Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au awe anacheza aviator casino game 🤣🤣Au awe anabeti. Anatengeneza mkeka wa kesho Leo usiku, asubuhi anaingia kazini. Jioni anasubiri maokoto huku akiandaa mkeka mwingine.
Ahahahahaha!!!au awe anacheza aviator casino game 🤣🤣
Sina ujuzi wa madawa inshort sijasomea mambo Ya science.... itawezekana kuiendesha??Pharmacy
Je nikiweka ndugu anisimamie au mzazi especially baba hapo vipiKama huna extra time ya kufanya biashara kiongozi utahitaji watu wa kusimama badala yako uwalipe, kwa wabongo kuwaamini ni nadra sana.
UTT mbona ndo ujinga kabisa milioni izalishe 100,000 kwa mwakaKila biashara ina changamoto zake , sasa unataka biashara ambayo itasimama yenyewe bila direct involvement hapo pagumu utaishia kuibiwa tuu kwenye biashara kidogo kidogo mpaka mtaji unakata kama huwezi kuanzia biashara ambayo utaisimamia vizuri basi kaweke pesa zako UTT au fungua online shop wewe hapo utaariji mtu wa delivery na customer care tuu ambaye hatahusika na biashara yako direct kwa hiyo hawezi kukuibia
bora kuliko apopolewe kamtaji kake na mtu atakae muweka kwenye biashara maana kasema yeye atakuwa kaziniUTT mbona ndo ujinga kabisa milioni izalishe 100,000 kwa mwaka
Ni upumbavu wa hali ya juubora kuliko apopolewe kamtaji kake na mtu atakae kuweka kwenye biashara maana kasema yeye atakuwa kazini
UTT inapumbaza akiliUTT mbona ndo ujinga kabisa milioni izalishe 100,000 kwa mwaka
Sio kupumbaza bali ni ujinga mkubwa sanaUTT inapumbaza akili
Kwa upande wako unaona biashara Gani inafaaSio kupumbaza bali ni ujinga mkubwa sana
Biashara kama haupo bora hizo hela uziache benkiKwa upande wako unaona biashara Gani inafaa
Microfinance mkuu.. hapo utapiga hela, na management ni rahisiGood evening wadau,
Naombeni mawazo yenu na experience ni biashara gani au investment ambayo nitaweza kufanya Kwa mtaji wa million 20.
Napendelea Ile biashara ambayo ni stress free na ambayo inaweza kusimama vizuri bila direct involvement kwenye biashara
DCM ndio nini mkuu plzKuna mtu alinunua DCM mil 15 lakini yeye mwenyewe alikuwa anakaa mlangoni kukusanya nauli..nje ya jiji.....kwa miaka 5 mfululizo leo hiii kafanya maendeleo makubwa sana.....HE HAS MONEY....
Unataka kucheza kamari mbaya sana hapoJe niliweka ndugu anisimamie au mzazi especially baba hapo vipi