Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

Habari zenu ndugu zangu, naombeni ushauri wenu kwenye ili naamini uku jukwaani kuna wenye ushauri bora zaidi na wenye experince na mambo mbalimbali, mimi ni kijana wa umri wa miaka 41, kwetu tumezaliwa 4 ila kwa sasa tumebaki 3 baada ya mmoja bahati mbaya kufariki miaka 6 iliyo pita, mimi ni mtoto wa tatu kwenye familia.

Baba yangu alijenga DAR ES SALAAM miaka mingi iliyo pita, sasa mwezi uliopita 12/2021 alikuja na mtazamo wake na kutueleza sisi watoto wake kuwa anataka kuuza nyumba yake hii na aende akaamie kijijini na kuchagua maisha yake yote ataishi uko.

Upande wangu nilipokea ombi lake ilo kwa furaha sana maana niliona kabisa kuwa baba akiuza ntapata pesa na mimi ya kuanzia maisha, baada ya kusema ivyo nikaingia kwenye miangaiko ya kutafuta mteja na dalali ambaye atasaidia iyo nyumba iuzwe haraka, mungu si Athumani ndani ya week mbili tu akatokea mteja akiwa anaitaka iyo nyumba kwa sh milion 245 (maana nyumba ipo eneo zuri sana).

Dalali alimleta yule mteja na kuikagua nyumba nzima na eneo na uyo mteja aliahidi kuja kufanya malipo baada ya siku 3, uwezi amini nilifurahi sana sana nilikuwa na bajeti yangu ya laki 2 na elfu 70 kwa furaha nzima iyo ela niliitumia kwa kufurahia maana nilijua kabisa nimesha kula maisha. Baada ya siku 3 kweli yule mnunuzi alikuja na kufanya malipo na kukamilisha kila kitu,

Ndugu zangu nashindwa ata kuandika vizuri, baba baada ya kupokea pesa ataki ata kunishirikisha kwa chochote, hajanipa ata sent kumi yake kwenye iyo ela, baada ya siku mbili kupita mzee akiwa kimya ikabidi nimuambie baba vipi kuhusu ela ya mauzo ya nyumba unioni mwanao na mimi nikaangalie maisha yangu mbele ya safari, baba amenijibu tu kwa wepesi kabisa eti "SAWA NENDA KAANGALIE MAISHA TU, NAKUTAKIA KILA LENYE HERI" nikamuambia baba naendaje kuangalia maisha wakati ujanipa chochote, akaniambia kwani nadai nini kwake, kwa kweli ni kauli zilizo nivunja sana moyo na kunikatisha kabisa tamaa ya kuishi.

Noambeni ushauri wenu ili fate atua za kisheria mzee aweze kunipa na mimi upande wa maali kama mtoto wake wa kumzaa, maana nina week sasaivi sina furaha kabisa na aya maisha, naombeni sana ushauri wa haraka, maana baba siwezi kumtazama ata usoni ananipa sana hasira.

Matumaini yangu nitapata ushauri mzuri na wakufanya nipate aki yangu.
Una umri gani? Kama mzee wako amekusomesha na kukujengea misingi mizuri na umefika umri wa kujitegemea ni aibu kudai hela ya mauzo ya nyumba ambayo sio yako

Sio vibaya mzee kukupatia sehemu ya pesa lakini sio lazima pia, ni maamuzi yake na huna cha kumfanya

Pambana utafute vya kwako achana na visivyokuhusu
 
Hivi kumbe watu msio na akili mko wengi hivi. Kama alikupa ahadi ya hela ya udalali sawa. Lakini huwezi kudai pesa ya baba kwa kuuza mali yake. Wewe utakachokuja kudai ni urithi tu mzee akifa lakini sio akiwa hai
 
Hivi kumbe watu msio na akili mko wengi hivi. Kama alikupa ahadi ya hela ya udalali sawa. Lakini huwezi kudai pesa ya baba kwa kuuza mali yake. Wewe utakachokuja kudai ni urithi tu mzee akifa lakini sio akiwa hai
Kwa mantiki hiyo Jamaa anaona mzee hafi upesi, na kwa hiyo anataka amuwahishe mzee(Amuue) ili apate huo uhalali wa kudai urithi.
Very lunatic guy.
 
tafuta vyako mkuu,hata ss wenginehatukukuta chochote kwa wezee wetu ,tumekomaa wenyewe Hadi tukapata !!, Usideke ,tafuta maisha .miaka 41 bado unamda pambana upate mji wako na maisha yako!!
 
