mafuta na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mafuta maeneo mbalimbali nchini na hivyo kuleta ahueni katika maisha ya watanzania,hasa kwa kuzingatia kuwa mafuta Ni injini ya uchumi wetu.

Watanzania wan Imani na mh Rais wetu mama Samia na serikali yake na ndio maana wamekuwa na wanaendelea kuiunga mkono kwa nguvu zao zote.
Mambo yetu sisi tusubiri WB kutuambia tuko vizuri ama vibaya?

Wewe unauonaje uchumi wa maza!
 
Back
Top Bottom