Msaada: Biashara unayoweza kufanya kwa mtaji wa Tsh. Milioni 20

Msaada: Biashara unayoweza kufanya kwa mtaji wa Tsh. Milioni 20

Na kama umepata fedha kwa ghafla ..yan umepata dili ukalifanya chap
Kabla hujapata Hilo dili akili Yako siku zote inajiwazia na kujiona wapi?
Huna long term plans? au inajiwaziaga vitu vidogovidogo.

If yes, kindly continue with those deals since a new business won't favour you. Thanks
 
Kabla hujapata Hilo dili akili Yako siku zote inajiwazia na kujiona wapi?
Huna long term plans? au inajiwaziaga vitu vidogovidogo.

If yes, kindly continue with those deals since a new business won't favour you. Thanks
Kma Umeshawahi jarbu biashara tofauti tofauti na hazikuenda sawa,huna budi kuuliza kwa watu ili ujifunze zaidi
 
Kma Umeshawahi jarbu biashara tofauti tofauti na hazikuenda sawa,huna budi kuuliza kwa watu ili ujifunze zaidi
Tukubaliene tu kuwa kete zako hazipo sawa,
Na uwezo wa kufikiri ni mdogo,
Na Katika kuuliza ni 50 Kwa 50 unaweza kufeli Kwa mara nyingine tena,
Za kuambiwa changanya na zako
 
Tukubaliene tu kuwa kete zako hazipo sawa,
Na uwezo wa kufikiri ni mdogo,
Na Katika kuuliza ni 50 Kwa 50 unaweza kufeli Kwa mara nyingine tena,
Za kuambiwa changanya na zako

KUULIZA SI UJINGA ,TUPUNGUZE UJUAJI
taarifa ni jambo la msingi sana na Utapata taarifa toka kwa watu..hvyo sion baya kwa mtoa mada kuuliza il kujifunza zaidi
nanukuu mahala,,'GOD GAVE US TWO EARS AND ONE MOUTH FOR A REASON'
 
Jenga nyumba upangishe,

Ukiwa na kiwanja kizuri, then frame itakuwa vzr zaid.

Zote n minimum supervision & intervention.

Subiria pakikua unauza unaenda wekeza kwingine
 
KUULIZA SI UJINGA ,TUPUNGUZE UJUAJI
taarifa ni jambo la msingi sana na Utapata taarifa toka kwa watu..hvyo sion baya kwa mtoa mada kuuliza il kujifunza zaidi
nanukuu mahala,,'GOD GAVE US TWO EARS AND ONE MOUTH FOR A REASON'
Rejea comment yangu ya kwanza;
"Business idea and plan zinaanza kabla hujapata Hela"

Business idea na plan ndio zinabeba PASSION ya kufanya kitu,

Hutokaa uwe na biashara zinazokufa Kila siku,

Waliotumia akili ndio waliofanikiwa,

Mpaka ushike hela ndio utafute Cha kufanya na hiyo Hela kwangu Mimi hiyo mtu Nampa 50 Kwa 50 ndio maana nikasema za kuambiwa changanya na zako always akili Yako inahitajika.

Kwa hayo maelezo nilivyotoa ibakie tu Mimi ni mjuaji
 
Rejea comment yangu ya kwanza;
"Business idea and plan zinaanza kabla hujapata Hela"

Business idea na plan ndio zinabeba PASSION ya kufanya kitu,

Hutokaa uwe na biashara zinazokufa Kila siku,

Waliotumia akili ndio waliofanikiwa,

Mpaka ushike hela ndio utafute Cha kufanya na hiyo Hela kwangu Mimi hiyo mtu Nampa 50 Kwa 50 ndio maana nikasema za kuambiwa changanya na zako always akili Yako inahitajika.

Kwa hayo maelezo nilivyotoa ibakie tu Mimi ni mjuaji
umeiweka vizuri sasana nimekuelewa vyema.
 
Good evening wadau,

Naombeni mawazo yenu na experience ni biashara gani au investment ambayo nitaweza kufanya Kwa mtaji wa milioni 20.

Napendelea Ile biashara ambayo ni stress free na ambayo inaweza kusimama vizuri bila direct involvement kwenye biashara.
Peleka kwenye share
 
Good evening wadau,

Naombeni mawazo yenu na experience ni biashara gani au investment ambayo nitaweza kufanya Kwa mtaji wa milioni 20.

Napendelea Ile biashara ambayo ni stress free na ambayo inaweza kusimama vizuri bila direct involvement kwenye biashara.
Biashara ya stress free na ambayo inaweza kusimama vizuri bila direct involvemeny yako ni ya real estates, au kuiweka hiyo hela kwenye hati fungani, au fixed account!

Nje ya hapo sidhani kama kuna biashara ya urahisi kiasi hicho. Na ukija kwenye real estate, tambua mapema hiyo hela yako ni ndogo mpaka basi. Huwezi kununua kiwanja na kujenga jengo la maana kwa milioni 20!
 
Back
Top Bottom