Habari zenu ndugu zangu, naombeni ushauri wenu kwenye ili naamini uku jukwaani kuna wenye ushauri bora zaidi na wenye experince na mambo mbalimbali, mimi ni kijana wa umri wa miaka 41, kwetu tumezaliwa 4 ila kwa sasa tumebaki 3 baada ya mmoja bahati mbaya kufariki miaka 6 iliyo pita, mimi ni mtoto wa tatu kwenye familia.

Baba yangu alijenga DAR ES SALAAM miaka mingi iliyo pita, sasa mwezi uliopita 12/2021 alikuja na mtazamo wake na kutueleza sisi watoto wake kuwa anataka kuuza nyumba yake hii na aende akaamie kijijini na kuchagua maisha yake yote ataishi uko.

Upande wangu nilipokea ombi lake ilo kwa furaha sana maana niliona kabisa kuwa baba akiuza ntapata pesa na mimi ya kuanzia maisha, baada ya kusema ivyo nikaingia kwenye miangaiko ya kutafuta mteja na dalali ambaye atasaidia iyo nyumba iuzwe haraka, mungu si Athumani ndani ya week mbili tu akatokea mteja akiwa anaitaka iyo nyumba kwa sh milion 245 (maana nyumba ipo eneo zuri sana).

Dalali alimleta yule mteja na kuikagua nyumba nzima na eneo na uyo mteja aliahidi kuja kufanya malipo baada ya siku 3, uwezi amini nilifurahi sana sana nilikuwa na bajeti yangu ya laki 2 na elfu 70 kwa furaha nzima iyo ela niliitumia kwa kufurahia maana nilijua kabisa nimesha kula maisha. Baada ya siku 3 kweli yule mnunuzi alikuja na kufanya malipo na kukamilisha kila kitu,

Ndugu zangu nashindwa ata kuandika vizuri, baba baada ya kupokea pesa ataki ata kunishirikisha kwa chochote, hajanipa ata sent kumi yake kwenye iyo ela, baada ya siku mbili kupita mzee akiwa kimya ikabidi nimuambie baba vipi kuhusu ela ya mauzo ya nyumba unioni mwanao na mimi nikaangalie maisha yangu mbele ya safari, baba amenijibu tu kwa wepesi kabisa eti "SAWA NENDA KAANGALIE MAISHA TU, NAKUTAKIA KILA LENYE HERI" nikamuambia baba naendaje kuangalia maisha wakati ujanipa chochote, akaniambia kwani nadai nini kwake, kwa kweli ni kauli zilizo nivunja sana moyo na kunikatisha kabisa tamaa ya kuishi.

Noambeni ushauri wenu ili fate atua za kisheria mzee aweze kunipa na mimi upande wa maali kama mtoto wake wa kumzaa, maana nina week sasaivi sina furaha kabisa na aya maisha, naombeni sana ushauri wa haraka, maana baba siwezi kumtazama ata usoni ananipa sana hasira.

Matumaini yangu nitapata ushauri mzuri na wakufanya nipate aki yangu.
Jenga ya kwako uza halafu nawe usimpe hata senti tano huyo baako, miaka 41 ni kijana? acha upumbaf.
 
Inauma sana kukuta mzee karudi kijijini, ela anatumia kwa pombe kuwanunulia wezake
 
Angekuuza wewe halafu asikupe hata ya fegi....baba yako angekuwa katili sana
 
Hapo huna si lazima mzee akupe ela, ni mali yake alitafuta kwa jasho lake ,

Labda nikupe tu ushauri tafuta mwanamke mzuri kabisa , anza kumpanga na amfuate mzee wako najua mzee anaweza kushawishika maana sisi wanaume kwa wanawake hatuna ujanja, tumia hiyo nafasi labda ukapata chochote[emoji3][emoji3]
 
Uendako hupajui. Vipi akakupiga kipapai au Ulemavu mwingine utakaokufanya usiweze kumdhuru lakini hajakuua.
Kwani fedha anayohitaji lazima itoke kwa Baba yake? Je, msaada ni lazima uwe wa ki-fedha tu? Mbona kaja hapa jamvini kuomba msaada(sio fedha)?
Ni kweli hana Tamaa ya mali bali ana tamaa iliyokithiri ya fedha. Tamaa yake ya Fedha imemtia wehu kiasi cha kuitaka roho ya baba yake! By the way; hebu tujiulize ni nani aliye nyuma ya hoja yake? Huo msukumo anaupata wapi au kwa nani?.Isijekuwa huyo katangulizwa mbele tu lakini "Maelekezo yanatoka Juu".
Ndio pesa lazima itoke kwa ndugu....mchuma janga ulanna wa kwao bwana huwezi kuanza kuomba msaada kwa watu baki unaanza kwanza kwa ndugu. Marafiki ni wakula nao bata but never depend on them when shit hits the fan.

