Msaada: Biashara unayoweza kufanya kwa mtaji wa Tsh. Milioni 20

Msaada: Biashara unayoweza kufanya kwa mtaji wa Tsh. Milioni 20

Wakala (tgo pesa nk)
Nunua mazao uuze baadae
Kopesha kwa riba wafanyakazi
Uza mabalo ya mtumba
Sasa mbona hizi biashara zote zinasababisha stress! Mtoa mada anataka biashara ambayo ni stress free!!
 
Kwenye biashara ndogo za mtaji kama wako lazima wewe mwenyewe uhusike na kupata stress ni kawaida hata hivyo biashara zenye minimum supervision ambazo hazitakulazimu kuwepo muda mwingi ni zile za vitu ambavyo ni rahisi kuhesabika kama duka la cement n.k lakini ni muhimu kupata location nzuri ili kufanikiwa
 
Je nikiweka ndugu anisimamie au mzazi especially baba hapo vipi
Kwenye biashara yako, kamwe usithubutu kumuweka mtu ambae hauwezi kumuwajibisha kwa lolote baya litakalotokea kwenye biashara, tenganisha kabisa biashara na maswala ya kihisia.

Baba akichukua hela kwenye mtaji wako ili afanyie chochote atakachofikiria, utamfanya nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilimo na biashara ya mazao ni sekta ambayo wengi wameipa mgongo.

Nunua mazao wakati wa mavuno yatunze utauza kwa bei nzuri sana yenya faida nzuri miezi ya mbeleni baad ya mavuno

Mfano rahisi tu: Gunia la mahindi sasa hivi msimu huu wa mavuno baadhi ya maeneo ni 60k mpaka 90k hapa Tanzania

Kufikia mwezi wa tisa sehemu zote Tanzania wanakuwa wamemaliza mavuno

Piga picha kuanzia mwezi wa January na kuendelea gunia la mahindi litakuwa shilingi ngapi kama ulinunua kwa 60k wakati huu wa mavuno

Storage ndio mpango mzima.
Changamoto ipo kwenye stoo na namna ya kuyatunza hayo mahindi ili yasibunguliwe na wale wadudu, bila hivyo utakuta mahindi yote yamegeuka kuwa unga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi unawaza nini cha kufanya. Tafuta visa nenda majuu kapige box uwe unaijazilizia jazilizia. Akili ikikukaa sawa rudi bongo fanya mambo.

Upewe maua yako. Mbele hiyo amount ataidouble kama sio kutriple in a few months.
 
Nunua viwanja viwanja vya mili 3 vitatu = vifanyie Hati kwa mil 1 vyote jumla mil 10 .Kisha tumia mil 2 kwa kila kimoja kujenga msingi wa Romani ya vyumba 3 na inua course 3 jumla utatumia mil mil6 uwekezaji wote mil 16 .Kisha acha miez 4 afu .andikishana na ndugu yako mnaetofautiana ubini kuwa umemuuzia vyote milion 8 *3 inakuwa mil24 .Kisha akae miezi 2 atangaze anaviuza mil 12 vyote .jumla mil 36 .
 
Nunua viwanja viwanja vya mili 3 vitatu = vifanyie Hati kwa mil 1 vyote jumla mil 10 .Kisha tumia mil 2 kwa kila kimoja kujenga msingi wa Romani ya vyumba 3 na inua course 3 jumla utatumia mil mil6 uwekezaji wote mil 16 .Kisha acha miez 4 afu .andikishana na ndugu yako mnaetofautiana ubini kuwa umemuuzia vyote milion 8 *3 inakuwa mil24 .Kisha akae miezi 2 atangaze anaviuza mil 12 vyote .jumla mil 36 .

Hii idea kama imeniingia
 
Nunua viwanja viwanja vya mili 3 vitatu = vifanyie Hati kwa mil 1 vyote jumla mil 10 .Kisha tumia mil 2 kwa kila kimoja kujenga msingi wa Romani ya vyumba 3 na inua course 3 jumla utatumia mil mil6 uwekezaji wote mil 16 .Kisha acha miez 4 afu .andikishana na ndugu yako mnaetofautiana ubini kuwa umemuuzia vyote milion 8 *3 inakuwa mil24 .Kisha akae miezi 2 atangaze anaviuza mil 12 vyote .jumla mil 36 .
Kwanin niandikishiane na ndugu
 
Nunua viwanja viwanja vya mili 3 vitatu = vifanyie Hati kwa mil 1 vyote jumla mil 10 .Kisha tumia mil 2 kwa kila kimoja kujenga msingi wa Romani ya vyumba 3 na inua course 3 jumla utatumia mil mil6 uwekezaji wote mil 16 .Kisha acha miez 4 afu .andikishana na ndugu yako mnaetofautiana ubini kuwa umemuuzia vyote milion 8 *3 inakuwa mil24 .Kisha akae miezi 2 atangaze anaviuza mil 12 vyote .jumla mil 36 .
Million 2 inaweza kujenga msingi wa vyumba vi 3 na kozi 3??
 
1.Pharmacy
2.Miamala ya simu na kibenki
3.Micro Finance Credit
4.Mazao(kama una nafasi ya kuwa na muda mwingi)

Nafikiri kwa mtazamo wangu hayo ni miongoni mwa maeneo mazuri.
 
Back
Top Bottom