Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

Ukweli ni kwamba baba yako anayo haki ya kutokukupa chochote. Sheria inampa jukumu mzazi la kumuhudumia mtoto. Na mtoto anayetambulika na sheria ya mtoto ni mtu mwenye umri chini ya miaka 18. Ukishavuka umri wa mtoto basi sheria na tamaduni zetu zinakutaka wewe umuhudumie mzazi wako ikiwa ni pamoja na kumlinda. Hivyo basi, ndugu Kihoozi, hakikisha hizi fedha baba yako anazitumia bila kuingiliwa na mtu yeyote.
 
Ni mali ya baba yangu ila mimi ni mtoto wa wake kabisa kabisa wa kumzaa
Sheria inasemaje?.Ukishafikia miaka 18, inatakiwa ujitegemee, Mzee wako alishakuzaa,akakulea hadi umekuwa mtu mzima; Hiyo nyumba alitafuta baba yako,na wewe Tafuta ya kwako uiuze kwa bei nzuri.Kuhusu kukugawia pesa ni matakwa yake kukupa au kukunyima, maana wewe ni mtu mzima tayari.Wewe sio Mwanafunzi Kwamba unasoma.Mwache Mzee ale Pesa yake bila presha.
 
Skia embu niambie kwanza unashabikia timu gani, mwanachama wa chama gani. Kama ni Simba alafu chama lako ni ccm naomba uanze safari kuelekea Dodoma{Mirembe} sasahivi
Acha ujinga wewe,Sasa Simba inaingiaje hapa??.
 
Wewe jamaa! Utakuwa hazikutoshi. Hya nakushauri nenda ukamshtaki,takupa japo milioni 50
 
Tulishalijadili sana suala hili humu hadi tukapata suluhisho.

Nyumba ni yake hajasaidiana na mtu kujenga.

Kilio hiki kilistahili kitoke kwa mkewe(mamako mzazi).

Vinginevyo kukupatia wewe pesa za mgao ni hisani na wala siyo sheria.

Chacharika utafute pesa umtunze yeye babako, usitafute kisingizio cha kuanza kukwepa majukumu!
 
Habari zenu ndugu zangu, naombeni ushauri wenu kwenye ili naamini uku jukwaani kuna wenye ushauri bora zaidi na wenye experince na mambo mbalimbali, mimi ni kijana wa umri wa miaka 41, kwetu tumezaliwa 4 ila kwa sasa tumebaki 3 baada ya mmoja bahati mbaya kufariki miaka 6 iliyo pita, mimi ni mtoto wa tatu kwenye familia.

Baba yangu alijenga DAR ES SALAAM miaka mingi iliyo pita, sasa mwezi uliopita 12/2021 alikuja na mtazamo wake na kutueleza sisi watoto wake kuwa anataka kuuza nyumba yake hii na aende akaamie kijijini na kuchagua maisha yake yote ataishi uko.

Upande wangu nilipokea ombi lake ilo kwa furaha sana maana niliona kabisa kuwa baba akiuza ntapata pesa na mimi ya kuanzia maisha, baada ya kusema ivyo nikaingia kwenye miangaiko ya kutafuta mteja na dalali ambaye atasaidia iyo nyumba iuzwe haraka, mungu si Athumani ndani ya week mbili tu akatokea mteja akiwa anaitaka iyo nyumba kwa sh milion 245 (maana nyumba ipo eneo zuri sana).

Dalali alimleta yule mteja na kuikagua nyumba nzima na eneo na uyo mteja aliahidi kuja kufanya malipo baada ya siku 3, uwezi amini nilifurahi sana sana nilikuwa na bajeti yangu ya laki 2 na elfu 70 kwa furaha nzima iyo ela niliitumia kwa kufurahia maana nilijua kabisa nimesha kula maisha. Baada ya siku 3 kweli yule mnunuzi alikuja na kufanya malipo na kukamilisha kila kitu,

Ndugu zangu nashindwa ata kuandika vizuri, baba baada ya kupokea pesa ataki ata kunishirikisha kwa chochote, hajanipa ata sent kumi yake kwenye iyo ela, baada ya siku mbili kupita mzee akiwa kimya ikabidi nimuambie baba vipi kuhusu ela ya mauzo ya nyumba unioni mwanao na mimi nikaangalie maisha yangu mbele ya safari, baba amenijibu tu kwa wepesi kabisa eti "SAWA NENDA KAANGALIE MAISHA TU, NAKUTAKIA KILA LENYE HERI" nikamuambia baba naendaje kuangalia maisha wakati ujanipa chochote, akaniambia kwani nadai nini kwake, kwa kweli ni kauli zilizo nivunja sana moyo na kunikatisha kabisa tamaa ya kuishi.

