Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Wanaokushauri biashara wao hawajawahi kufanya Biashara Bongo nyoso😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu ambaye hajawah fanya kabisa biashara anaweza waza kwamba kuna biashara ambazo hazina stress, mimi mpaka sasa sijaona!Fungua genge uza mboga mboga na matunda
Unauliza maswali ya kijinga kwa milion 20 ni biashara nying sana unaweza fanya ila pia km umeweza kupata milion20 unakosaje mawazo ya biashara au iyo million20 ni pesa ya urithi au umeshinda biko
Kuna maswali na ushauri wingne mnaomba ila mnaonekana ni wapumbavu tena wapumbavu sana
Iv kwel kuna biashara ambayo haina strees mi sjawai ona iyo kla biashara ina stress kla biashara ina changamoto zake ni idadi na wing wa changamoto na stress ndo utofautiana ila kla biashara ina stress na inachangamoto
Lakini kumbuka hela za haraka, hupotea haraka pia. Mimi niliweka 25m miaka mitatu imepita saivi inasoma 34+ sio habaSio kupumbaza bali ni ujinga mkubwa sana
Why kiongozi
Uliweka kwenye mfuko upiLakini kumbuka hela za haraka, hupotea haraka pia. Mimi niliweka 25m miaka mitatu imepita saivi inasoma 34+ sio haba
Ni sawa kabisa kwakoLakini kumbuka hela za haraka, hupotea haraka pia. Mimi niliweka 25m miaka mitatu imepita saivi inasoma 34+ sio haba
Uko mkoa upiGood evening wadau,
Naombeni mawazo yenu na experience ni biashara gani au investment ambayo nitaweza kufanya Kwa mtaji wa milioni 20.
Napendelea Ile biashara ambayo ni stress free na ambayo inaweza kusimama vizuri bila direct involvement kwenye biashara.
Liquid fundUliweka kwenye mfuko upi
Acheni kumpoteza jamaa wa watu eti awe aviator a.k.a mtaalamu wa kurusha ndege.Au awe anacheza aviator casino game 🤣🤣
Licha ya ndugu tafuta mfanyakazi bora tu mkuu.Je nikiweka ndugu anisimamie au mzazi especially baba hapo vipi
DarUko mkoa upi
DCM ndio ni
DCM ndio nini mkuu pl
Bus..mini busDCM ndio nini mkuu plz
sasa kauliza afanye biashara gani ambayo ata fanya huku yupo kazini 😅😅Acheni kumpoteza jamaa wa watu eti awe aviator a.k.a mtaalamu wa kurusha ndege.
Na kama umepata fedha kwa ghafla ..yan umepata dili ukalifanya chapBusiness idea and plan zinaanza hata kabla hujapata Hela ya mtaji kinyume na hapo all the best
Hiace sio?Bus..mini bus
Hiyo ni biashara au ni michezo yakubashiri mkuu yaani ni sehemu ya kutumia pesa kama kujiburudisha sema sie waswahili tushakariri ni biashara ya kutuingizia kipato 🤣🤣🤣🤣sasa kauliza afanye biashara gani ambayo ata fanya huku yupo kazini 😅😅
ulikuwa ni utani boss kuna mtu alimwambia kama hawezi simamia biashara basi awe anasuka tuu mikeka na mimi nika reply kwa utani au awe anacheza aviatorHiyo ni biashara au ni michezo yakubashiri mkuu yaani ni sehemu ya kutumia pesa kama kujiburudisha sema sie waswahili tushakariri ni biashara ya kutuingizia kipato 🤣🤣🤣🤣
Kilimo na biashara ya mazao ni sekta ambayo wengi wameipa mgongo.Kama mafuta ya alizeti na uweke kwenye vifungashio, unazihesabu chupa, au weka godown mazao wanapoanza kulima bei ya mazao Huwa juu, unauza kwa faida.
Sawa kabisaulikuwa ni utani boss kuna mtu alimwambia kama hawezi simamia biashara basi awe anasuka tuu mikeka na mimi nika reply kwa utani au awe anacheza aviator