Msaada: Ananisugua kiganja nyakati za usiku nikiwa nimelala

Wewe unaamshwa ufanye kazi yako, huelewi.
 
Anahangaika na Nyota huyo ila sijui kusudi lake, muhimu angalia je akishakusugua ukienda kusaka pesa unazipata, ukioa mjanja halafu wewe mwanaume ukawa fala ni shida sana pole.

Au kama sio mwanga basi hio ni mbinu ya kukuamsha ili upige shoo mwanamke wa kiyao anapenda kumshibisha mwanaume shoo kali na yeye apate shoo la kibabe la kivietnam
 

Mithali 3:16​

Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kulia, Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.​

Imeisha hio sasa kama kuna wanga wanamnyemelea na kama mke husugua kulia basi ana malaika ndani lakini ikiwa ni kushoto imeisha hio
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kibo
 
Inaonekana huo mkono unaingilia majukumu ya mtu hapo ndani.

Mambo ya Gizani hayawezi kufanyika kwenye Mwanga.
 
siku hizi ukitaka kuoa uwe makini vijana wengi miaka hii wanaoa vigagula...
 
Anapata raha fulani wala hakuna baya hapo! Tena shukuru yeye anasugua kiganja/kiwiko.. Wengine wana tabia mbaya hamu zao huwatuma kusugua kwenye zakari [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa si umuulize mwenyewe aisee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…