Baba mzazi tena ampigi kipapai mtoto wake huyo ndio anadhihitisha kabisa hafai kuwa mzazi.

Na huyu jamaa kwanza hakusema anataka kumuua mzazi wake yeye aliomba ushauri mie ndio nikatia huo ushauri.

Kwa wakati huu msaada unaohitajika ni wakkfedha ndio maana jamaa anashangaa kwa nini mzee ana mamillion ya pesa alafu anashindwa kumsaidi mwanetu
 
Tafuta vyake kwani babako alipewa nn na babake mpaka kununua hicho kiwanja na kujenga nyumba?
Mmezidi kuwa tegemezi vijana wa dar
 
Ndio pesa lazima itoke kwa ndugu....mchuma janga ulanna wa kwao bwana huwezi kuanza kuomba msaada kwa watu baki unaanza kwanza kwa ndugu. Marafiki ni wakula nao bata but never depend on them when shit hits the fan.

Baba mzazi tena ampigi kipapai mtoto wake huyo ndio anadhihitisha kabisa hafai kuwa mzazi.

Na huyu jamaa kwanza hakusema anataka kumuua mzazi wake yeye aliomba ushauri mie ndio nikatia huo ushauri.

Kwa wakati huu msaada unaohitajika ni wakkfedha ndio maana jamaa anashangaa kwa nini mzee ana mamillion ya pesa alafu anashindwa kumsaidi mwanetu
Msaada wa kifedha ili aufanyie nini? Alisema aliandaa ka-bajeti. Lakini hakusema bajeti ya Mradi/Shughuli gani. Watu aina hii ni hatari kwani akipata fedha cha kwanza ataenda kula bata na marafiki zake. Kosa la baba yake hapo ni kwamba alichelea kumtimua hapo nyumbani hadi amekuwa jibaba zima la 41 yrs.(Kijana wa zamani). Huyo mtu mzima by definition huyo ni kishoiya kabisa. Yaani Hata kazi ya kuchunga mbuzi inamshinda? Eti anataka baba yake ampe fedha kwa kazi ya kushinda hapo nyumbani miaka 41.!!!! Labda wewe Mshauri aje huku Umasaini kuna kazi tele za kuchota maji(dumu 1 (20ltrs)= 500/=) kufyatua tofali za udongo (ikiwa mbichi 1= 30/=) Kuchunga mbuzi mwezi 1 =50,000/= (unalala na kula hapo-hapo kwa tajiri) Kilimo (Kupalilia mashamba) ni kwa maelewano, Ulinzi wa nyumba (kwa maelewano na mwenye nyumba) n.k. Amwache baba yake amalizie salio lake.
 
Msaada wa kifedha ili aufanyie nini? Alisema aliandaa ka-bajeti. Lakini hakusema bajeti ya Mradi/Shughuli gani. Watu aina hii ni hatari kwani akipata fedha cha kwanza ataenda kula bata na marafiki zake. Kosa la baba yake hapo ni kwamba alichelea kumtimua hapo nyumbani hadi amekuwa jibaba zima la 41 yrs.(Kijana wa zamani). Huyo mtu mzima by definition huyo ni kishoiya kabisa. Yaani Hata kazi ya kuchunga mbuzi inamshinda? Eti anataka baba yake ampe fedha kwa kazi ya kushinda hapo nyumbani miaka 41.!!!! Labda wewe Mshauri aje huku Umasaini kuna kazi tele za kuchota maji(dumu 1 (20ltrs)= 500/=) kufyatua tofali za udongo (ikiwa mbichi 1= 30/=) Kuchunga mbuzi mwezi 1 =50,000/= (unalala na kula hapo-hapo kwa tajiri) Kilimo (Kupalilia mashamba) ni kwa maelewano, Ulinzi wa nyumba (kwa maelewano na mwenye nyumba) n.k. Amwache baba yake amalizie salio lake.
Yes yes ashe naaale tukulu
 
Hapo huna si lazima mzee akupe ela, ni mali yake alitafuta kwa jasho lake ,

Labda nikupe tu ushauri tafuta mwanamke mzuri kabisa , anza kumpanga na amfuate mzee wako najua mzee anaweza kushawishika maana sisi wanaume kwa wanawake hatuna ujanja, tumia hiyo nafasi labda ukapata chochote[emoji3][emoji3]
Halafu Akimgeuza kuwa ni mama yako mdogo- imekula kwako.
 
Aiseee we ni hasara..
Umemshauri mzee ujinga,umepoteza makazi sasa..
 
Habari zenu ndugu zangu, naombeni ushauri wenu kwenye ili naamini uku jukwaani kuna wenye ushauri bora zaidi na wenye experince na mambo mbalimbali, mimi ni kijana wa umri wa miaka 41, kwetu tumezaliwa 4 ila kwa sasa tumebaki 3 baada ya mmoja bahati mbaya kufariki miaka 6 iliyo pita, mimi ni mtoto wa tatu kwenye familia.