Noambeni ushauri wenu ili fate atua za kisheria mzee aweze kunipa na mimi upande wa maali kama mtoto wake wa kumzaa, maana nina week sasaivi sina furaha kabisa na aya maisha, naombeni sana ushauri wa haraka, maana baba siwezi kumtazama ata usoni ananipa sana hasira.

Matumaini yangu nitapata ushauri mzuri na wakufanya nipate aki yangu.
Muombe na m'bembeleze babako akukatie, kwa umri wako wa miaka 41 huna haki yoyote maana ameamua kuuza mali yake. Kama ungekuwa na umri wa chini ya miaka 18 ungeweza kwenda kwenye vyombo vya kisheria maana ni umri tegemezi.

Vv
 
nyumba ni yetu, maana nimezaliwa hapo hapo
Wakati umekua na umemaliza shule kama ulisoma, ulisaidia nini kwenye ukarabati wanyumba au je uliweza kutanua na kuongeza chumba chako?

Je baba yako kakupa elimu? Kama umesoma huo ndo urithi wako. Kama hujasoma jiunge veta upate ujuzi. We huna haki mama yako ndo ana haki ya kuuliza chochote soyo wewe.
 
Sawa lakini mzeya anazingua awape hao watoto watatu 45milon wakafue mbele yeye na ,ile 200 akatulie shamba anapotaka

41 years mkuu na bado unamtetea. Tena mtoto wa 3. je huyo baba atakuwa na umri gani. Mbaya zaidi Kasema alikuwa na hela kaenda burudikia. Do you see any responsible adult kwenye haya maelezo.
 
Habari zenu ndugu zangu, naombeni ushauri wenu kwenye ili naamini uku jukwaani kuna wenye ushauri bora zaidi na wenye experince na mambo mbalimbali, mimi ni kijana wa umri wa miaka 41, kwetu tumezaliwa 4 ila kwa sasa tumebaki 3 baada ya mmoja bahati mbaya kufariki miaka 6 iliyo pita, mimi ni mtoto wa tatu kwenye familia.

Baba yangu alijenga DAR ES SALAAM miaka mingi iliyo pita, sasa mwezi uliopita 12/2021 alikuja na mtazamo wake na kutueleza sisi watoto wake kuwa anataka kuuza nyumba yake hii na aende akaamie kijijini na kuchagua maisha yake yote ataishi uko.

Upande wangu nilipokea ombi lake ilo kwa furaha sana maana niliona kabisa kuwa baba akiuza ntapata pesa na mimi ya kuanzia maisha, baada ya kusema ivyo nikaingia kwenye miangaiko ya kutafuta mteja na dalali ambaye atasaidia iyo nyumba iuzwe haraka, mungu si Athumani ndani ya week mbili tu akatokea mteja akiwa anaitaka iyo nyumba kwa sh milion 245 (maana nyumba ipo eneo zuri sana).

Dalali alimleta yule mteja na kuikagua nyumba nzima na eneo na uyo mteja aliahidi kuja kufanya malipo baada ya siku 3, uwezi amini nilifurahi sana sana nilikuwa na bajeti yangu ya laki 2 na elfu 70 kwa furaha nzima iyo ela niliitumia kwa kufurahia maana nilijua kabisa nimesha kula maisha. Baada ya siku 3 kweli yule mnunuzi alikuja na kufanya malipo na kukamilisha kila kitu,

Ndugu zangu nashindwa ata kuandika vizuri, baba baada ya kupokea pesa ataki ata kunishirikisha kwa chochote, hajanipa ata sent kumi yake kwenye iyo ela, baada ya siku mbili kupita mzee akiwa kimya ikabidi nimuambie baba vipi kuhusu ela ya mauzo ya nyumba unioni mwanao na mimi nikaangalie maisha yangu mbele ya safari, baba amenijibu tu kwa wepesi kabisa eti "SAWA NENDA KAANGALIE MAISHA TU, NAKUTAKIA KILA LENYE HERI" nikamuambia baba naendaje kuangalia maisha wakati ujanipa chochote, akaniambia kwani nadai nini kwake, kwa kweli ni kauli zilizo nivunja sana moyo na kunikatisha kabisa tamaa ya kuishi.

Noambeni ushauri wenu ili fate atua za kisheria mzee aweze kunipa na mimi upande wa maali kama mtoto wake wa kumzaa, maana nina week sasaivi sina furaha kabisa na aya maisha, naombeni sana ushauri wa haraka, maana baba siwezi kumtazama ata usoni ananipa sana hasira.

