Msaada: Familia inahangaika namna gani watawasadia watoto wawili wa nje wa marehemu

Wazazi wako wamezaa mtoto mpumbavu
Samahani ndugu, wazazi wangu wamefariki naomba usiwahusishe kwenye huu mzozo wa kishamba.

Naomba uniambie kosa langu kwako ni lipi?

Unaweza kujificha? Kuna hatua nataka nizichukue dhidi yako.
 
Samahani ndugu, wazazi wangu wamefariki naomba usiwahusishe kwenye huu mzozo wa kishamba.

Naomba uniambie kosa langu kwako ni lipi?

Unaweza kujificha? Kuna hatua nataka nizichukue dhidi yako.
Kwa nn unapotosha?Basi usingereply comment yangu hapo ndio shobo zilianza.

Sipend sana kubishana na watu aina yako ,kama inawezekana piga kimya.
 
Niletee ushahidi wa ukisemacho
 
Mm kama mimi Uislamu kwanza hlafu maarifa baadae
 
Kwaiyo hapo issues ni mgao na sio malezi Tena?
Anayetakiwa kuwalea kashaenda swala la malezi wataamua ndugu kama watawachukua au la. Mama yao yupo atawalea kama ndugu watamsaidia ni juu yao. Vyovyote vile mgao pia upo.
 
Kama watoto ni kweli wa mume inabidi watunzwe na wapewe haki zao hawana makosa. Ndugu wa mume inabidi wawajibike na wajitolee kufanya hivyo.
 
Anayetakiwa kuwalea kashaenda swala la malezi wataamua ndugu kama watawachukua au la. Mama yao yupo atawalea kama ndugu watamsaidia ni juu yao. Vyovyote vile mgao pia upo.
Uwezekano wa kupata mgao ni mdogo sana pengine haupo kabisa
 
Niletee ushahidi wa ukisemacho
Mtoto kama anaweza kupewa ubini wa babake inashindwaje kurithi ...Ni haki ya mtoto kurithi maana hakuna anaweza kuhukumu.

Kasome surah 33 4-5 kama mtoto atapewa ubini ndio ishindwe kupwa urithi na ni haki yake.
 
Sheikh nani alosema hivi? Na ni kitabu kipi kinachosema hivo?
Ntakuletea kitabu kwa maana ni nilikisoma mda sana....Kama mtoto anapew ubini basi na urithi anapata kama mzazi anamuandika kweny wosia au kuthibitisha kwa kukubali kuwa ni mwanae.
 
Sheikh nani alosema hivi? Na ni kitabu kipi kinachosema hivo?
Ngoja nikueleze hapa ndugu maana tulishasolve kesi kama hizi na kwa sheria ya uislamu ni rahisi..

Mfano katika kuheshimu wosia wa marehemu ule uliokidhi vigezo kuna watu warithi wanaweza kuongezeka nje ya watoto na familia yake halali, kama vile mtu anaweza kusema labda mali zake zitolewe sadaka ,ujengwe msikitini au wapewa watoto yatima na mambo mengine nje ya warithi halali yaani mambo yameongezeka kwa kauli thabiti ya marehemu.

Hayo mambo kweny uislamu ni "exceptions" na yatafuatwa kama mambo maalumu ila katika urithi itatolewe 1/3 ili kukeleza hayo mambo kama marehemu alivyotaka ,Sasa fikiria ndugu kama na yeye anamuweka mtoto wake wa nje hapo kwa kuthibitisha lazima naye yule mtoto awe treated kama "exception" na atapata 1/3 kwa vil yupo kweny wosia ...Ina maana hata kama angeweka mtoto wa ndugu ake au jirani aliyemlea au anathamini mchago wake kweny urithi atakuwa exception na atarithi kwa kanuni ya 1/3 ili wale wa halali wasiokuwa na mushkeri wapate sehemu kubwa .

Uislamu unasema kwa mtoto hatoweza kurithi ni kwamba ananyimwa haki ya kuwa mrithi kamili ila anakuwa treated kama exceptions na sio mtoto halali...Wazazi wanapopata mtoto wa zinaa wanaingia kweny dhambi ya kumkosesha mtoto huyo haki y kurithi..

Sababu mtoto huyo atafuata malezi ya mama yake kama atakuwa muislamu basi atalelewa kama muislamu haya yule mzazi wa kiume hana haki ya malezi ...Hii ni kutokana na kutothibitisha uhalali wa mtoto wake inawezekana sio wa kwake maana wazazi wote ni wazinifu.
 
Sijajua mgao utakuwaje maana maana kuna nyumba moja tuu aliyekuwa anaishi na mkewe na amejenga na mkewe kwa pamoja maana hata ndugu wa karibu wanasema kaka yao akujenga pekeake. IST moja na duka la madawa ya binadamu basi hakuna kingine.

Nimepata taarifa jamaa kaacha million 7 tu Bank basi.
 
Mtoto kama anaweza kupewa ubini wa babake inashindwaje kurithi ...Ni haki ya mtoto kurithi maana hakuna anaweza kuhukumu.

Kasome surah 33 4-5 kama mtoto atapewa ubini ndio ishindwe kupwa urithi na ni haki yake.
Ila ndugu mtoto wa nje ya ndoa hatakiwi kuitwa kwa ubini wa baba ake

Refer nabii issa kaitwaje?

Watu wanafnya tu ivo lkn hairuhusiwi

Pia ndugu angalia kusolve kesi kama hizi sio shida

Shida ni kua mumepatia katika maamuzi yenu
 
Anayetakiwa kuwalea kashaenda swala la malezi wataamua ndugu kama watawachukua au la. Mama yao yupo atawalea kama ndugu watamsaidia ni juu yao. Vyovyote vile mgao pia upo.
Kuna nyumba moja tuu na IST na duka la dawa za binadamu ,
Jamaa kaacha million 7 tuu ila nimesikia alikuwa na madeni kidogo.

Sasa magao upoje apo??
Nyumba alijenga na mkewe maana hata ndugu wanasema hivyo
 
Kama watoto ni kweli wa mume inabidi watunzwe na wapewe haki zao hawana makosa. Ndugu wa mume inabidi wawajibike na wajitolee kufanya hivyo.
Marehemu kaacha Baba yake. Mama yeke alishatangulia na pia kuna mdogo wake wa kike mmoja kamaliza chuo na kaka yake 1 yeye anapambana tuu na life .
 
Mkuu ishu atakeye udumia ni nani?
Baba yake hana kazi alishasitaafu na ni mzee, kuna mdogo wake wa kike kamaliza chuo mwaka huu na kaka yake 1 yupo kawaida tuu.
Ishu ndo hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…