Baba yangu alijenga DAR ES SALAAM miaka mingi iliyo pita, sasa mwezi uliopita 12/2021 alikuja na mtazamo wake na kutueleza sisi watoto wake kuwa anataka kuuza nyumba yake hii na aende akaamie kijijini na kuchagua maisha yake yote ataishi uko.

Upande wangu nilipokea ombi lake ilo kwa furaha sana maana niliona kabisa kuwa baba akiuza ntapata pesa na mimi ya kuanzia maisha, baada ya kusema ivyo nikaingia kwenye miangaiko ya kutafuta mteja na dalali ambaye atasaidia iyo nyumba iuzwe haraka, mungu si Athumani ndani ya week mbili tu akatokea mteja akiwa anaitaka iyo nyumba kwa sh milion 245 (maana nyumba ipo eneo zuri sana).

Dalali alimleta yule mteja na kuikagua nyumba nzima na eneo na uyo mteja aliahidi kuja kufanya malipo baada ya siku 3, uwezi amini nilifurahi sana sana nilikuwa na bajeti yangu ya laki 2 na elfu 70 kwa furaha nzima iyo ela niliitumia kwa kufurahia maana nilijua kabisa nimesha kula maisha. Baada ya siku 3 kweli yule mnunuzi alikuja na kufanya malipo na kukamilisha kila kitu,

Ndugu zangu nashindwa ata kuandika vizuri, baba baada ya kupokea pesa ataki ata kunishirikisha kwa chochote, hajanipa ata sent kumi yake kwenye iyo ela, baada ya siku mbili kupita mzee akiwa kimya ikabidi nimuambie baba vipi kuhusu ela ya mauzo ya nyumba unioni mwanao na mimi nikaangalie maisha yangu mbele ya safari, baba amenijibu tu kwa wepesi kabisa eti "SAWA NENDA KAANGALIE MAISHA TU, NAKUTAKIA KILA LENYE HERI" nikamuambia baba naendaje kuangalia maisha wakati ujanipa chochote, akaniambia kwani nadai nini kwake, kwa kweli ni kauli zilizo nivunja sana moyo na kunikatisha kabisa tamaa ya kuishi.

Noambeni ushauri wenu ili fate atua za kisheria mzee aweze kunipa na mimi upande wa maali kama mtoto wake wa kumzaa, maana nina week sasaivi sina furaha kabisa na aya maisha, naombeni sana ushauri wa haraka, maana baba siwezi kumtazama ata usoni ananipa sana hasira.

Matumaini yangu nitapata ushauri mzuri na wakufanya nipate aki yangu.
Kwanza wewe sio mtoto tena. Ni baba. Miaka 41 ni baba mwenye watoto hata 5. Baba yako kauza mali zake kwa raha zake. Wewe tafuta zako ujenge uuze. Amekulea ukafikisha miaka 18 inatosha. Acha akili mgando
 
Msaada wa kifedha ili aufanyie nini? Alisema aliandaa ka-bajeti. Lakini hakusema bajeti ya Mradi/Shughuli gani. Watu aina hii ni hatari kwani akipata fedha cha kwanza ataenda kula bata na marafiki zake. Kosa la baba yake hapo ni kwamba alichelea kumtimua hapo nyumbani hadi amekuwa jibaba zima la 41 yrs.(Kijana wa zamani). Huyo mtu mzima by definition huyo ni kishoiya kabisa. Yaani Hata kazi ya kuchunga mbuzi inamshinda? Eti anataka baba yake ampe fedha kwa kazi ya kushinda hapo nyumbani miaka 41.!!!! Labda wewe Mshauri aje huku Umasaini kuna kazi tele za kuchota maji(dumu 1 (20ltrs)= 500/=) kufyatua tofali za udongo (ikiwa mbichi 1= 30/=) Kuchunga mbuzi mwezi 1 =50,000/= (unalala na kula hapo-hapo kwa tajiri) Kilimo (Kupalilia mashamba) ni kwa maelewano, Ulinzi wa nyumba (kwa maelewano na mwenye nyumba) n.k. Amwache baba yake amalizie salio lake.
NAposema kwamba baba mzazi amsaidie kifedha pia busara itumike...lazima mtoto nae aonyeshe nini anataka kufanya but u dnt outright abandon ur child!
 
Wewe acha upumbavu!!hadi sasa unategemea Mali ya baba?? Natamani nikizabe kibao mjinga wewe!!!usilete upuuzi wako jukwaani humu tena!!
 
Back
Top Bottom