Matumaini yangu nitapata ushauri mzuri na wakufanya nipate aki yangu.
Mteke tu huyo Mzee akupe chako q Mungu atakusamehe
 
Hii dunia ina mataahira wengi sana na hawatakaa waishe
Yaan babako kauza nyumba yake wewe unataka mgao? Ni ya kwako? Ulimsaidia kujenga?
Acha upumbavu urithi pekee mtoto anapaswa kupata kwa mzazi ni elimu tu mengine unajitafutia mwenyewe
Je asingekuwa na hiyo nyumba? Acha utaahira mbwa wewe
 
Habari zenu ndugu zangu, naombeni ushauri wenu kwenye ili naamini uku jukwaani kuna wenye ushauri bora zaidi na wenye experince na mambo mbalimbali, mimi ni kijana wa umri wa miaka 41, kwetu tumezaliwa 4 ila kwa sasa tumebaki 3 baada ya mmoja bahati mbaya kufariki miaka 6 iliyo pita, mimi ni mtoto wa tatu kwenye familia.

Baba yangu alijenga DAR ES SALAAM miaka mingi iliyo pita, sasa mwezi uliopita 12/2021 alikuja na mtazamo wake na kutueleza sisi watoto wake kuwa anataka kuuza nyumba yake hii na aende akaamie kijijini na kuchagua maisha yake yote ataishi uko.

Upande wangu nilipokea ombi lake ilo kwa furaha sana maana niliona kabisa kuwa baba akiuza ntapata pesa na mimi ya kuanzia maisha, baada ya kusema ivyo nikaingia kwenye miangaiko ya kutafuta mteja na dalali ambaye atasaidia iyo nyumba iuzwe haraka, mungu si Athumani ndani ya week mbili tu akatokea mteja akiwa anaitaka iyo nyumba kwa sh milion 245 (maana nyumba ipo eneo zuri sana).

Dalali alimleta yule mteja na kuikagua nyumba nzima na eneo na uyo mteja aliahidi kuja kufanya malipo baada ya siku 3, uwezi amini nilifurahi sana sana nilikuwa na bajeti yangu ya laki 2 na elfu 70 kwa furaha nzima iyo ela niliitumia kwa kufurahia maana nilijua kabisa nimesha kula maisha. Baada ya siku 3 kweli yule mnunuzi alikuja na kufanya malipo na kukamilisha kila kitu,

Ndugu zangu nashindwa ata kuandika vizuri, baba baada ya kupokea pesa ataki ata kunishirikisha kwa chochote, hajanipa ata sent kumi yake kwenye iyo ela, baada ya siku mbili kupita mzee akiwa kimya ikabidi nimuambie baba vipi kuhusu ela ya mauzo ya nyumba unioni mwanao na mimi nikaangalie maisha yangu mbele ya safari, baba amenijibu tu kwa wepesi kabisa eti "SAWA NENDA KAANGALIE MAISHA TU, NAKUTAKIA KILA LENYE HERI" nikamuambia baba naendaje kuangalia maisha wakati ujanipa chochote, akaniambia kwani nadai nini kwake, kwa kweli ni kauli zilizo nivunja sana moyo na kunikatisha kabisa tamaa ya kuishi.

Noambeni ushauri wenu ili fate atua za kisheria mzee aweze kunipa na mimi upande wa maali kama mtoto wake wa kumzaa, maana nina week sasaivi sina furaha kabisa na aya maisha, naombeni sana ushauri wa haraka, maana baba siwezi kumtazama ata usoni ananipa sana hasira.

Matumaini yangu nitapata ushauri mzuri na wakufanya nipate aki yangu.
Ujinga wako ungekuwa hata 80% ishirin zilizobaki zingekusaidia ukaona hata aibu kuleta hapa huo ujinga wako, miaka 40 unalilia kwa baba ni ujinga wa 100%, baba alikupa jibu sahih kabisa kukutakia kila lakheri safar yako ya maisha ila kwa kuwa hamnazo kichwan ndo sabb hukumwelewa. Hiyo nyumba babaako ulimsaidia kujenga? Au je hata yeye kwan alisaidiw chochote hata kidogo na wazaz wake ndipo akajenga hiyo nyumba? Matahira km wew hii nchi ndo ikitokea kupewa uongozi ndo km akina ndugai anashindwa kuidhibiti serikal akiwa bungeni badala yake anenda kuongea mitaan eti serikal imezid kukopa hali ya kuwa ye ndo kiongozi wa kudhibit serikali ktk matumiz na mapato, juha wew
 
Back
Top Bottom